Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Leo Russia analia eti U.S anawasaidia Ukraine kwa sophisticated drones za majini ambazo zimeleta maafa kwa Wanamaji wa Russia.Teh teh mi naombea apoteze kabisa Jf itulie.
kuna memba Jf wamekariri link za silaha za Urusi hadi kero.
ukimbishia kidogo atakuletea link kibao za silaha za Urusi na kukutajia majina mengine majina diyo unayasikia toka tuzaliwe.
utasikia Urusi ana milki highpersonic sijui nini vile ilimradi akuvuge akili ili ashinde Argument [emoji23][emoji23][emoji23]
Utashiba nyama na bado watakuwepo wengine.Sasa huyu bibi sinaumpiga na kitako cha bunduki tu afu unamvutia kichakani unamla nyama
Bahati mbaya sana utaishia kuomba tu,huyo Putin wako unaetaka afanye unayoyataka na yeye pia anapenda kuishi akiwa kama Rais wa Russia,so wewe Mrussia wa Kimazinchana,kaa na utulie,angalia Wanaume wanavyofanya maamuzi kwa kuangalia future zao pia.Yes yaan NATO walipanga hivyo vikwazo. Usiku huu naomba URUSI ashushe kichapo bila kujali jengo lolote yaan ashushe kipigo aache huruma kwa Raia wakati wamepewa Silaha.
Mji Mkuu upi huo ambapo Russia yupo? Embu nitajie Mji Mkubwa wowote wa Ukraine ulio under Russia controlsWw mkenya una akili unazo zijua mwenyewe.
Yaan Urusi imetumia siku mbili tu kufika mji mkuu alafu unasema amezidiwa?
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Unataka Russia aanze kuua raia!? Tayari rais ya Ukraine ameanza kufuata maelekezo ya Russia. Sasa hivi lazima aende Belarus. Na sharti alilopewa namba moja ni askari wake wajisalimishe.Leo ni siku ya 4 hakuna Mji Mkubwa wowore wa Ukraine uliotekwa na Russia.
Vishaanza kuumanaView attachment 2133225View attachment 2133226
Kaishiwa pumzi mkuu maana kaomba mazungumzo lakini Ukraine wamesema hawataki ama wao Ukraine ndo wapange sehemu ya mazungumzo na sio Urusi apange.Watu wa ukumbi huu muda mrefu naona kimya sijaona thread ya mashambulizi ya russia dhidi ya Ukraine hapa, kama Russia ameamua kusimamisha vita kutoka na ugumu wa Kiev pia andikeni hapa tujue mana wako waliosema Russia ndio baba wa ulimwengu kwamba silaha anatengeneza mwenyewe na hakuna wa kumzia Putini, regarded leo ni siku ya 4 vita lakini bado Zelensky anatamba katika miji ya Kiev ikiwemo ile kauli yake ya maadui hawataona migongo yetu bali nyuso zetu.
Kuna tetesi Russia ana wakati mgumu sana kiev emu leteni hizi taariza hapa tuone, mana leo asubuhi nimesoma kwenye Televishen moja yanapita haya maneno "Pentagon denies Russia's calim that it's "highly likely" US used surveillance drones to help Ukranian Navy".
Natanguliza shukurani
Itakuwa salama badoAkiamua kutafuta ushindi kwa nyuklia, dunia itakuwa salama kama ambavyo unataka?
Siku zote usiamini propaganda za Mafashisti,wana uongo na kujimwambifai kwingi kuliko uhalisia. Putin, Kim na Mwendazake Jiwe hawana tofauti.Naandika kwa herufi kubwa. KIUHALISIA PUTIN AMESHINDWA NA NI AIBU KUBWA SANA. RUSSIA SIO SUPER POWER KIHIIIIVYO KAMA ILIVYOAMINIKA. ILIKUWA TU OVERRATED. Hii vita imeonyesha udhaifu mkubwa sana kwa Russia.
