LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ukraine ishasema inapigana defensive war na silaha zote inazopewa ni defensive wala sio offensive. Ukraine haijaingia kuvamia Urusi wala haina uwezo huo.

Urusi mpaka sasa wana mji mmoja mkubwa wa Kharkiv ambao uko mpakani nao. Hapo watakuja wanasogea taratibu kwa sababu mji upo mpakani wanavusha supplies wanapiga kwa 'kuambukiza'. Hawana uwezo wa kupiga kwa stretching mpaka sasa, hawana flexibility.

Kwenye ramani: K- Kharkiv mpakani na Russia
C- mashambulizi kutoka Crimea
D- Donetsk na Luhansk regions
Hapo Kaskazini kutokea Belarus ndio wanapigana kuichukua Kyiv ambayo iko karibu tu na Belarus ila ndio concentration ya Ukraine ilipo.

Bila Russia kutumia Belarus sasa hivi tungekuwa tunawacheka. Haki ya Mungu hili sio jeshi la kukutana na vichaa kama PolandView attachment 2132819
Unafanyaje Defensive bila kuua?? Huu ujinga wapelekee FACEBOOM
 
Kina nani wamechoka. Hao wanaopigania kilomita 10 kwa siku mbili? Yani Belarus na Russia ndio unasema wamechoka, hata ukijumlisha uchumi wao hauathiri sana dunia. Sanasana bei ya mafuta na gesi itapanda, mafuta yatakuwa replaced na output kubwa ya OPEC. Russia ataendelea kuuza gesi Ulaya kama hataki ainywe, Ulaya ina options kibao za gharama kubwa kupata gesi. Russia isiuze gesi uchumi ufe tuone kama raia hawataandamana
[emoji23][emoji23][emoji23] punguza hasira mzee, tafadhali michambo ya uswahilini hatuhitaji. Wacha tuone kinachoendelea hapo Ukraine.
 
Hii thread ingependeza tungekuwa tunaweka updates tuone Nani anazidiwa na yapi ni propaganda Siyo kufanya ligi ya kipumbavu
Urusi anakutana na upinzani mzito kila anapokatiza mitaa... Convoy zake nyingi zinavamiwa... Ukraine wanapiga kwa kuvizia sana na ndio kinachowasaidia... Kwa ufupi Kukipambazuka ni Zamu ya Ukraine kutamba, ila kiza kikiingia ni Zamu ya Urusi kutamba
 
⚡Belarus President Lukashenko: "They (the Russians) are sitting in Gomel and waiting. If the Ukrainians come, there will be talks. If not, as President Putin told me yesterday, what can we do, it's their choice"

RT
 
Leo peke yake urusi imeibeba miji mitatu kutoka ukraine ikiwemo mji wa pili kwa ukubtwa mji wa pili kwa umaarufu sasa wanajeshi wa ukraine walitaka kutumia drone kuwapiga warusi ndani ya viunga vya jiji la kiev urusi iliishusha chap chap kuna jimbo lingene litatekwa muda mfupi ujao
img_2_1645914782886.jpg
 
⚡Head of the Russian delegation in Belarus: will be waiting for the Ukrainian side to agree to talks until 3pm msk (about 3 hours left)

RT
 
⚡️Taiwan’s TSMC - the world's largest semiconductor manufacturer – has suspended deliveries to Russia due to the military operation in Ukraine (local media citing sources)

Taiwanese news agencies also said that TSMC have suspended the production of Elbrus brand semiconductors – which were developed in Russia.

RT
 
⚡Belarus President Lukashenko: "They (the Russians) are sitting in Gomel and waiting. If the Ukrainians come, there will be talks. If not, as President Putin told me yesterday, what can we do, it's their choice"

RT
Haya mambo ya talking kwa walipofikia hayana maana. Russia amalizie kisha aseme anataka nn akishachukua nchi. Kulazimisha sana mazungumzo napo ni dalili ya kuona wote inakula kwenu.
 
Hapa ndugu zetu warusi itagharimu maisha vijana wao ambao wako front, humu ndani wachangiaji wengi hawaijui principles za medani zaidi yakuwa na mahaba kwa Putin na jeshi lake. Military supply kwenye uwanja wa medani ni kitu muhimu sana ambapo mara nyingi unafanikiwa kama ukipata air superiority yaana kuharibu air defence system ya adui yako, urusi ilijua itamaliza vita mapema kumbe Ukraine sio wezembe wamekata supplies kwa kuharibu barabara kwenye baadhi ya maeneo, Kuna baadhi ya convoys zimeshambuliwa na kuharibiwa vibaya, vijana wa Ukraine wengina wanatumia guerrilla warfare strategy kuharibu military hardware za urusi ndio maana urusi wameanza kurusha makombora kutokea black sea kama fire support
Jeshi la Marekani 60% yake huwa ni logistics. Vita haipiganwi na anayefyatua risasi mbele peke yake. Kabla yake kuna watu wengi mno wanaodharaulika machoni pa raia, kuna dereva aliyeleta silaha na atayeleta zikiisha (ndio hao wanaoshambuliwa mitaani na maroli yao hapo Kyiv). Kuna medic atakayetibu majeruhi, hawa ni muhimu kuliko anayepigana bila hawa utapoteza wanajeshi hata anayevuja damu mkononi tu na bila hawa hupati morali ya jeshi. Bado hawabebwi wakiumia au kufa, unakuta column ya Urusi inapita inakuta wanajeshi wake barabarani wamekufa au vifaru vimeungua. Marekani huwa inaenda na recovery vehicles kama Hercules kubeba kifaa kilichopigwa kukitoa machoni pa wanajeshi.

Urusi bado ina reli zote kwake na kwa Belarus inaweza zitumia ila ikikutana na kina Finland wenye airforce ya kujitutumua na last year wameagiza F-35s hizo railway facilities zitaharibiwa, mizigo ihamishwe kwenye reli ipite barabarani, columns za malori zipigwe ambush wanajeshi wapigane siku tatu bila supplies wapate njaa wajisalimishe au wafanye retreat. Hivihivi Finland ilipigana na USSR wakatoka kapa
 
⚡️Further unverified footage shows Russian armored vehicles on the streets of Kharkov – the clip again suggesting Russian Armed Forces have penetrated into the East Ukraine city

RT
 
Na wewe upunguze mahaba yako pia kwa upande unaouegemea, yale yale ya Nyani haoni........ Ni nyinyi hapa mlituletea porojo za vita kumalizika ndani ya masaa 24,sasa hivi mmegeuka mmeanza kuja na vijisababu mia kidogo,mlidhani Ukraine ilikuwa dhaifu kiasi hicho.
Samahani ndugu hivi UNATOKEA KIGOMA sehemu gani
 
Vita


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom