kusolve issue ya vikwazo ni raisi zaidi kuliko kusolve ujenzi wa nchi iliyofanywa magofu. Russia hapo akitoka, jua yeye pia ni superpower, akiamua kujizila akaamua kusapoti ikijeshi na kwa nuke maadui wa magharibi kama iran tu na north korea, wataomba poo manake west wataona anataka kuimarisha maadui zao wakubwa, watarudi mezani na kuyamaliza. hivyo vikwazo vinawekwa kwa ajili ya aibu tu kwamba west wamesikia kilio cha comedian jana aliposema wamagaribi aliotegemea watamsaidia wote wamemwacha peke yake, sasa wafanyeje? wajifanye kuweka vikwazo tu. china ipo kimya, india ipo kimya, asia yote ipo kimya, china anahitaji sana gas na mafuta, hivyo russia hawezi kosa soko, so is india. ila russsia akikata bomba la gas ujerumani watatumia kuni kupikia kama enzi za ujima, na vinu vyao vya nukes vitakosa nguvu na umeme utakata. russia amehesabu gharama san akuamua kufanya alichokifanya. mimi siku zote nipo upande wa capitalism na huwa sipendi communism kwasababu walikuwa atheists, lakini kwa hili najua russia atashinda. na kwa utabiri uliopo kwenye Bible, inaonyesha russia hawezi kufa, kwasababu ndio jeshi la mashariki la al magedon na gogu wa magogu litakaloshuka kupitia black sea/caspian sea kuishambulia israel hapo baadaye na Mungu mwenyewe ataashuka na kuwahukumu kwa kuwaangamiza 2/3 ya majeshi yake. njia ipo nyeupe kwa urusi sasaivi kupigia Krimea na uturuki ambao sio maadui wake, ni marafiki na watampa njia kwasababu turkey hawaipendi israel kwasababu ya mzozo wa palestina waislam wenzao, na unabii kibiblia unaonekana wazi. kama hujampokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako fanya hima, kuja kwake ku karibu. na hapo ndio utajua kuwa Biblia ndio kitabu pekee cha Mungu, vingine vyote magazeti tu ya waongo.