LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Shida ipo hapa ni "ubinafsi wa Putin".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli Russia invasion kwa Ukraine italeta uhasama wa milele baina ya hizo nchi mbili. Pia imekuwa unpopular war kwa Russia, maana wenye nchi wameonesha hawataki Urusi aingie.
 
Ndio maana Nuklia haitakiwi kumilikiwa na vichaa, hayo ndio madhara yake..

USA kapigana vita nyingi miaka mingi hajawahi kuzungumzia nuklia kabisa, sasa huyu na kaukraine tu tayari anazungumzia Nuklia..
Ona sasa watoto wa miaka ya 2000+ mlivyo mbumbumbu.

Taifa la kwanza kutumia silaha za maangamizi ni Marekani kule Japan katika miji ya Hiroshima na Nagasaki.
 
Tunataka kuing'oa serikali ya vibaraka
 
Niliacha kupigana muda mrefu sana. mpaka leo sipendi ugomvi wowote ule..

Hiyo ni baada ya kupigwa na mtu ambae nilifikiria naweza mpiga hata kwa mkono mmoja. Baada ya dakika tano nikashika mawe kama bwana Putin [emoji3]
kwA akili hizi ulikuwa lazima upigwe
 
Ninavyanzo vingi ila naona unatumia kimoja Soma hapa wanasema yatafanyika kwenye karibu na mto pripyat kasome ujue upo upande gani. Chanzo Cha taarifa Ni Moscow today app.

Attachment yapili Ni location ya pripyat river.
 
Lakini vikwazo kama hivi viliwekwa dhidi ya Iran mpaka watu wakaanza kutabili kuanguka kwa utawala wa Ayatullah lakini mwaka wa tano huu Iran inadunda na takwimu za mwaka huu zina onesha uchumi wa Iran umeimalika kwa asilimia 4 licha ya kuwa yuko nje ya mfumo wakifedha wa dunia ,una dhani wanatumia mbinu gani?

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Ona sasa watoto wa miaka ya 2000+ mlivyo mbumbumbu.

Taifa la kwanza kutumia silaha za maangamizi ni Marekani kule Japan katika miji ya Hiroshima na Nagasaki.

Unajua kwanini USA alirusha Atomik Japani?..

Rudi kasome historia halafu ufananishe na hili la Putin na Ukraine...

Kukusaidia: Kamsome Mjapana akiitwa, the giant of Pacific akiwa na miguvu zama hizo, kasome kisa cha Pearly harbour...utapata uelewa mzuri.. Mjapani enzi za red army na askari wake Kamikaze..
 
empty head
 
Ndio maana Nuklia haitakiwi kumilikiwa na vichaa, hayo ndio madhara yake..

USA kapigana vita nyingi miaka mingi hajawahi kuzungumzia nuklia kabisa, sasa huyu na kaukraine tu tayari anazungumzia Nuklia..
... Wehu lile! Zama zake zimefika mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…