bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 631
- 1,268
Yes.. Kama vile Russia alivyopigwa na kitu kizito.kwA akili hizi ulikuwa lazima upigwe
Yaani RT ambayo ni state media ya Urusi ibalance stories kuliko vyombo visivyo na maslahi na mgogoro? Ushabiki mwingine shida sanaKinachoendelea kwa sasa ni kupiga chini mitandao mingi ya Russia... Nawakubali sana RT, hawana ubaguzi katika kuleta updates za kinachoendelea... Wameshapigwa ban youtube na baadhi ya video zao zimeondolewa... Jamaa wanabalance habari... Sio kama akina aljazeera na bbc
Mnadanganywa tu, Putin na Biden wote Bosi wao mmoja nao ni Banksters, mnachezewa akili tu mipango ya corona na walichotaka kukifikia imebumu sasa wanakuja na lingine.
Ulishasikia habari za corona tena ? Unafikiri ni kwa nini ?
Hakuna mjinga anayeweza kwenda vitani huku akijua hatoshinda, Urusi wana uwezo wa kugeuza Ulaya majivu lkn na Urusi nayo haitobakia kitu, sasa ni nani mjinga hivyo ? Acheni ushabiki maandazi.
Ndio maana inaitwa nuclear deterrent doctrine !
[/QUOTE
Usihamishe mada , Corona bado ipo haijaisha sema kinacho trend ninvita ya Ukraine ndio imepewa uzito. Halafu saa zingine tukubali nature of events bila kuweka conspyrancy theory. Hata Tanzania tuliwahi kupigana na Uganda usisahau Hilo.
Natamani pia NATO wazidishe hicho kiherehere.Tulia unyolewe kwa wembe butu, si unasema Mara zote hawezi kufanya lolote. Alishasema NATO wasiingilie hiyo vita lakini hawaelewi, wanatoa kauli za vitisho na kuona kama Russia inatishika sasa kaamua kufanya kweli.
Siku Russia akiona usalama wake unawekwa rehani lazima atumie hayo madude hapo ndio tutachora upya ramani ya dunia na ulaya hatutaiona tena.
Huyo Rais wa Ukraine anatakiwa afikishwe Kremlin akiwa mzima ili ashuhudie anapakwa mafuta ya kulainisha mitambo kwenye makalio yake huku ikirushwa live duniani....mkuu we andaa pesa ya popcorn tuKwa hio inamaana Russia sasa wanadili nae kimya kimya ili wamkamate sio kumuua
Huyo Rais wanakazi naye Kremlin vilainishi vilisha tayarishwaUrusi hawaki kumuua Rais. Ingekuwa hivyo si wangelipua Ikulu??
Duh! Waangalie tu wasifyatue nuykria ikatuangamiza huku[emoji298]️UPDATE: Negotiations have NOT started according to the Russian delegation, the parties have only just started arriving at the venue for talks
Mpaka Sasa sio Vita ya Russia vs Ukraine, bali ni Russia vs NATO,,, ndio maana katoa alert kwa vikosi vya nuclear vijiandae.Ndio maana Nuklia haitakiwi kumilikiwa na vichaa, hayo ndio madhara yake..
USA kapigana vita nyingi miaka mingi hajawahi kuzungumzia nuklia kabisa, sasa huyu na kaukraine tu tayari anazungumzia Nuklia..
Agiza Ufresh mkuu nakuja kulipaUzuri huna la kufanya na ataendelea kuiendesha Dunia ukiwemo na wewe.
Hayo makgb na issue za urusi/eastern europe nazijua kabla hata internet bongo haijaingia enzi hiyo home palikuwa pamejaa majarida yanayohusu siasa za russia na eastern europe kwa lugha ya kiingereza.Huyo ni former KGB agent.
Utakuwa umemfuatilia putin baada ya vita.
Acha utoto subiri tuwafinye mpaka mnyePutin keshabanwa mbavu, wenzake hata habari ya nuclear hawana, yeye linakimbilia hiyo misilaha why? hii inanikumbusha ugomvi wa shule ya msingi unapigana na mwenzio mkono kwa mkono uvyoanza mzidi nguvu mwenzio unashangaa katoa wembe. ndicho Putin anachofanya sasa keshaona umoja wa NATO hauwezi iwe jua iwe mvua. Huu ukichaa wake unaenda icost dunia kiuchumi vibaya sana.
Toka alihamisi leo ni siku ya pili anaongea..Aache kulialia basi na atumie hizo silaha zake basi zee lina maneno meeengi oh atakayemsaidia ukraine atakiona wanaume wanamsaidia ukraine na hajawafanya chochcote na hatowafanya chochote.
Lakini vikwazo kama hivi viliwekwa dhidi ya Iran mpaka watu wakaanza kutabili kuanguka kwa utawala wa Ayatullah lakini mwaka wa tano huu Iran inadunda na takwimu za mwaka huu zina onesha uchumi wa Iran umeimalika kwa asilimia 4 licha ya kuwa yuko nje ya mfumo wakifedha wa dunia ,una dhani wanatumia mbinu gani?
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Mwaka gan ilikuwa!?Hayo makgb na issue za urusi/eastern europe nazijua kabla hata internet bongo haijaingia enzi hiyo home palikuwa pamejaa majarida yanayohusu siasa za russia na eastern europe kwa lugha ya kiingereza.
Na huo ndio Ukweli. Itakuwa chuki ya vizazi na vizazi. Putin amejijengea chuki kubwa sana kwa wazungu wenzake na pia amesababisha Russian walio nje kujihisi kuwa Isolated na kuonekana wa hovyo. Putin anakabiliwa na chuki nje ya mipaka ya nchi yake na inahamia kuchukiwa na wananchi wake. Hakika ANGUKO LA PUTIN LIKO KARIBUKusema ukweli Russia invasion kwa Ukraine italeta uhasama wa milele baina ya hizo nchi mbili. Pia imekuwa unpopular war kwa Russia, maana wenye nchi wameonesha hawataki Urusi aingie.
Hawezi aminika na hafai kuaminika hata chembe maana hata mwanzoni mwa hili vuguvugu alisema hana mpango wa kuivamia Ukraine wakati intelijensia ya USA ilikuwa inaonyesha ana mpango wa kufanya hivyo.Putin sio wa kumuamini alisema anapeleka wanajeshi wawili kwenye ile miji ikiwemo Donetski iliyojitangaza kutokuwa Ukraine. Akasema anaenda kutoa misaada ya kibinadamu.
Ila Cha kushangaza anazidi kuserereka kuelekea Kiev Sasa sijui na huko nako anenda kutoa misaada ya kibinadamu!!!!
Don't trust Putin ndio maana Raisi wa UKRAINE anagomea hata hicho kikao.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app