LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Aliomba mazungumzo ..Russia akasema yafanyikie Belarus... Ukraine amegoma kufanyia Belarus...anataka sehem nyingine.. deadline aliyoitoa Russia ndo imeexpire saa moja lililopita..maana yake Sasa Russia hahitaji mazungumzo tena Bali kuondoa madarakan utawala wa zelensky...
Wamekubali kwenda BELARUS mazungumzo yanaanza
 
Mji usharudi mikononi mwa Ukraine... [emoji3]View attachment 2133059
Putin anafeli wapi huyu kiukraine kinamtoa jasho la mbupu ndo atawaweza nato akiwa na baba yao USA ndo maana analialia hataki nchi zaidi ziingie nato maana anajua ataisha mapema halaf eti ndo ana ndoto za kurudisha soviet union atabaki na ndoto hiyo mpaka anakufa
 
Nisichoelewa ni kwann agomee maelekezo ya mbabe wake na yeye kumpa masharti wakati yeye ndo aliomba asikilizwe na kazidiwa.

Russia amalizie tu kilichompeleka maana hapa sasa yataanza maigizo ya mazungumzo alipochagua huyu kuna baridi twendeni kwenye joto n.k
Unless kama russia anataka sababu ya kusitisha mapambano
Wamekubali na wamesogea Belarus
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Vita ni kali sana hapa JF, pressure inapanda na kushuka. Vita ni kali kuliko hata kwenye real ground pale Ukraine. Watanzania twendeni mdogo mdogo
Yaani ile Ukraine ipo humu. Na mipango yote na mikakati naona wapo wana JF humu wanatoa matamko kwa niaba ya Russia na Ukraine. Wanatujulisha hata yatakayofanyika Keshi.

Ninahisi ofisi kuu ya hii vita ipo humu.

M'bongo anastahili Shikamoo kwa Ujuaji
 
Putin anafeli wapi huyu kiukraine kinamtoa jasho la mbupu ndo atawaweza nato akiwa na baba yao USA ndo maana analialia hataki nchi zaidi ziingie nato maana anajua ataisha mapema halaf eti ndo ana ndoto za kurudisha soviet union atabaki na ndoto hiyo mpaka anakufa
Trust me Putin hatoboi,
 
SmartSelect_20220227-160259_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom