Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Nimemtumia sms baba kuwa aue wote then kizazi chetu kitaishi kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Russia ikifungiwa SWIFT watafanyaje. Watalipua ofisi za IMF au mabenki makubwa duniani?Unaandika mambo mazito sana kwa wepesi wepesi sana kama mchezo wa simba na yanga. Russia ya leo sio ile ya zamani, kumbuka Russia na mchina wanachotaka kukifanya.. sio rahisi kwa kila pande hii ngoma bado mbichi sana.. itakuja fumua mengine
Defensive unajua maana yake au unakurupuka???Unafanyaje Defensive bila kuua?? Huu ujinga wapelekee FACEBOOM
MJOMBA unakomaa shingo utadhani unaongea na warusi haswa unachoka bure tu zingine zichukuliwe kama porojo tu.kwani putin alitoa tangazo la muda wa vita. Kuna wakati tunajinasibu kuwa wasomi lakini ni weupe tu. Mnawezaje kubishania kitu kwa siku kadhaa angali wote Mpo mbali na hamna ushahidi sahihi na mnaloliongelea.Naona mmeanza kuyageuza maneno sasa hivi,siku tano nyuma,mbwembwe zilikuwa nyingi hapa utadhani Ukraine walikuwa hawajajiandaa na Vita hata kama inazidiwa kwa kila kitu na Russia,leo upinzani umekuwa mkali mnaanza kuja na hizi excuses
Ukraine wamepelekwa wanamgambo waliojitenga ,jeshi kamili LA urusi lipo linasubiri risasi hata moja kutoka NATO wataanza na huyo mpolandaUkraine ishasema inapigana defensive war na silaha zote inazopewa ni defensive wala sio offensive. Ukraine haijaingia kuvamia Urusi wala haina uwezo huo.
Urusi mpaka sasa wana mji mmoja mkubwa wa Kharkiv ambao uko mpakani nao. Hapo watakuja wanasogea taratibu kwa sababu mji upo mpakani wanavusha supplies wanapiga kwa 'kuambukiza'. Hawana uwezo wa kupiga kwa stretching mpaka sasa, hawana flexibility.
Kwenye ramani: K- Kharkiv mpakani na Russia
C- mashambulizi kutoka Crimea
D- Donetsk na Luhansk regions
Hapo Kaskazini kutokea Belarus ndio wanapigana kuichukua Kyiv ambayo iko karibu tu na Belarus ila ndio concentration ya Ukraine ilipo.
Bila Russia kutumia Belarus sasa hivi tungekuwa tunawacheka. Haki ya Mungu hili sio jeshi la kukutana na vichaa kama PolandView attachment 2132819
Mkuu watu wanakasirisha hawatumii reasoning. Wewe una gesi unauza elfu 10 nami nanunua 60% ya gesi yangu kwako, 40% nanunua mbali tena kwa elfu 12 ila nikitaka kununua yote 100% kwa hivyo vyanzo vya elfu 12 naweza ingawa inahitaji muda na nitakula hasara. Wewe usiponiuzia hutopata wa kumuuzia mwingine, wanunuaji wako wengine wametosheka na kiasi unachowapa. Mauzo yako ya nje mengi ni gesi, ukigoma kuniuzia gesi hiyo huiuzi kwingine. Tukishindwana biashara nani anapata hasara kubwa.[emoji23][emoji23][emoji23] punguza hasira mzee, tafadhali michambo ya uswahilini hatuhitaji. Wacha tuone kinachoendelea hapo Ukraine.
Wanayahamisha wanayobishania humu halafu wanataka iwe russia na Ukraine wawasikilize. Unawezaje kupigana vita na watu wenye silaha halafu usigusswe au tunacheki picha la rambo nini.Kuna watu wanachekesha sana mkuu. Urusi akiamua kutumia silaha zake za mass destructions sio tu ataipiga, bali ataipoteza kabisa Ukraine kufumba na kufumbua. Putin hataki tu kuua raia na kwenda kinyume na sheria za vita, ndio maana zoezi linachukua muda kidogo, ila Urusi kufanikiwa kupo pale pale, ni suala tu la muda. Hamna vikwazo ambavyo vitawekwa Putin hakujua kwamba vitawekwa, hilo halimtishi. Vikwazo vinazidi kuongezeka, ila mwamba hana habari, ndio kwanza anazidi kuvuka border kupeleka vifaru
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa ni Bayraktar TB2 hii. Silaha za Urusi zilikutana nazo Libya zikasumbuliwa, Syria zikasumbuliwa, Azerbaijan pia ila makampuni ya Urusi yalikuwa busy kutafuta counter drones.Muda mfupi uliopita drone ya ukraine imeshushwaView attachment 2132836
Russia ana kazi kubwa sana ya kurudisha uhusiano na mataifa mengine. Nina wasiwasi hii ni vita ya Puttin sio warusi.⚡️Czech Rep joins Poland and Sweden in refusing to play Russia in soccer World Cup play-off for the 2022 tournament in Qatar - reports
RT
Mkuu sasa hivi inaonekana amenza kutumia nguvu zaidi ya mwanzo nadhani hawakutarajia kupata upinzani mkubwa kama ulio upata, sasa hivi wamezinduka usingizini na kugundua ya kwamba vita si ya kitoto.Kharkov ambao ni mji wa pili kwa ukubwa uko chini ya majeshi ya Urusi hadi sasa baada ya mapigano ya usiku na leo asubuhi. Bado kuna pockets chache za Ukraine
Akiingia anajifanya huwezi kunibaka ukimbaka unakuta ni mbakwaji mzoefu.Yaani nyie jamaa yaani mna Yale mambo ya " Mahaba Niue". Yaani ni kama mtu aseme adui hawezi kuingia getini kwangu, halafu akiingia unasema hawezi kuingia ndani ya nyumba, kaingia hadi sebuleni mnaanza kusema adui ANAPATA SHIDA KUINGIA MASTER BEDROOM KWANGU.
