Kuna swali nimeuliza. Mtu anayepigwa na anayejua kua soon atamaliziwa halafu anayempiga anampa nafasi asimmalizie ila haitaki hiyo nafasi anataka kuendelea kupigana anakuwa anataka nini?Jana waliachwa ili waingie mazungumzo wakapuuza leo urusi kasema watawapelekea moto mpaka wajute
Kuna warusi wana ndugu Ukraine so mi possible... Kama ile audio ya mawasiliano ya wanajeshi wa Urusi iliyokuwa imeingiliwa... Wakiomba msaada wa mafuta...ila tu niseme nikipitia pitia Twitter na vyombo vingi vya habari mrusi anasnitchiwa na wanausalama wake wenyew
na warusi wenyew wanasnitchiana
nimeona clip nyingi wanajeshi wa urusi wanashikwa hovyo na ukraine
Urusi inaweza kuchakaza dunia nzima ndani ya masaaa kadhaa.Urusi inasemwa kuwa nchi yenye uwezo wa kupiga nchi zote za nato at the same time.
sasa kinachoendelea pale Ukraine tumeanza ku- question uwezo huo unahubiriwa kwenye social media
Putin alisema walistisha mapigano kuitikia wito wamazungumzo,ila tu niseme nikipitia pitia Twitter na vyombo vingi vya habari mrusi anasnitchiwa na wanausalama wake wenyew
na warusi wenyew wanasnitchiana
nimeona clip nyingi wanajeshi wa urusi wanashikwa hovyo na ukraine
NATO ni umoja wa nchi 30 sasa ili azipige zote hizo zenyewe zitakuwa usingizini ama?Urusi inasemwa kuwa nchi yenye uwezo wa kupiga nchi zote za nato at the same time.
sasa kinachoendelea pale Ukraine tumeanza ku- question uwezo huo unahubiriwa kwenye social media
Au Russia kuimiliki Eukraine. Kumbuka hivi ni vita. Unasubiri matokeo yoyote.Sawa mkuu.
Tusubirie NATO imtoe Russia ndani ya Ukraine.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ukiona hizo taarifa jaribu kufuatilia kwa kina. Ukweli ni kwamba UKRAINE anakula KICHAPO kizito. Tegemeo la UKRAINE ni RAIA kupewa silaha na kujificha kwenye mgongo wa RAIA wema. Natabiri URUSI watatangaza maafa kwa wote wataoonekana wana silaha na watahesabika ni askari wa UKRAINE, na hapo ndipo mtaona ubaya wa URUSI. Hii vita inaendeshwa sana na HASHTAG ila kwa ground UKRAINE anachapika, afu mbaya URUSI hawana POROJO ni kichapo kwa kwenda mbele. Tuacheni ushabiki na tuombe pande mbili zikae mezani, bila hivyo UKRAINE anakuwa kama LIBYA sasa.ila tu niseme nikipitia pitia Twitter na vyombo vingi vya habari mrusi anasnitchiwa na wanausalama wake wenyew
na warusi wenyew wanasnitchiana
nimeona clip nyingi wanajeshi wa urusi wanashikwa hovyo na ukraine
Tatizo Hii ni new century young people last time kulikuwa na vita 1945 mwisho wa Hitler .Sasa kuna technology Twitter Facebook simu z mkono ni image zinazoonekana hata mchina anamshangaa.Vijana hawataki tena vita Ukraine rais Miaka 44 na member of parliament vijana .19 century mambo ya vita Hii ni 20centuru modern day war...Russia haijawahi kuitawala Africa kwa Mabavu, hawajawahi kuiba rasilimali zetu, kutesa babu zetu na pia hawajawahi kuivamia Africa kwa vifaru na Mabomu kama NATO na Mataifa ya Ulaya. Napenda Demokrasia ila sipendi Demokrasia inayoenezwa kwa Mtutu wa Bunduki.
