LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mkuu. Suala si matokeo ya vita. Suala ni kukomesha tabia ya kupangiana nn cha kufanya. Ukituua wote utakaa na ardhi ufanye utakalo. Ukitushindwa utatueshimu hutatupangia. Either way sisi ni washindi sababu tupo huru. Hatupangiwi.
unachotakiwa kujua ni kwamba, ukiwa rais au hata baba wa nyumba, maamuzi utakayoyafanya usijifikirie wewe binafsi, fikiria hata watoto wako. kuna wakati ukifanya maamuzi hata kama ni ya faida kwa familia nzima, kama watoto wataumia vya kutosha, wapo ambao sio wavumilivu kuna siku watasema baba maamuzi yako yanatutesa bure, watakugeuka ili wapate mteremko. ukiwa leader hili ni muhimu kufikiria. tukirudi kwa ukrain, jua kwamba hadi sasa ivi kuna wanawake wengi sana wameshapoteza waume zao, wengi wamepoteza kaka zao, wengi wamepoteza baba zao, wengi wamepoteza biashara zao, wengi wamepoteza kazi maofisini, watu walikuwa wamejiestablish na sasaivi ni wakimbizi wanaishi kwenye makambi. wengine walikuwa na maisha bora na majumba yao, sasaivi wanalala makambini hata kungonoka na wake zao ni kwa kuvizia tu. kwasababu ya nini? na urusi hapohapo anaahidi kwamba wamwondoe rais wao yeye anaweza kuongea vyema na wanajeshi.....maumivu yakizidi kuna siku watu watagawanyika, kuna watakaogundua kuwa hapa tunateseka kwa maslahi ya wamagharibi, watajiunga upande wa mteremko, na ndio kusambaratika kwa nchi huko. mwanadamu mwanzoni huwa mzalendo sana ila maumivu yakizidi huwa anatafuta mteremko manake hamna namna tena.
 
Aiseee...
Dokta Leakey umetisha...
Ingia sasa uwanjani ukayafunge hayo magoli ya kijiweni...
 
Aiseee...
Dokta Leakey umetisha...
Ingia sasa uwanjani ukayafunge hayo magoli ya kijiweni...
huu ndio ukweli mchungu, usifikiri urusi akioina anafuka atatulia tu afe kishujaa kama anavyokufa ukrain. sasaivi ukiangalia RT wanaonyesh a depo ya mafuta karibu na KIEV imeshalipuliwa.itaanza crisis ya mafuta na gas sasaivi na wamagharibi pia wataumia.
 
Sasa wewe wa buza una mahaba hivyo na Putin, wakati hata wanajeshi wa Russia wenywe hawajielewi na wanacheka na kutaniana na wa Ukraine...
Na ndio Jeshi la Russia hili wameishiwa na mafuta kuendelea,,,🤣

 
battle la ajabu. kuna waukrain weusi humu wanaamini ukrain ipo kwenye nafasi ya kuishinda urusi. mtu ameishiwa hadi anagawa silaha kwa raia 10,000 wapigane kama golila majumbani, that means anajua wanajeshi wake hawatofanikiwa peke yao na zaidi ni kutumia raia kama shield kwani raia watakuwa wanarusha risasi tokea majumbano mwao jambo litakalojustify urusi kupiga kwenye majengo. mtu alikuwa comedian hata hajui sheria za kivita, anajua kuwa anawapa justification maadui kushambulia maeneo ya makazi na hawatakuwa wamevunja sheria za kivita, badala angeacha wanajeshi pekee ndio wapigane ili kama urusi ikipiga maeneo ya raia ionekane amevunja sheria za kivita. ni sawa na watz tulivyotaka kumpa nchi DJ, kila mtaa kungekuwa na tamasha la muziki.
 
Uraisi ni taasisi. Maamuzi si kama ya baba mwenye nyumba. Nchi imeingia vitani kutetea uhuru wake. Sio raisi mwenyewe. Imgekuwa ni maamuzi yake wangempindua au raia wangeandamana aondolewe.
 
Point ya mtu mjinga,

Kwa aina ya uvamizi na maandalizi ya Urusi na muda aliotumia kujiandaa Urusi alitakiwa awe amishinda vita ndani ya masaa 48.

Kitu ambacho Wafuasi wa Urusi kwenye hii vita hawaamini ni upinzani waliokutana nao njiani na Russia wamepata Logistical challenge sana ndio maana wakaanza kutumia Askari wa miamvuli
 
Hebu ww tuambie angetumia njia gani zaidi ya hii wakati mazungumzo yalikuwa yamesha feri?
Putin alikataa kuendelea na mazungumzo si kwamba yalifeli.

Alafu hii Vita itaichochea zaidi Nato kujiimarisha huko Ulaya mashariki hasa nchi ya Poland na mataifa ya Baltic, Sasa hayo utaita mafanikio kwa Urusi?

Kitendo cha Putin kuyatambua Yale ya majimbo mawili ya Ukraine ilikuwa pigo tosha kwa Ukraine......kilikuwa hakuna umuhimu tena wa vita
 
Haya sasa, waje wale WAUKRAINE waongee, tuliwaambia URUSI hawana utani, wametembeza kichapo kizito sana. Rais wa UKRAINE hana akili unawapaje Silaha wananchi wapigane na Urusi?? Sasa watakiona cha moto.
Russia wameingia mzigoni Rasmi.
 
sijaona taifa la ulaya litakojitoa muhanga kiev ndio imeshaenda tena
 
ni hatari sana kuwa na kiongozi mchekeshaji. Yeye kila kitu anaona utani hata mambo siliasi
 
Bado natafuta aina ya kicheko ila bado sijakipata nimeweka kiporo. Kwa maana hiyo Russia ndiyo nchi ta Mashariki ya kwenye Bibilia?
 
Huyo Bush alikuwa peke yake au alikuwa na mataifa washirika?
Kidume yupo peke yake.
Una uhakika upi kama yupo peke yake? Vita ni propaganda punguza kuangalia tamthilia hapo kwa dada fatilia mambo kwa mapana na usiwe na bias
 
mwana ccm umeandika point , kumpa uongozi watu wasioelewa ni uchizi, hata Jimbo la Mbeya sometime lilikosea kumpa sugu ubunge.
 
Acha upuuzi wewe Sasa hapo mambo ya dj mbowe yameingiaje?miaka 60 ya Uhuru mmefanya nini cha maana zaidi ya ufisadi na utahaira
 
Huu utaburi ni wako na umetumia wahusika bapa wa kwenye bibilia na umehusanisha. Unatafsiri bibilia kimwili zaidi kuliko kiroho. Hii inatokana na kusoma bibilia huku ukiwa na mawazo tele ya Simba na Yanga au CCM na CHADEMA au Samson na Delila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…