LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Aliomba mazungumzo ..Russia akasema yafanyikie Belarus... Ukraine amegoma.......
Mpaka hapa tumeelewana kuwa amegoma. Hayo maombi mengine si yale ni mapya. Huenda ni war technique tu hataki mazungumzo. Russia amalizie tu kilichompeleka.
 
Wakati rais wenu akiwa polini,huku mke wa Putin yuleeee kwenye benz nyeupe anatoka supermarket hapa na hana wasi wasi. Mniambie na madam ukraine wenu anahamu hata ya qukunwa?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Democratic world tour.
Screenshot_20220227-154049_Chrome.jpg
Screenshot_20220227-154059_Chrome.jpg
 
D

Duu jeshi la Urusi liko vitani halafu hawajui kinachoendelea[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]wabongo bana.
Hayo matank, ndege vita na kila kitu ni matokeo ya intelegensia ya hatari.
Yaani kabla ya kufanya chochote Kuna kazi kubwa sana ya intelegensia inafanyika.
Yaani Urusi kwa ukubwa wao washindwe kuwa na taarifa ya kinachoendelea Ukraine,duuuuu.
Hujaelewa mzee, sasa wao hawana access na simu wanapataje video. Wao wanatumia radio call kuwasiliana picha hawapati au hujaelewa??
 
Muwe mnasikiliza vizur... Ukraine haijakataa mazungumzo Bali imekataa sehem ya kufanyia mazungumzo....
Watu humu ndugu kila mtu anajua kila kitu km yuko Ukraine sshv anapigana[emoji16]
 
Vita ni kali sana hapa JF, pressure inapanda na kushuka. Vita ni kali kuliko hata kwenye real ground pale Ukraine. Watanzania twendeni mdogo mdogo
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Iko hivi Ukraine ameomba raia wa nchi zingine waje kumsaidia. Hii ni danganya toto. NATO na Marekani wamemtuma aseme hivyo kuuficha ukweli. Kwa sasa Mrusi anapigana na makomandoo wa NATO na Marekani.

Ujerumani kaeleka silaha na Marekani vilevile na washirika wake.
Silaha hizi ni nzito na nyepesi. Baada ya kuzisimika utasikia Ukraine ameshambulia Moscow.

Hapo sasa ndipo siioni tena Ulaya kwenye uso wa dunia.
Ataanza na Poland kisha wengine wanafuata.

Mrusi siyo zezeta.
Huna tofauti na wale wafuasi wa mfalme zumaridi period yaani nimepata mashaka na reasoning yako!
 
Weka ushabiki pembeni. Kugoma maana yake ni kukataa. Sasa kama nimekuomba mazungumzo halafu ukanipa masharti na nikakataa sharti lako si ndo kugoma huko? Ukiwa na upande utapatwa hasira tu zisizo na maana na Russia yenyewe ikishashinda Eukrain wewe huku nyumbani hawakupi tuzo ya chawa bora.
Hajagoma, amekataa eneo la mazungumzo, ameoamba mkutano ufanyike Neutral ground. Usichoelewa nini??
 
Putin kawabana pumbu haswaaaa!!,marekani anatamani aingilie lkn anaogopa akitia mguu tu,China nae anam join Russia hapo Sasa mtanange utakuwa mtamu zaidi!! Ila mm naombea zipigwe huko ulaya Hadi wachakae. namkubali Putin ,Africa yote tuko pamoja na Putin ,na China.
Africa yote?wakubali huu upupu wa putin?!sidhani! Mmh ,jisemee wewe mkuu!
Watu hatupendi vita SBB wanaoangamia hawana hatia
 
Hajagoma, amekataa eneo la mazungumzo, ameoamba mkutano ufanyike Neutral ground. Usichoelewa nini??
Nisichoelewa ni kwann agomee maelekezo ya mbabe wake na yeye kumpa masharti wakati yeye ndo aliomba asikilizwe na kazidiwa.

Russia amalizie tu kilichompeleka maana hapa sasa yataanza maigizo ya mazungumzo alipochagua huyu kuna baridi twendeni kwenye joto n.k
Unless kama russia anataka sababu ya kusitisha mapambano
 
Wameshachukuwa mji wa pili kwa ukubwa Ukraine na kwa report kuna vikosi viko ndani ya Kyiv ila hawajaingia full convoy Kama ni Dar basi watu tuseme wako Kibaha sasa ikiwa unaanza kugawa K47 kwa watu na kuzuia watu miaka 18 mpaka 60 kutoondoka ina maana uko katika last defence line.
Mji usharudi mikononi mwa Ukraine... [emoji3]
 

Attachments

  • Screenshot_20220227-152116.jpg
    Screenshot_20220227-152116.jpg
    33.7 KB · Views: 18
Back
Top Bottom