LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Nakubaliana na ww bei!
Ilaha tunacho jadili Mrusi hakuwa na lengo zuri kwenye ile vita!
 
hili lakwamba PUTIN hakujiandaa kuingia vitani nalipinga
nahili lakuanza kutilia shaka uwezo wa RUSSIA wakat hata week bado hili sidhanii kama lipo sawa
nakama kweli RUSSIA antumia silaha zakawaida kama unavyosema hajatumia hizi zilizoendelea na kaishafikia hizo kilometa unazosema kuingia KIEV basi bado RUSSIA yuko one step ahead ikumbukwe battle field ni UKRAINE
bado hakujawa namuda wakusema tuanze kujudge uwezo wa RUSSIA kijeshi yaani WAR haina hata week kweli mnaanza kuleta hizi longo longo
hadi wewe kweli MKUU[emoji848]
 
Wewe ndo yule wanaume aliosema hilda Newton. Raia akkimbie na wewe Rais ukimbie...lazma rekord ziwekwe sawa yeye kma raia Namba Moja, ameona hawez kufanya hilo.
Kumbuka ghadafi, Sadam Hussein wangweza kukimbia lkn walibak kutetea walichoamin hadi mwisho.
Sometimes inafika life iz not worth anymore...
 
Hivi una akili sawasawa?? Unataka Urusi atumie ATOMIC pale UKRAINE?? Wewe kwa akili yako MAJESHI YA URUSI YAPO WAPI? AU KWA AKILI ZAKO NCHI KUPIGWA NI KUPIGA MJI MKUU TU??
 
IMF imesema itaisaidia ukraine kifedha
 
Mnaosema sanctions hazitamuathiri Putin mnakosea. Putin anathamini sana oligarchies kuliko raia, sasa oligarchies ndio biashara hawawezi fanya sawasawa kama SWIFT ikifungiwa na wengine wao wana sanctions. Kutokuwa na uungwaji mkono wa oligarchies ni threat. Importation na exportation lazima vipungue, thamani ya ruble iporomoke. Tutarudi hapa miezi michache, utaona kama raia hawataaandama. Tuombe uzima tuwepo.

Hii vita ikichelewa ndio vitu vinazidi kubanwa. Mara Ujerumani anabadili gear anatuma silaha, mwishowe utasikia China kala kona. Russia always teachs China what not to do
 
makosa hawana, ila wanajua watashindwa, watakufa na haitawasaidia kitu. sema ndio jeuri ya masikini tu. hapo ungekkuwa wewe busara ingekuwa nini?
mzee ni kupambana kufa kiume ila nina wasi wasi wako kama mwanaume mamuz yako yatakuwa yanaperekeshwa sana na mkeo
 
We endelea kuota, watu wamechoka na ubabe wa USA, wanakiwasha na hakuna kitu mtawafanya.
 
Naona mmeanza kuyageuza maneno sasa hivi,siku tano nyuma,mbwembwe zilikuwa nyingi hapa utadhani Ukraine walikuwa hawajajiandaa na Vita hata kama inazidiwa kwa kila kitu na Russia,leo upinzani umekuwa mkali mnaanza kuja na hizi excuses
 
Haya sasa, waje wale WAUKRAINE waongee, tuliwaambia URUSI hawana utani, wametembeza kichapo kizito sana. Rais wa UKRAINE hana akili unawapaje Silaha wananchi wapigane na Urusi?? Sasa watakiona cha moto.
Russia wameingia mzigoni Rasmi.
kumbe warusi walikuwa wanatania? pro putin mnashida mahali
 
Yule alijitia kimbelembele bado wale mabondia

Urusi fyeka mbwa wote hao
Bondia na bunduki wapi na wapi? Wewe waache waangamie kwa kukosa maarifa. Badala ya kwenda Russia au China,au North Korea kuliko na amani na free of stress yy anabaki ukraine ili tumuonee huruma. Tutampiga na yeyote atakayewashwa
 
Naona mmeanza kuyageuza maneno sasa hivi,siku tano nyuma,mbwembwe zilikuwa nyingi hapa utadhani Ukraine walikuwa hawajajiandaa na Vita hata kama inazidiwa kwa kila kitu na Russia,leo upinzani umekuwa mkali mnaanza kuja na hizi excuses
hakuna excuse MKUU shida ni KIEV nanisuala la muda tuuuu
 
hakuna anaekana athari za vikwazo MKUU ila kuna wanaosema kwamba PUT IN aliishategemea haya kabla yakuingia vitani na UKRAINE
lengo UKRAINE ipigwe mpaka isalimu amri nanisuala lamuda tu
 
We endelea kuota, watu wamechoka na ubabe wa USA, wanakiwasha na hakuna kitu mtawafanya.
Wanakiwasha huku wanahenyeshwa na Nchi ndogo Ukraine,maneno yalikuwa mengi hapa kabla,sasa hivi mmeanza kurukaruka kama mahindi ya popcorn kikaangoni.
 
Naona mmeanza kuyageuza maneno sasa hivi,siku tano nyuma,mbwembwe zilikuwa nyingi hapa utadhani Ukraine walikuwa hawajajiandaa na Vita hata kama inazidiwa kwa kila kitu na Russia,leo upinzani umekuwa mkali mnaanza kuja na hizi excuses
Retreat za Ukraine huzioni? Saizi wote wamesogezwa kwenye kibangara kimoja kama mngejua kamji hako kanapigiwa final decision msingekuwa mnajitutumua hapa. Kyiev is circled by Russia forces while uncertainty of exploitation wandering in Ukrainian's mind. Mashaka yamejaa hadi kwenye chupi,matumbo tanasokota,msongo wa mawazo ya kifo yametawala,watoto wameliaaaaaaa hadi ndefu za mchozi zimejitengeneza. Mmeniamsha sasa yaani ukraine ana banabana mzigo? Subirini sasa this is a revenge on behalf of american people and his dogs who barking days and nights Mhaza faka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…