I am not pro russia, lakini siqwapendi ukrain sana kwasababu ya kiburi na kuwa watumwa wa magharibi, wanaamini magharibi ndio watawasaidia kumbe nchi yao ndio inaharibika itakuwa kama syria, magofu matupu. You know, zamani Russia ilikuwa haina wapenzi kwasababu ilikuwa ni communist/hawakuamini Mungu, sasaivi Urusi inaamini Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, Mungu wa Israel, na hata jana walikuwa wanasema kuna uwezekano mkubwa negotiator akawa waziri Mkuu wa Israel, huyo ndio Russia atamsikiliza, Putin mwenyewe alishasaidiwa na Wayahudi katika utoto wake. on the other way, Marekani ambayo ilibarikiwa na Mungu sana kwasababu ya kuwahifadhi wayahudi na hakuwasaidia wengine kipindi cha vita vya pili, wanaabudu ushoga, na wamemsahau Mungu aliyekuwepo kwenye dola yao/pesa, sasaivi walishapiga hadi kura wanataka jina la Mungu liondolewe kwenye pesa yao, kiburi cha kuwekwa na Mungu kuwa polisi wa dunia kimewajaa, hawajui kuwa Mungu anaweza kuinua mtu mwingine akawabadili. what many do not know ni kwamba, utabiri unaonyesha kuna siku Marekani itashushwa na atainuka mwingine, we do not know whether itakuwa Euro, au Russia, we don't know, but there is a time the US will be reduced to the ground just like what happened to the ottoman empire and the Rome empire.
kwa wenye akili, hasa ukiangalia naman Urusi anavyotengeneza njia yake kuelekea Mashariki ya Kati, Krimea imempa access to the mediterenean sea, akichukua hayo majimbo mawili anao uhakika wa access to the mediterenean sea, meaning kwenda Israel anaweza kupitisha meli zake za kivita bila pingamizi, israel kufanya nini? hata kama leo hii wanao uhusiano mzuri na Israel, ila kuna siku watakuwa maadui na Russia/mfalme wa mashariki, ataishambulia sana Israel (vita ya al magedon, na vita vya gogu na magogu), hakuna nchi itakayoweza kuisaidia Israel, lakini Mungu wa Ibrahim Isaka na yakobo mwenyewe atashuka kwa uweza wake kuisaidia Israel, atayapiga majeshi hayo ya mfalmem wa magharibi kwa mvua za mawe na radi etc, nayo yatateketea kwa robo tatu yao, Israel watakuwa wamesimama tu wanashangaa Mungu alivyoingilia kati baada yao kuwa wamezidiwa hadi kufika mwisho wa uwezo wao na wamekata tamaa.
hapo ndipo Mfalme wa wafalme, Bwana wa Mabwana na Mungu wa miungu atashuka tena kama walivyomwona akipaa mawinguni. kwa mtini jifunzeni tawi lake likianza kuchipua majani mwatambua ya kuwa wakati wa kurudi kwake umekaribia. matawi yalishaanza kuchipua tangu 1948, yanachipua kidogokidogo, dalili za vita mahalimahali tunaziona, access ya mfalme wa mashariki kuelekea jerusalem tunaiona, Tazama yuwaja na mawingu, na kila jicho litamwona! mwenye kuelewa na aelewe.