LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Russian VDV paratroopers have been reportedly dropped over Kiev city as Ukrainian anti-aircraft guns are firing in the sky.
 
❗️Russia's 'Gosuslugi' public services website facing 'unprecedented cyberattacks' - officials

Some services might be unavailable in the short-term, the Digital Transformation ministry has warned - while stating that all personal data has been secured.

RT
 
We hukusikia Rais wa Ukraine aliomba mazungumzo na PUTIN akatoa masharti yakazungumzwe BELARUS?? Kutokana na hali hiyo Urusi ikaviagiza vikosi vyake kusimamisha mzigo. Sasa mazungumzo yameshindikana na Ukraine wanajikuta wanapata kichwa. Sasa URUSI wametangaza total war.
Putin toka ameanza kuishambilia Ukraine hakuna siku aliyositisha mapigano pamoja Na Rais wa Ukraine kumuomba wazungumze, leten hiyo habar humu tuione
 
Wanajeshi wa urusi wamewekwa mtu kati kiev
ofcourse, kwa vita vya mtaani, Ukrain wanapigana kienyeji na wataua wanajeshi wengi wa urusi, kwasababu wanatumia raia kama shield, ila ninachoogopa ni kwamba, raia wengi sana watakufa kwasababu bunduki zimegawanywa kwa raia 10,000 ambao wakirusha tu risasi wanakuwa military target (kwa sheria za kivita), na urusi anaweza kupiga hata kama kwenye jengo la raia as long as kuna watu wanaojibizana nao, ni justifiable collateral kivita hata kuvuruga jengo. ile tu kugawa bunduki wamejustify urusi kushambulia majengo walimo adui wanaojibizana nao risasi. pia tumeona vifaru vya ukrain vikiwa mtaani na wanarusha makombora tokea mtaani, this means, russia is justified kupiga pale kombora linapotoka hata kama ni mtaani, sasa raia waliopo huko ambao wengine wamepewa bunduki kama toy, watauawa wengi sana unnecessarily. kwa wale wanaojua sheria za kivita watakuwa wamenielewa.
 
Putin toka ameanza kuishambilia Ukraine hakuna siku aliyositisha mapigano pamoja Na Rais wa Ukraine kumuomba wazungumze, leten hiyo habar humu tuione
We hufatilii huu mzozo. Vita ina mapumziko?? Kama haina mbona mchana hawajapiga?? Fuatilia taarifa utaambiwa sasa.
 
ofcourse, kwa vita vya mtaani, Ukrain wanapigana kienyeji na wataua wanajeshi wengi wa urusi, kwasababu wanatumia raia kama shield, ila ninachoogopa ni kwamba, raia wengi sana watakufa kwasababu bunduki zimegawanywa kwa raia 10,000 ambao wakirusha tu risasi wanakuwa military target (kwa sheria za kivita), na urusi anaweza kupiga hata kama kwenye jengo la raia as long as kuna watu wanaojibizana nao, ni justifiable collateral kivita hata kuvuruga jengo. ile tu kugawa bunduki wamejustify urusi kushambulia majengo walimo adui wanaojibizana nao risasi. pia tumeona vifaru vya ukrain vikiwa mtaani na wanarusha makombora tokea mtaani, this means, russia is justified kupiga pale kombora linapotoka hata kama ni mtaani, sasa raia waliopo huko ambao wengine wamepewa bunduki kama toy, watauawa wengi sana unnecessarily. kwa wale wanaojua sheria za kivita watakuwa wamenielewa.
Pia ongezea raia wengi pia hawajui kutumia silaha...
 
