LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kwann Eukraine inakataa ofa ya mazungumzo?
 
Tukuache wewe na nani? Ukute hujui hata ubalozi wa Urusi ulipo hapa Tanzania. Unaleta mambo ya mpira ya "sisi Man U tumemnunua XXX"
Hao mabalozi wameoza ila lile jiwe kuu ndio ninalolitumainia toka enzi za Jesus na habari njema
 
Putin amekuwa surprised na jinsi Ukraine walivyopambana kwa uhodari, vifaru vinaungua, vingine vipo abandoned, vijana wadogo wa Kirusi wanakuwa captured lazima awe frustrated.

Above all tunawaombea amani.
 
Hongera kwa kuwa mjuvi mzuri wa mbinu za medani, mabeberu wana spy plane zinawakusanyia taarifa za ujasusi ambazo huchakatwa na military elites ambao huandaa mpango mkakati wa ku offense, wengi walitarajia mabeberu waingie in actual fighting bila behind the scene wanapelekeshana puta na putini. Umenikumbusha askari wa amin enzi za vita ya kagera walimdharau mkulima bibi kizee kilichowakuta kesho Simba battalion ikasambaratishwa
 
Kwann Eukraine inakataa ofa ya mazungumzo?
Hajakataa kuzungumza, walikubaliana wakutane Belarus na Maafisa wa Urusi walishafika huko.. Ukrane wamegoma wanasema hatuweza kujadiliana kwenye nchi ambayo ipo upande wako hivyo itafutwe nchi nyingine isiyoegemea upande wowote.
 
Hajakataa kuzungumza, walikubaliana wakutane Belarus na Maafisa wa Urusi walishafika huko.. Ukrane wamegoma wanasema hatuweza kujadiliana kwenye nchi ambayo ipo upande wako hivyo itafutwe nchi nyingine isiyoegemea upande wowote.
Ndo kukataa boss. Kama anapigwa na anashindwa anatoa wapi kiburi cha kuchagua wapi pa kuzungumzia?
 
Hili swali tangu jana unaliuliza lakini Pro Russia hakuna anaethubutu kukujibu.
Ukraine wanasema Belarus hawako neutral wameruhusu Russia kurusha mizinga toka kwao kwa hiyo wako tayari mji wowote iwe Turkey, Baku au hata Warsaw sababu Belarus imechaguliwa na Russia sio wao wala Belarus. Ndio sababu kuu katoa Rais wa Ukraine kama saa moja lililopita.
 
Iraq alipigwa kwanza defence systems airports armoury. Afu ndio boots on the ground
 
Putin amekuwa surprised na jinsi Ukraine walivyopambana kwa uhodari, vifaru vinaungua, vingine vipo abandoned, vijana wadogo wa Kirusi wanakuwa captured lazima awe frustrated.

Above all tunawaombea amani.
Nusu ya magari ya Vita na vifaru vya Urusi vishateketea ,miundo mbinu imeharibiwa na Ukraine na pia wameshiwa na mafuta na kukimbia mziki ni wanaosupply silaha na mafuta za vifaru
 
Ndo kukataa boss. Kama anapigwa na anashindwa anatoa wapi kiburi cha kuchagua wapi pa kuzungumzia?
Wanasiasa wanatafuta mileage tu hawajali watu kufa kila mtu anatizama maslahi yake ndio maana hata yule Rais aliyepita wa Ukraine naye yuko huko barabarani kutafuta kick za kisiasa.
 
Reactions: Tsh
Lakini ni ajabu kidogo. Au wewe unaonaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…