Kichapo gani?Kichapo kinachotembea UKRAINE tuombe mungu tu. Ila Urusi ameamua kuingia mazima maana walisimamisha mashambulizi kwa sababu ya mazungumzo na UKRAINE hawakutokea. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji846] hiki kichapo ni mwamuzi ni MUNGU tu.
Unatumia akili au matope, alafu wewe ni mtu mzima kabisa yani unawaza utotoMara baada ya watu kuanza kuishitukia janga la kimchongo la UVIKO-19 na kuanza maandamano duniani, imebidi itafutwe njia ya kuondoa fikra za watu kwenye reli.
Mataifa yameshapiga hela, watu wamechomwa chanjo ambayo hata haiwazuii kupata wala kuisambaza korona lakini inaitwa chanjo.
Sasa hivi hakuna hata mmoja anayezungumzia tishio tena, WHO haina muda tena wa kutoa miongozo, picha za chanjo kutumwa kutoka kwa mataifa’wahisani’ na kupokelewa na watembeza vibakuli hazina maana tena.
Dunia haiko fair kabisa aisee. Yaani ndo hivyo tumechezewa kindezi tu!
Kila mtu sasa hivi ni Ukraine tukitoka hapo utashangaa mataifa mengi yamelegeza kama siyo kufuta kabisa vikwazo dhidi ya UVIKO-19.
Fear is the best tool and weapon through which you can control the whole world.
Ukishawajaza watu hofu, ni rahisi sana kuwatawala!
Atapitia wapi ?[emoji779]️EU countries to close airspace for Russian airlines -
RT
Mbona tunawapangia wa Zanzibar ni cha kufanya. Unajuwa sababu za Rwanda kupigana vita ndani ya Congo unajuwa sababu zake? kwa sababu wapinzani walianzia kule ndani na hata sisi ikitokea siku umesikia wapinzani wanajipanga kupitia Burundi unadhani tutakaa kimya kwa sababu Burundi nchi huru wana haki ya kuamua wanachotaka. USA walifanya nini Cuba? unadhani watakubali Russia aweke makombora yake Cuba. mbona tunajitoa ufahamu.yaan wewe unabariki taifa lingine kulipangia taifa lililo huru kipi cha kufanya na kipi cha kutokufanya,
mfano leo wewe nini raisi wa tanzania
akatokea jiran yetu yeyoto ambae ana nguvu kukushinda,
akaja na masharti yake kuwa
anataka wanaume wawe mashoga, je wewe kama rais utakubaliana nae kwa sababu huyu jiran yako uwezo wa kukupga anao,
au utaamua kufa kiume,
Sasa kama unalijua hili kuwa" kuumia ni sehemu ya maisha",why unashindwa kumwelewa Tsh anapokupa sababu za Wananchi wa Ukraine kusimama na Raisi wao kutetea masalahi ya Nchi yao?umesahau kwamba china, india na nchi zingine za america kusini bado wapo na russia. pia, russia pia anavyo vitu ambavyo akiona anaumia kiukweli, anaweza kuwapiga navyo wamagaribi wakaomba poo. muda bado sana, tusubiri kwanza siku ziende. raia ni kweli wataumia, kama wanavoumia waukrain, ila cha muhimu ni kwamba wataumia kwa muda gani? na kuumia ni part ya maisha ili utafute solution ya kudumu siku ingine usiumie tena. kuna uwezekano tukarudi kwenye cold war muda si mrefu, na russia atatumia technolojia na silaha kukomba maadui wa marekani/wamagaribi na block itasimama tena, na yote haya yanatokana na kichwa ngumu ya wamagaribi kumtia kidole kwenye macho wakati alikuwa ametulia.
hakuna kinachopendwa nakila mtu wala kuchukiza kila mtu nature ipo hivikumbe basi kama ni hivyo basi pande zote kuna wanaopinga pia,iwe Ukraine or Russia,nilimuuliza mtoa comment maana naona kajikita kutuletea tu negative issues za Ukraine kana kwamba kule Russia wao wote wanakubaliana na kinachoendelea.