Urusi anachotafuta sasaivi ni kichwa cha rais wao, ndio maana anawaasa wanajeshi wa ukrain kumpindua rais wao, na akitoka tu huyo rais vita inaweza kuisha. yeye mwenyewe anaogopa mno ndio maana amesema anataka urusi imhakikishie usalama wake na familia yake, urusi atamuua huyu rais na hatafaidika chochote. na itakuwa justified kumuu akwasababu yupo vitani na amevaa magwanda mtaani anapigana
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ukiona hizo taarifa jaribu kufuatilia kwa kina. Ukweli ni kwamba UKRAINE anakula KICHAPO kizito. Tegemeo la UKRAINE ni RAIA kupewa silaha na kujificha kwenye mgongo wa RAIA wema. Natabiri URUSI watatangaza maafa kwa wote wataoonekana wana silaha na watahesabika ni askari wa UKRAINE, na hapo ndipo mtaona ubaya wa URUSI. Hii vita inaendeshwa sana na HASHTAG ila kwa ground UKRAINE anachapika, afu mbaya URUSI hawana POROJO ni kichapo kwa kwenda mbele. Tuacheni ushabiki na tuombe pande mbili zikae mezani, bila hivyo UKRAINE anakuwa kama LIBYA sasa.
kina wapi tena Russia Today hakuna kitu nategemea twitter na Western media kama France 24, TRT
CCTV zote yuko bize n documentary zake niambie ww taarfa za kina unazitoa wapi?
 
ofcourse, kwa vita vya mtaani, Ukrain wanapigana kienyeji na wataua wanajeshi wengi wa urusi, kwasababu wanatumia raia kama shield, ila ninachoogopa ni kwamba, raia wengi sana watakufa kwasababu bunduki zimegawanywa kwa raia 10,000 ambao wakirusha tu risasi wanakuwa military target (kwa sheria za kivita), na urusi anaweza kupiga hata kama kwenye jengo la raia as long as kuna watu wanaojibizana nao, ni justifiable collateral kivita hata kuvuruga jengo. ile tu kugawa bunduki wamejustify urusi kushambulia majengo walimo adui wanaojibizana nao risasi. pia tumeona vifaru vya ukrain vikiwa mtaani na wanarusha makombora tokea mtaani, this means, russia is justified kupiga pale kombora linapotoka hata kama ni mtaani, sasa raia waliopo huko ambao wengine wamepewa bunduki kama toy, watauawa wengi sana unnecessarily. kwa wale wanaojua sheria za kivita watakuwa wamenielewa.
Raia wa Eukraine waliokubali kuchukua bunduki wanajua wanaenda kufa kwa ajili ya nchi yao. Na hizo bunduki sio toi. Ni bunduki iliyobebwa na askari.
 
Urusi anachotafuta sasaivi ni kichwa cha rais wao, ndio maana anawaasa wanajeshi wa ukrain kumpindua rais wao, na akitoka tu huyo rais vita inaweza kuisha. yeye mwenyewe anaogopa mno ndio maana amesema anataka urusi imhakikishie usalama wake na familia yake, urusi atamuua huyu rais na hatafaidika chochote. na itakuwa justified kumuu akwasababu yupo vitani na amevaa magwanda mtaani anapigana
sio ndo puttin atakuw mhalifu wa kivita
 
ofcourse, kwa vita vya mtaani, Ukrain wanapigana kienyeji na wataua wanajeshi wengi wa urusi, kwasababu wanatumia raia kama shield, ila ninachoogopa ni kwamba, raia wengi sana watakufa kwasababu bunduki zimegawanywa kwa raia 10,000 ambao wakirusha tu risasi wanakuwa military target (kwa sheria za kivita), na urusi anaweza kupiga hata kama kwenye jengo la raia as long as kuna watu wanaojibizana nao, ni justifiable collateral kivita hata kuvuruga jengo. ile tu kugawa bunduki wamejustify urusi kushambulia majengo walimo adui wanaojibizana nao risasi. pia tumeona vifaru vya ukrain vikiwa mtaani na wanarusha makombora tokea mtaani, this means, russia is justified kupiga pale kombora linapotoka hata kama ni mtaani, sasa raia waliopo huko ambao wengine wamepewa bunduki kama toy, watauawa wengi sana unnecessarily. kwa wale wanaojua sheria za kivita watakuwa wamenielewa.
Nilionya hapa, hawa UKRAINE wametumia mbinu za kipuuzi. Sasa wafumuliwa mwanzo mwisho, mpaka wajue kuwa hakuna nchi inapenda ujinga.
 