Nimeshangaa sana kuona Russia hana sophisticated satellites kwa ajili ya Ku track vikundi vya adui zake, yaani amekuwa anatafuta adui kama vita vyetu vya kiAfirica vita vya kuviziana atakayekuwahi. Nimeshangaa eti amelalamika kuwa huenda USA anatumia Drone kuelekeza adui mipango ya vikosi vya Russia. Na kama ni kweli basi hiyo ni credit kubwa kwa USA
Warusi Ndio wanaonewa huruma mkuu, katika nchi rahisi kupigwa ni Urusi. Nchi kubwa Sana. Inaweza kuzungukwa sekunde kutokea Scandinavia na Asia.Yes yaan NATO walipanga hivyo vikwazo. Usiku huu naomba URUSI ashushe kichapo bila kujali jengo lolote yaan ashushe kipigo aache huruma kwa Raia wakati wamepewa Silaha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Putin sio wa kumuamini alisema anapeleka wanajeshi wawili kwenye ile miji ikiwemo Donetski iliyojitangaza kutokuwa Ukraine. Akasema anaenda kutoa misaada ya kibinadamu.
Ila Cha kushangaza anazidi kuserereka kuelekea Kiev Sasa sijui na huko nako anenda kutoa misaada ya kibinadamu!!!!
Don't trust Putin ndio maana Raisi wa UKRAINE anagomea hata hicho kikao.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Russia lengo lake ni kumfanya Ukraine asiingie NATO. Na wengine walioingia kinyume na makubaliano, siku zao zinahesabika.Mji Mkuu upi huo ambapo Russia yupo? Embu nitajie Mji Mkubwa wowote wa Ukraine ulio under Russia controls
RT ni propaganda machinery ya the Kremlin (Russia). Kumbuka kwamba, Urusi iko vitani!Jaribu kufuatilia RT wako vizuri sana, ila kama Unafuatilia BBC, CNN na FOx pekee utalishwa habari ambazo wanapenda uzipate....pitia sasa kwenye mitandao ya Twitter, YouTube na Meta vinaonyeshwa vifaru na magari ya urusi tu yanavyoungua huonyeshwi hata kidogo shughuli ya Urusi yanavyochanja mbuga kuelekea makao makuu.
Leo Russia analia eti U.S anawasaidia Ukraine kwa sophisticated drones za majini ambazo zimeleta maafa kwa Wanamaji wa Russia.
Haha tayali uyo dadalili ya kushindwa iyo mkuu.Kuna mazungumzo yatafanyika kwenye mpaka wa Belarus na Ukraine hapo kesho, lakini mzee Putin anaandaa mamitambo ya nuclear ingawa amesema haimaanishi atayatumia.View attachment 2133114
Naheshimu Mawazo, rais wa Ukraine hawajawahi kataa negotiation, ila amekataa, Urusi baada ya kupigwa vibya Ndio amekubali negotiation, Urusi wanataka negotiation ndani Ya Beralus, adui wa Ukraine, Jamaa amechomoa. Kwa hiyo ukisema Zelesnky alikataa negotiation unamkosea hakiVita hii urusi alikuwa anapigana na mamluki wa NATO nasio ukraine pekee,baada yakuona EU wanapeleka vifaa na silaha ukraine ameona wanamprovoke waziwazi akaona afanye kama alivyoahidi mwanzo wakati anatoa onyo kwa NATO, raisi waukraine kila move aliyokuwa anaifanya kuanzia kugomea negotiations amidst war yalikuwa ni maagizo ya NATO,baada ya putin kutaka kutumia silaha za nuclear naona sasa NATO ndio wamesurrender kwakumambia rais waukraine akubali negotiation....maoni yangu!
Wanahojiwa kutoka uwanja wa vita wanaeleza hali ilivyo ngumu, wewe uko Tz umeshiba makande unasema Urusi hakutani na upinzani wowote.Mzee sote tunaona. Hakuna upinzani wowote. Na lengo la Putin limetimia. Na amewaonya hao NATO atakayesogeza pua ataanza naye.
[emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha kweli.Acha kudanganya na kujidanganya. Rais Ukraine alikataa mazungumzo kufanyikia Belarus. Baada mkong'oto kuendelea amekubali. Na anaenda kwa terms za Russia. Na hapo utakuwa ni ushindi kwa Russia, NATO watakuwa wameshindwa rais atalazimishwa ku step down.
Teh teh teh aibu naona MimiUnataka Russia aanze kuua raia!? Tayari rais ya Ukraine ameanza kufuata maelekezo ya Russia. Sasa hivi lazima aende Belarus. Na sharti alilopewa namba moja ni askari wake wajisalimishe.
Hakuna mjadala hapo. Kama hataki basi Russia atatoa mkong'oto wa kweli.