Alisema wapi 3 hours?BREAKING: It’s almost daylight on day 4 of the Russian attack and I’m thrilled to report that Volodymyr Zelenskyy is still the President of Ukraine. Remember when Putin said he’d do it 3 hours? Not on Zelenskyy’s watch.
hakika ila vita ambayo haijavuka hata week huwezi sema imechukua muda mrefu nawala hakuna sehemu RUSSIA kasem atachukua muda kumpindua ama kuiangusha serikali yajijini KIEVVita ikiisha mapema inasaidia.
Ukraine ana uhakika wa kuibuka mshindiIt was a Total war. Jambo la kushangaza sio Russia kuendelea na vita, ni Eukraine kukataa mazungumzo.
Huko Media zao tu wanasema Jeshi la Russia halijaanza safari ya kuingia wanaopiga kwa sasa ni kile kikundi kidogo cha jeshi kinachfanya tathmini na kulegeza njia wakipewa green light tu ni moja kwa moja kukibeba kile kijoti.Alisema wapi 3 hours?
Tuwekee hizo zakoKuna taarifa zinasambaa kwamba video nyingi zinazorushwa na Ukraine sio halisi
Kwamba zanzibar akitaka jiunga na jumuiya ya kiislamu sawa, akitaka mahakama ya kadhi sawa, akitaka ongoza kwa sharia sawa, awe dola ya kiislamu sawayaan wewe unabariki taifa lingine kulipangia taifa lililo huru kipi cha kufanya na kipi cha kutokufanya,
mfano leo wewe nini raisi wa tanzania
akatokea jiran yetu yeyoto ambae ana nguvu kukushinda,
akaja na masharti yake kuwa
anataka wanaume wawe mashoga, je wewe kama rais utakubaliana nae kwa sababu huyu jiran yako uwezo wa kukupga anao,
au utaamua kufa kiume,
Haya sasa mahaba na si uhalisia.Huko Media zao tu wanasema Jeshi la Russia halijaanza safari ya kuingia wanaopiga kwa sasa ni kile kikundi kidogo cha jeshi kinachfanya tathmini na kulegeza njia wakipewa green light tu ni moja kwa moja kukibeba kile kijoti.
Mimi wife namzuia mwishoni na hakiharibiki kitu, Yaani kufuata maelekezo ataanzaje kukataaa!Umekuja nchini kwangu, unanipa matakwa yako ambayo si matakwa ya nchi yangu. Ntasimama na nchi yangu.
Nikiogopa usiniue leo, kesho tena utakuja na takwa jingine. Bora tumalizane kuliko niwe mtumwa wa maamuzi yako.
Mkeo akitaka ujiandalie maji ya kuoga asubuhi, ataanza kidogo kidogo. Atakupelekea maji ataacha sabuni. Ukiuliza atakuambia nimesahau ipo hapo stoo. Kesho anasahau tena mwishowe unazoea sabuni ilipo, anahamia kwenye taulo mpaka ukija kushtuka huwa unaamka unachemsha maji unafuata taulo na sabuni na unaoga bila yeye kufanya lolote. Kumzuia ni pale mwanzoni, umwambie nenda kaandae kila kitu ndo niambie nikaoge.
Nina mashaka utakuwa James mtamuRussia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia
UKRAINE hata atengewe kiasi gani MKUU itamchukua zaidi ya miaka 10 ku rebuil upya hasara alizozipata ama anazoendela kuzipataNdugu yangu. Eukraine baada ya kupigwa atasaidiwa kuinuka. Hata sasa bajeti kubwa sana imeshapitishwa kwa ajili yake. Hii ni endapo Russia ataachana na vita.
Jambo lingine ambalo Russia ana kazi kubwa kama hataachana na vita ni kubaki pale Eukraine akisimika utawala wake utakaomtii yeye bila kelele kutoka ndani na nje na bila machafuko ya waasi masalia huku akipambana na vikwazo na kuwatuliza raia wake ambao wanaumia na vikwazo.
Mnapata wapi tarifa jamaniiKatika kipigo kilichotembea leo urusi imetoa kipigo aisee. Putin hapendi kuuwa watu hovyo ila kipigo cha leo ni balaa tu.
safi sana KIDUKU ila habari yako kama inaukakasi haijakamilikaBreaking news North Korea warusha makombora .usimshabikie Huyo shetani putin ,ona Sasa wanaanza vita ya dunia .