LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ukraine inaenda kuwa magofu Sasa,,, imekuwa uwanja wa Vita sasa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Daaa hawa Russia ilipaswa wapate mkong'oto Wa hali ya juu sana sema ndio hivyo dunia imejaa unafiki
 
Umeweka ushabiki pembeni kabisa. Umeeleweka.
 
Weka ushabiki pembeni. Kugoma maana yake ni kukataa. Sasa kama nimekuomba mazungumzo halafu ukanipa masharti na nikakataa sharti lako si ndo kugoma huko? Ukiwa na upande utapatwa hasira tu zisizo na maana na Russia yenyewe ikishashinda Eukrain wewe huku nyumbani hawakupi tuzo ya chawa bora.
 
Umeisikiliza vizur speech ya chancellor?!...
 
Tunahitaji data za pande zote
Nisome tena!

Huoni kama ni (ashakum si matusi) lugha ya kejeli?

Vita ya siku 3 umeua wanajeshi wa Urusi wengi ina maana si anawashinda? Ikiwa hali ni hivyo kwa nini Ukraine wanaomba msaada wasaidiwe?

Ndiyo maana nikamalizia kwa kuandika ni lini watafika Moscow?
(Kuiteka)?

Umeshanielewa?
 
UK kashatuma jeshi mambo ni fire 🔥🔥🔥🔥Russia analetwa kati sasa ivi
 
FIRST: US-made anti-bunker grenade launcher found in Ukrainian positions near the city of Mariupol
 
Kwani aliyemsambaratisha ujerumani during ww1 na 2 ni nani kama siyo usoviet chini ya Russia. Rejea historia yako vzr ujerumaji alitangaza kusarenda baada ya kichapo hevi kutoka usoviet
 
Kweli mkuu. Inafikirisha sana, Mtu anapigwa, kazidiwa na inasemekana anapokea kichapo kweli ila hataki mazungumzo na anatoa masharti .Kwanini?
Muwe mnasikiliza vizur... Ukraine haijakataa mazungumzo Bali imekataa sehem ya kufanyia mazungumzo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…