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Na raia nao wamepewa silaha kujilinda. Hapo Kiev itakua vita ya kuviziana mtaa kwa mtaa.Russia kabakiza Kiev tu ili awe ameteka nchi kitu ambacho kitazua kelele ndio maana Putin aliagiza jeshi lisichukie Kiev kwanza ili kutoa nafasi ya mazungumzo na Ukraine ambapo imeshindikana,now katoa go ahead so subiri kisha utaona kama atafanikiwa au lah.Pili lazima ujue kuwa hata Ukraine wanapigana kama ambacho kila nchi ingepigana lkn wataangushwa tu pamoja na support yote wanayopewa.Na mwisho Russia anajaribu kuichukua Kiev bila mauaji mengi ya raia ya kawaida ambapo akiona kuna ugumu wa kukwepa hayo mauaji basi anaweza kuamua kufyeka wote.
Afadhari kama ni kweli,simpendi Putin,natamani huu ndiyo uwe mwanzo wa mwisho wa utawala wake wa ki Dikteta.
Eukraine hamuwezi Urusi. Mbona hilo lipo wazi? Ilitakiwa sasa hivi iwe imeisha kama Eukraine hana msaada. Kuna kitu kinampa kiburi Eukrane mpaka akakataa mazungumzo au kusarenda.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ukiona hizo taarifa jaribu kufuatilia kwa kina. Ukweli ni kwamba UKRAINE anakula KICHAPO kizito. Tegemeo la UKRAINE ni RAIA kupewa silaha na kujificha kwenye mgongo wa RAIA wema. Natabiri URUSI watatangaza maafa kwa wote wataoonekana wana silaha na watahesabika ni askari wa UKRAINE, na hapo ndipo mtaona ubaya wa URUSI. Hii vita inaendeshwa sana na HASHTAG ila kwa ground UKRAINE anachapika, afu mbaya URUSI hawana POROJO ni kichapo kwa kwenda mbele. Tuacheni ushabiki na tuombe pande mbili zikae mezani, bila hivyo UKRAINE anakuwa kama LIBYA sasa.
ni waongo, rais wao ni mjinga na comedian tu. anaamini atashinda vita wakati majengo na miundombinu ya nchi yake inaendelea kuteketezwa, anatumiwa kama condom na wamagharibi ambao hata hawamsaidii, ukrain ilikuwa inaelekea vizuri sana kiuchumi, lakini wameamua kuharibu uchumi wao.Jeshi nchini Ukraine limechapisha taarifa kwenye ukurasa wake wa Faceebook wakieleza kuwa zaidi ya wanajeshi 3,500 wa Urusi waliohusika katika uvamizi nchini humo wameuawa. na kwamba mpaka sasa urusi imeshapoteza ndege 14, helikopta 8, na mizinga 102.
Matokeo hadi Sasa Russia iko ndani ya Ukraine. Asiependa akamtoe huko.Au Russia kuimiliki Eukraine. Kumbuka hivi ni vita. Unasubiri matokeo yoyote.
HahahaaaaAchana na Facebook, mimi nashangaa wamepata wapi muda wa kuhesabu maiti?
Kuwa ndani sio kushinda vita. Hatua ya kwanza ya ushindi ni Eukraine kuwa chini ya Rusia, Nchi nzima wenye nchi wamekimbia wamekuachia ikulu.Matokeo hadi Sasa Russia iko ndani ya Ukraine. Asiependa akamtoe huko.
Putin alisema mazungumzo yatakuwepo tu pale watakapomaliza operation yao, hii ya kusubiri ili kupisha mazungumzo mmeitoa wapiKichapo kinachotembea UKRAINE tuombe mungu tu. Ila Urusi ameamua kuingia mazima maana walisimamisha mashambulizi kwa sababu ya mazungumzo na UKRAINE hawakutokea. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji846] hiki kichapo ni mwamuzi ni MUNGU tu.
Kapewa misaada mingi ya vifaa vya kijeshi... Na wengi wamemuahidi... Marekani leo kaahidi pesa kibao... Thea same kwa Germany vifaa alivyotaja kupeleka huko... Wamemtia kiburiEukraine hamuwezi Urusi. Mbona hilo lipo wazi? Ilitakiwa sasa hivi iwe imeisha kama Eukraine hana msaada. Kuna kitu kinampa kiburi Eukrane mpaka akakataa mazungumzo au kusarenda.