MIMI SIPENDI HUO UVAMIZI WA RUSSIA lakini napenda kuongelea uhalisia.
Urusi hana ubavu wa kuwagusa hao ni majigambo na maneno kama ya kwenye khanga moko ya babu Putin. Ukren tu panamtoa jasho la mbupu sembuse hizo nchi tena 4 kwa mpigo.mbona poland, Deutschland, Netherlands, turkey, wametoa msaada ya fedha na silaha kwa kyiv hawajafanywa chochote mpaka muda huu
View attachment 2132849
Angalia kama nchi yako ipo hapo kwenye hii Ramani.
Kisha uendelee kumshabikia Mmarekani aliyejenga vituo 25 vya maabara za silaha za kibaiolojia duniani kote kituo cha majaribio cha silaha hizo kikiwepo Georgia na Ukraine kwa sasa.....Katika nchi zilizokuwa wanawachama wa kisoviet kajenga vituo 11 vya maabara za silaha za kibaolojia target kubwa ni kuanza na Russia.
Marekani wanatengeneza magojnwa ya hatari kwa ajili ya kuangamiza binadamu kwa miradi inayogharimu mabilioni ya dola,lengo ni kuuwa watu na kuwa super power anayewapangia watu maisha,inawezekana Putin anataka kusambaratisha maabara hizo hapo Ukraine....maana inasemekana wanapandikiza magonjwa kwa mmbu na wadudu wengine kisha wanatumwa Russia.
Magonjwa kama Ebola,Zica,Corona,Mers, na mengine mengi yanatengenezwa kwenye maabara hizo kwa tafiti za mabilioni ya dola chini ya mpango wa Pentagon project uliochini ya jeshi la marekani DOD- department of diffence.
Sasa si wanampa ushindi wa mezani!⚡️Czech Rep joins Poland and Sweden in refusing to play Russia in soccer World Cup play-off for the 2022 tournament in Qatar - reports
RT
Mwisho wa siku Urusi atakosa wa kucheza naye WC Q[emoji298]️Czech Rep joins Poland and Sweden in refusing to play Russia in soccer World Cup play-off for the 2022 tournament in Qatar - reports
RT
Russia naye anasubiri nini si ajenge naye vituo vyake ajilinde na usa au hela hana? au technolojia hana? au kama ana ubavu si alipue hivyo vituo nchi mbalimbali au ijino kwa jino hawezi? so anabaki kulialia tu kama ukreni!View attachment 2132849
Angalia kama nchi yako ipo hapo kwenye hii Ramani.
Kisha uendelee kumshabikia Mmarekani aliyejenga vituo 25 vya maabara za silaha za kibaiolojia duniani kote kituo cha majaribio cha silaha hizo kikiwepo Georgia na Ukraine kwa sasa.....Katika nchi zilizokuwa wanawachama wa kisoviet kajenga vituo 11 vya maabara za silaha za kibaolojia target kubwa ni kuanza na Russia.
Marekani wanatengeneza magojnwa ya hatari kwa ajili ya kuangamiza binadamu kwa miradi inayogharimu mabilioni ya dola,lengo ni kuuwa watu na kuwa super power anayewapangia watu maisha,inawezekana Putin anataka kusambaratisha maabara hizo hapo Ukraine....maana inasemekana wanapandikiza magonjwa kwa mmbu na wadudu wengine kisha wanatumwa Russia.
Magonjwa kama Ebola,Zica,Corona,Mers, na mengine mengi yanatengenezwa kwenye maabara hizo kwa tafiti za mabilioni ya dola chini ya mpango wa Pentagon project uliochini ya jeshi la marekani DOD- department of diffence.