RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,155
Mkuu naomba unipe mtazamo wako bila kuegemea upande maana ww ni mtu mwenye uelewa mkubwa sana hasa hasa kwenye nasuala ya kijeshi.
(1)hivi mkuu unadhani ni kwann Urusi imeamua kutumia njia hii ya kufanya ambush kwenye miji mingi kwa wakati mmoja? je hili halilipunguzi ufanisi?
(2)kuna coment moja nimesoma ulikuwa una sema ya kwamba wanajeshi wengi wa Urusi walio tumwa Ukraine si wazoefu wa vita, ni kweli kabisa hata mm hilo nimeliona maana wengi ni vijana wadogo ,sasa swali langu kwann atumie wanajeshi wasio na uzoefu wa kimapambano au ali idharau Ukraine?
(3)kwa kiasi kikubwa silaha nyingi anazo tumia Urusi ni za kizamani je kwann atumii silaha zake zenye uwezo wa hali ya juu ili ashinde vita haraka?
(4) Urusi inaonekana kupata kigugumizi kutumia nguvu hasa za angani una dhani ni kwann? Maana nakumbuka kipindi Urusi ana ishambulia Allepo yale mashambulizi yalikuwa makali sana ,Iwapo hayo mashambulizi angekuwa ana kumbana nayo Ukraine sidhani kama angeweza ingeweza kuhimili.
Mwisho mtazamo wangu inaonekana wanajeshi wengi wa Urusi sio wazuri kwenye mapigano ya mjini maana sehemu za wazi wamepita kirahisi ila mjini inaonekana wana sumbuka sana.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
(1)hivi mkuu unadhani ni kwann Urusi imeamua kutumia njia hii ya kufanya ambush kwenye miji mingi kwa wakati mmoja? je hili halilipunguzi ufanisi?
(2)kuna coment moja nimesoma ulikuwa una sema ya kwamba wanajeshi wengi wa Urusi walio tumwa Ukraine si wazoefu wa vita, ni kweli kabisa hata mm hilo nimeliona maana wengi ni vijana wadogo ,sasa swali langu kwann atumie wanajeshi wasio na uzoefu wa kimapambano au ali idharau Ukraine?
(3)kwa kiasi kikubwa silaha nyingi anazo tumia Urusi ni za kizamani je kwann atumii silaha zake zenye uwezo wa hali ya juu ili ashinde vita haraka?
(4) Urusi inaonekana kupata kigugumizi kutumia nguvu hasa za angani una dhani ni kwann? Maana nakumbuka kipindi Urusi ana ishambulia Allepo yale mashambulizi yalikuwa makali sana ,Iwapo hayo mashambulizi angekuwa ana kumbana nayo Ukraine sidhani kama angeweza ingeweza kuhimili.
Mwisho mtazamo wangu inaonekana wanajeshi wengi wa Urusi sio wazuri kwenye mapigano ya mjini maana sehemu za wazi wamepita kirahisi ila mjini inaonekana wana sumbuka sana.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app