Yaani wewe sijui nikuitaje wallah.Djibouti na urusi wapi na wapi mzee! Akiuliwa mrusi mmoja ujuwe jibuti wameshauliwa 200 mzee.
Sawa mkuu tupo pamoja.Ewaaa!
Nakubaliana na wewe.
Umechemka bi dada hakuna uzi hapo. Uzi bora wa Deo?Ushapata dera?
Kwamba ni lazima hahaaaaLazima uwe una update Uzi wako, usitulishe makombo
JF imekua ya ovyo nowdaysRussia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia
Russia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia
Kwani we una uhakika kama wotee walibakia...??Umesoma ulichopost? View attachment 2132195
...mhh!...yaani askari wote zaidi ya 100,000 sio wazoefu?...sidhani.Urusi inaonekana haijatumia wanajeshi wazoefu imeleta wengine ni drafted
Mbona na wewe unatuletea hizo hizo propaganda,au zako ni sawa kwakuwa ni za pro Russia.View attachment 2132018
Kuwa makini kuna propaganda nyingi sana Ukraine wanacheza nazo kwenye mitandao.
Umechemka bi dada hakuna uzi hapo. Uzi bora wa Deo?
Hiiiiii bagosha!
Kwenye hiyo taarifa propaganda iko wapi?Mbona na wewe unatuletea hizo hizo propaganda,au zako ni sawa kwakuwa ni za pro Russia.
AsanteMilitary Transport Plane
Ukitofautiana nao kidogo tu unaporomoshewa matusi hadi ushangae,hawa Warussi wa Manerumango ya JF wanachekesha sanawarusi wa mchambawima, mwembetogwa, matombo, mwembekiuno, kwa mpalange wana hasira hao na wanacomment kwa jazba kama babu yao Putin
Hebu soma kwa kituo bila mihemko utaliona
Russia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia