Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Ni sahihi. Ila hizo milage anazipata vipi na kazidiwa anapigwa? Ilitakiwa muda huu awe amekubaliana na Puttin kuhusu usalama wake wa kisiasa sababu amezidiwa. Au hajazidiwa bado?Wanasiasa wanatafuta mileage tu hawajali watu kufa kila mtu anatizama maslahi yake ndio maana hata yule Rais aliyepita wa Ukraine naye yuko huko barabarani kutafuta kick za kisiasa.