Mjiongeze kidogo kwa wao Ukraine wamekufa 137 tu Russia 4300 na watu wako mlangoni kwenu acheni propaganda za kijinga hizi mjiongeze kidogoView attachment 2132962
Ukraine: We're kicking ass but also please help us!
Ukraine wananifurahisha sana! Vita ina siku 3 kwa 4 wamewaangusha Urusi hivyo! Ok, ni lini watafika Moscow na kuizingira?
Hajagoma, YEYE NDIO AMEOMBA MAZUNGUMZO, LKN URUSI WAKAWEKA MASHARTI KUWA MAZUNGUMZO HAYO YAFANYIKE BELARUS. UKRAINE AMEKATAA KUFANYIKIA BELARUS BADALA YAKE AMEOMBA IWE UTURUKI au nchi tofauti na Rafiki wa URUSI.Huyu jamaa wa Eukrain kamgomea tena russia mazungumzo[emoji15][emoji15]?
Kama jirani Bakhresa nitakubali tuWe una ugomvi na mtu ,Ila huyo mtu anapitia kwa jirani kukurushia mawe halafu anakuambia kikao ya usuluhishi mkafanye kwa jirani utakubali?
mnajifariji sana. Waste media zinachemsha mawe na mnadanganywa ni maboga na nyie mnasubiri yaive mle wakati hao waste media wanawasubiri mlale ili wakatupe mawe maana sufuria inatesekaMisaada kama yote kuwa Ukraine👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Greece to send defence supplies to Ukraine
Greece is sending defence supplies to Ukraine in response to a request from Kyiv, Prime Minister Kyriakos Mitsotakis’s office says.
Two C-130 military transport planes will carry the supplies to Poland, from where they will be transported onwards to Ukraine, the office said.
The move comes after Athens said on Saturday that 10 Greek nationals had been killed and six others wounded by Russian bombings near the city of Mariupol, in southeastern Ukraine.
EU should fund weapons and fuel for ‘heroic’ Ukraine, Borrell says
The European Union’s foreign policy chief says he will propose using the bloc’s funds to help finance weapons and other supplies for Ukraine during a meeting of its foreign ministers later.
“I will propose to [EU foreign] ministers to use the European Peace Facility for two emergency assistance measures,” Josep Borrell said in a statement ahead of the virtual meeting.
“These aim to finance the supply of lethal material to the heroic Ukrainian army, which is fighting with fierce resistance against the Russian invaders and provide urgently needed non-lethal supplies, such as fuel.”
RUSSIA KAISHA, NILISEMA ATA SURRENDER
Haya sasa
waste media hizo alafu askari wenyewe mi pamoja na demu huyo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 waje tu kwani pos hakuna mademu naona wanatuletea. Mumeamsha mzuka huko kambodia ya urusiRUSSIA KAISHA, NILISEMA ATA SURRENDER
Wamegundua Marekani anaweza kuwaingiza chaka muda wowote, bora wajihami wenyewe tu.Muda si mrefu Ujerumani imetangaza itaongeza Euro bilioni 100 ambazo ni trilioni 259 kwenye mfuko maalum wa kuimalisha ulinzi. Teknolojia ya Ujerumani ni kubwa ila hawafanyi mass production ya silaha zao.
Japan jana Shinzo Abe aliyekuwa Waziri Mkuu wao akajiuzuru kwa ugonjwa amesema wanaweza fikiria kumiliki silaha za nyuklia kutoka kwa allies wao, kama ambavyo huwa zinawekwa Uturuki au Ujerumani. Hata hivyo naona Japan akiamua kutengeneza silaha za nyuklia hatumii hata miaka minne anakuwa nazo, teknolojia yao kubwa sana.
Urusi imefanya mataifa yaliyozembea kwenye ulinzi ila yana uwezo yajishtukie.
Reuters ni chombo cha mfaransa,hawawezi msifia adui.