ofcourse, kwa vita vya mtaani, Ukrain wanapigana kienyeji na wataua wanajeshi wengi wa urusi, kwasababu wanatumia raia kama shield, ila ninachoogopa ni kwamba, raia wengi sana watakufa kwasababu bunduki zimegawanywa kwa raia 10,000 ambao wakirusha tu risasi wanakuwa military target (kwa sheria za kivita), na urusi anaweza kupiga hata kama kwenye jengo la raia as long as kuna watu wanaojibizana nao, ni justifiable collateral kivita hata kuvuruga jengo. ile tu kugawa bunduki wamejustify urusi kushambulia majengo walimo adui wanaojibizana nao risasi. pia tumeona vifaru vya ukrain vikiwa mtaani na wanarusha makombora tokea mtaani, this means, russia is justified kupiga pale kombora linapotoka hata kama ni mtaani, sasa raia waliopo huko ambao wengine wamepewa bunduki kama toy, watauawa wengi sana unnecessarily. kwa wale wanaojua sheria za kivita watakuwa wamenielewa.
apige mara ngapi? mbona kavamia mahospital na ambulance yy anaua tu

2DFAC6CC-0DAB-4B5B-A2F4-FDA94C6A195C.png
 
We hufatilii huu mzozo. Vita ina mapumziko?? Kama haina mbona mchana hawajapiga?? Fuatilia taarifa utaambiwa sasa.
Kupiga ama kutopiga mchana hiyo ni mbinu tu za kivita alafu kumbe unaadithiwa ndio unaleta humu jf pole Sana.
 
Pia ongezea raia wengi pia hawajui kutumia silaha...
you are very right. jamaa comedian anagawa silaha kwa raia wasiojua kuzitumia vizuri (hata kama watakuwa wanajua kulenga lakini sio wanajeshi wazoefu), ili wapambane na wanajeshi wa urusi ambao ni well trained, unategemea nini? amegawa silaha ili kujenga vita vya majumbani kama majambazi vitakavyosababisha majengo mengi kuporomoshwa na watatumia muda sana kujenga tena nchi yao. ajifunze kwa syria.kwenye hii dunia ukiona mtu amekuzidi uwezo, hesabu gharama utakazopoteza ukimdindishia au ukisalimu amri ili yaishe, usiangalie majirani/wamagarimi ambao wamesimama tu pembeni wanakutumia kama kipimo cha silaha zao na kujua uwezo wa anayekupiga, na ukrain anaamini wamagharibi wanampenda? wangekuwa wanampenda wangeshatia mguu kiev sasaivi.

kitu kingine, western countries hawana haki kuishutumu Urusi kwasababu wao wamevamia sana nchi zingine, wamevamia sana nchi za kiarabu na libya, bila hata sababu genuine kama alizonazo russia. kwa urusi naamini ilikuwa necessary especially at this moment kuishambulia kwasababu wamagharibi walikuwa wanataka wamfanyie kitu kibaya sana na walimdharau mno.
 
Hii vita Russia na Putin wataumbuka vibaya sana USA,,na washirika wao NATO yote kuna mahala wanawalia timing Russia jiulize kwa nini silaha nzito zote za Ukraine zimehamishiwa mpakani mwa Ukraine na Poland,itafika point majeshi ya Russia yatabugi na mashambuliizi yao yatawagusa Nato.and that's where the saga will start trust me..Russia wanawashiriki wao China na underground supporter wao North Korea that's where Nato na washirika wake wanapataka na ndio maana kimkakati kabisa waliacha Kwanza kuingilia mgogoro in deep since 2014 pale majimbo ya Ukraine yalipojitenga na kupata support za kijashi toka Russia.Mkasa unapamba moto watu wanatafuta kisa sasa.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom