LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Wengine wanasutana wengine wanagombana wengine wanabishana. Mwisho na uzi umekuwa ukraine. Vagalanti.
 
Porojo hizi sasa
 
Urusi inasemwa kuwa nchi yenye uwezo wa kupiga nchi zote za nato at the same time.
sasa kinachoendelea pale Ukraine tumeanza ku- question uwezo huo unahubiriwa kwenye social media
Mkuu babu Putin ana mbwembwe za kufa mtu ukisikiliza maneno yake wakati vita imeanza utadhani vita ingekuwa ya siku moja now mpaka muda huu kyeiv inamtoa jasho na Netherland Germany now wanawapelekea silaha Ukraine sasa Putin kama ana ubavu aguse hizo nchi. Huku benki mbli kubwa za china nazo zimeanza punguza biashara na Russia maana zinahofia US.

Wakomunisti huwa na mbwembwe sana ni waongo sana na mikwara miiiingi ndiyo maana hata Tz ina viongozi waongowaongo na wenye mikwara mikwara si unamkumbuka marehemu jiwe
 
Porojo za wafia dini. Biblia tu ametuambia kuwa kuelekea siku za mwisho yatazuka na maradhi yasiyotibika lkn wewe bado tu huamini na badala yake eti unaamini propaganda. Poor you.
Nani anaeleta maradhi sasa.Nani boss wa waganga, wachawi,vibaka,makahaba
 
❗️Booming battle in Kiev: Unverified video shows a barrage of military fire in both directions, and what appears to be an explosion on the horizon.

Another video captures automatic gunfire ringing out near a major road junction.

RT
 
Threats, Attacks & Protests Aimed at Russian Diplomatic Missions

In Poland the Russian embassy had its windows smashed, while facing multiple threats. In Estonia there have been incidents of vandalism, while in Ireland a diplomatic car was damaged.

It comes as protests are staged in parts of Europe against Russia's operation in Ukraine.

RT
 
Russian Defense Ministry releases footage of troops crossing in Ukraine, military hardware now having "V" signs painted.

The MoD says the offensive continues with the forces of the Donetsk and Lugansk Republics, supported by the Russian army.

RT
 
wewe bado unaota ehhhh soma hiyooooo

-Berlin to supply 1,000 anti-tank weapons and 500 missiles in U-turn from its policy of banning weapon exports to conflict zones.
Germany will supply Ukraine with 1,000 anti-tank weapons and 500 Stinger surface-to-air missiles from Bundeswehr stocks so it can defend itself against Russia, German Chancellor Olaf Scholz said on Saturday. It’s a major shift from Berlin’s longstanding policy of banning weapon exports to conflicts zone.

Netherlands to supply anti-tank weapons to Ukraine​

The Netherlands will send anti-tank weapons to Ukraine, the country’s defence ministry says.

The Dutch government will supply 50 Panzerfaust-3 anti-tank weapons and 400 rockets, the ministry said in a letter to parliament.
 
⚡️Russia's military given orders to advance in all directions, MoD states, after "Kiev rejecting the negotiation process".

The Ministry of Defense also re-iterated its earlier statements that the Russian troops are not targeting the residential areas of the Ukrainian cities.

RT
 
Russia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia
U supa pawa haupatikani kwa kujiongelesha mdomoni bali ni uchumi.

Source hii hapa 👇

 
Afadhari kama ni kweli,simpendi Putin,natamani huu ndiyo uwe mwanzo wa mwisho wa utawala wake wa ki Dikteta.
Zitaishia kuwekwa Poland....Putin wala hatowagusa nchi za NATO......

#Siempre El Comandante Putin👍
 
Vita iko field ndugu.

Kwa mikwara na ahadi alizopewa Ukraine ulitegemea VoVa angeamsha jeshi kusogea Ukraine? Hayo ni maneno mepesi tu ya kawaida like kusema.. Tuko pamoja mkuu..

Mwenyewe Rais wa Ukraine kasanda na kuanza kulalamika yuko mwenyewe. Wale waliokuwa wamampa support hawaonekani.

Kumbuka korona iliharibu uchumi wa Dunia. Shughuli nyingi zilisimama. MA stock ya vitu yako ndani.. Wacha uchonganishi utokee watu wauze vitu waamshe uchumi uliodidimizwa Kwa covid. Sio kuendelea kujimaliza kiuchumi Kwa kupigana vita za kipuuzi.
 
Kwa mtu yeyote anaeweza kunisaidia nn chanzo cha vita inayoendelea kati ya Ukraine na Russia, chimbuko lake hasa limeanzia wapi?
Urusi hataki Ukraine ajiunge na NATO maana yuko karibu sana na urusi, akijiunga NATO ataweka makombora yake ambayo yatakuwa karibu sana na Urusi,
Serikali ya Ukraine inaonesha nia ya kujiunga, ko Russia anataka kuitoa madarakani aweke yake
 
Mzee niko neutral ukija unachekacheka haisaidii, ukisoma mchango wangu popote tangu nijiunge JF sijawahi onesha dalili za kuwa upande wowote acha kukurupuka. Mimi natoa mtazamo wangu, ukitazama wale wanajeshi wanaokamatwa na Ukraine ndio wanajeshi wazoefu? Basi hamna troops pale
 

Teh teh.. kuwa epuka wakomunistin na ukomnisti ni CHANZO cha MAARIFA. ukomnisti na uwongo ni pacha😂😂
 
Umekosea, Ukraine hajajiunga NATO, anaonesha nia ya kutaka ila hayupo bado
 
maneno mepesi ehhhh haya NATO ndo wamenza vitendo sasa . Kama Russia ana ubavu awapige basi hao Germany, Netherland, USA, France maana wanamsaidia Ukraine kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…