Uko sahihi kwa upande Fulani...ila Mimi naumia Sana Kuna watu wengi humu wanashabikia tu paspo kikua undani wa mgogoro huu Kati ya Russia na Ukraine.Umemsikia peke yako?? Amesema atasaidia vifaa kama wanavyosaidia USA, UK nk. Huwezi ingilia hiyo Vita, maafa ni makubwa sana. Kwangu mimi, the best way ni wakae mezani UKRAINE aachane na kujiunga NATO. Au kama UKRAINE atajiunga NATO basi URUSI nae AKAJENGE BASE ZAKE CUBA NA MEXICO.
Duu jeshi la Urusi liko vitani halafu hawajui kinachoendelea😃😃😃😃😃😃wabongo bana.Mnajua kwa nini hatupati video na picha za upande wa Urusi zikielezea wanavyoshambulia Ukraine? Urusi hawaruhusu matumizi ya simu wakiwa kwenye military deployment. Ilianza miaka kama mitatu nyuma walivyoenda Libya wakajirekodi jamaa mmoja wa OSINT anatambua location ikajulukana wana mission ya siri. Pia pale Syria Israel ilikuwa inatumia signals za simu kujua concentration ya wanajeshi wako wapi.
Kwahiyo tunaishia kupata video na picha za Ukraine kwa kuwa kuna raia kibao na wanajeshi smartphones wanazo. Wanajeshi wa Russia hata hawajui kinachoendelea wakikutana na raia mtaani asiye na silaha wanauliza jeshi lao linafanyaje. Wanashambuliaz wana scores, wana kills ila tunapata taarifa za upande mmoja. Clips kibao za kuwachafua, jana kuna walioiba vyakula leo kuna waliobomoa A
Wanatumia mabilioni ya dola kungamiza dunia,kwenye hiyo ramani na hapa Tz kuna moja wapo ya hizo maabara,ni hatari sana mara corona mchanje,mara ebola kumbe wenzenu wametulia wakijipongeza kwa kazi kama wallivyotarajia.Kuna watu humu watabisha kuna doc zinasambazwa kwenye mitandao kutoka ubalozi wa marekani uliopo Ukraine walizifuta walitaka dunia isijue wale watu ni mashetani kabisa
Tunahitaji data za pande zoteView attachment 2132962
Ukraine: We're kicking ass but also please help us!
Ukraine wananifurahisha sana! Vita ina siku 3 kwa 4 wamewaangusha Urusi hivyo! Ok, ni lini watafika Moscow na kuizingira?
Una akili ndogo wa mwamba kwa akili yako unafikili European super power kama uk na Germany niwajinga. Kuna mwamba Germany kaficha makucha na aggressive kwenye medani hata miltay soft and hardware. Uone aibu kuongea vitu vya kitoto hivi wakati ni mtu mzima. Uliza Finland aliwahi kuwafanya nini Russia ujue wamba nuclear wanazo na wanaweza kuzitumia against RussiaIko hivi Ukraine ameomba raia wa nchi zingine waje kumsaidia. Hii ni danganya toto. NATO na Marekani wamemtuma aseme hivyo kuuficha ukweli. Kwa sasa Mrusi anapigana na makomandoo wa NATO na Marekani.
Ujerumani kaeleka silaha na Marekani vilevile na washirika wake.
Silaha hizi ni nzito na nyepesi. Baada ya kuzisimika utasikia Ukraine ameshambulia Moscow.
Hapo sasa ndipo siioni tena Ulaya kwenye uso wa dunia.
Ataanza na Poland kisha wengine wanafuata.
Mrusi siyo zezeta.
Punguza jazba sisi washabiki tu. Kutukana hakumalizi vita hivi.Una akili ndogo wa mwamba kwa akili yako unafikili European super power kama uk na Germany niwajinga. Kuna mwamba Germany kaficha makucha na aggressive kwenye medani hata miltay soft and hardware. Uone aibu kuongea vitu vya kitoto hivi wakati ni mtu mzima. Uliza Finland aliwahi kuwafanya nini Russia ujue wamba nuclear wanazo na wanaweza kuzitumia against Russia