Usizidishe chumvi mzeeUnataka Russia aanze kuua raia!? Tayari rais ya Ukraine ameanza kufuata maelekezo ya Russia. Sasa hivi lazima aende Belarus. Na sharti alilopewa namba moja ni askari wake wajisalimishe.
Hakuna mjadala hapo. Kama hataki basi Russia atatoa mkong'oto wa kweli.
We unaongea nini kuna nchi yenye technologia na inteligencia kama Russia?
Hawezi!Naacho omba ni Uncle Sam aingilie kati
Hivi alimaanisha nini kwenye mstari mwekunduHao NATO wamepleka misaada ya kijeshi ikiwemo ndege za kivita,vifaru nakadhalika kuisaidia Ukraine amewafanya nini?
Marekani naye kapeleka misaada kibao na Biden amemwambia Putin kwmba ameshamchorea mstari mwekundu asithubutu kuuvuka.
Ndo maana mzee Putin kabaki kutishia sijui nuclear utadhani anazo peke yake dunia nzima wakati hata hapo Ukraine tu wanazo achilia mbali NATO na Marekani.
Hilo zee hovyo kweli yaan ndo lishaharibu uchumi wa dunia ambao ulikuwa umeanza kupata nafuu kutokea janga la korona.I was wrong about putin sikujua ni mshamba ivi
Huna lolote unalojua , aheri ukojoe ulaleVICHWA MAJI HUMU NI ASILIMIA 99%
Unashindwa kujua kuwa Russia Hatakiwi kutumia Full force, Wanajeshi haswa kwa sababu wakati wa vita unaweza kupata strong resistance kutoka kwa support anayopewa adui yako.
Pili kumbuka utazalisha maadui wapya, Nyumbani unakuachaje? Pia kwenye vita kuna vitu tunaita chambo, lazima utangulize watu wakusogeza Gurudumu kabla ya kutuma Strong one.
Hakupanga kuichakaza Ukraine kwa roho mbaya, Angeua watu wasio na hatia, Watu kutoka nchi mbalimbali wapo bado kule.
So Ukraine anatumia hiyo advantage ku promote kwamba amempiga M Russia in fact m Russia ni kama hajapigana tu
Wengi mliojaa humu kwa mfano mdogo tu, Mkienda sehemu za starehe mnatumia mpaka reserve kuwafurahisha marafiki na watu utakaokua nao siku hiyo, ukisahau kwamba kesho Familia itahitaji hizo pesa iweze kusonga.
The same Russia hajatumia Nguvu ya Vita Ya First Degree wakati Ukraine katumia First Degree na kachanganya na citizens na msaada juu.
#BUNCH OF BOZOS
Kuna mdau mmoja kasema PUTIN ana ule usela wa 80's 😂Akili za kijamaa shida sana, Putin bado anawaza kijamaa sana...miguvu miingi akili kidogo, wenzie wamewekeza kwenye teknolojia na intelenjia...Kaanchi kama Ukraine ambako unaborder nako mpaka ukavamia na mivifaru na midege?..
Angekuwa na akili za kibeberu aka kibepari hiyo Ulaya mashariki yooote ingekuwa na umoja wao na yeye ndiye angekuwa baba lao with full power angekuwepo mpaka kule Yugoslavia, Bosnia, Albania, Moldova, Uzbeg, Tajigi kwa wanangu, nk sasa amebaki mwenyewe na ubabe mavi anatumia miguvu...
Ukraine naye asidharauliwe jamani, hajawashangaza tu? Russia akitumia silaha kubwa za kuifuta Ukraine isiwepo hawezi kuachwa salama pia. Raia wake watamsumbua, Dunia itamsumbua na ikiwezekana anaweza uwawa na wenzake huko huko ambao hatakubaliana nao. Hii vita dunia inamuhurumia Ukrain, na Warusi wanamuhurumia Ukraine. Ni vita vya Puttin kwa ajili ya manufaa kijeshi si kijamii.Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.
Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.
Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.
Usihangaike na hawa Warussi wa Magomeni Mkuu,utachoka bureUkraine naye asidharauliwe jamani
Na kweli.Usihangaike na hawa Warussi wa Magomeni Mkuu,utachoka bure
Gangwe 🤣 🤣Kuna mdau mmoja kasema PUTIN ana ule usela wa 80's 😂
Maletopol ulitekwa jana na Russia.Mji Mkuu upi huo ambapo Russia yupo? Embu nitajie Mji Mkubwa wowote wa Ukraine ulio under Russia controls
UK imekiri kuwa imeisaidia Ukraine Silaha, Ujerumani imempatia Rockets lakini hawawezi kupeleka Troops zao kwasababu NATO wataingia na itasababisha vita kuu ya 3 ya dunia (WWIII)Kwa jinsi watu na mataifa mengi kupiga kelele kuhusu uonevu wa Russia , naona kamavile ile kauli kanafanya kazi ." SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU"
Mungu amesikia ndio maana Putin haamini kinachotokea.
Sasa haya ni mawazo yako!Putin hakujiandaa na hii vita, amekurupuka tu, sidhani kama wamefanya tathmini sahihi kwenye muda na kila stage ya vita.
Urban warfare ni ngumu na ugumu wa hapa si kwamba Russia hana uzoefu. Ugumu wa hapa ni mnapambana kwenye makazi ya watu ambao ni raia, ambao sheria za kivita zinawalinda. Shambulio lolote dhidi yao ni uhalifu wa kivita kwa sababu umeshambulia wasiyostahiki. Na huu ni mtego kwa Russia, majeshi ya Ukraine yanajificha kwenye makazi/majengo ya makazi ya raia.Binafsi toka mwanzo wa vita nilijua kuna urban warfare inakuja kwenye mitaa ya miji ya ukraine huku Urusi akiwa hana uzoefu wa vita hizi... na hili urban warfare naamini ni ushauri wa Nato kwa Ukraine kumdhoofisha Urusi maana wanajua hatakuwa na budget hiyo, muda unavyodhidi kwenda na vikwazo walivyomuwekea lazima anyong'onyee na aishiwe nguvu kabisa..
Kuna suala hapa umelisahau. Russia lengo la hii vita ni kulinda usalama wa nchi yake. Sote tunafahamu NATO ikiwa mlangoni kwake ni hatari. Ukraine pia inakuwa kijeshi ikiwa NATO na ikijijengea na uwezo wa kutengeneza mabomu ya nyuklia hatoweza kumdhibiti. NATO wanalijua hili na wanajua kuwa Ukraine ni kete muhimu dhidi ya Russia.Russia akiwa anaendelea na vita Ukraine ambayo itakuwa Urban kila mahala Ukraine, Huku nako NATO wakipandikiza masceneries na askali wao kuingia na kutoka Ukraine kwa ajili ya kutrain na kutoa backup na kupeleka supply.. Ndani ya Russia kutakuwa na njaa na raia watakuwa barabarani kulalamikia ugumu wa maisha wakichochewa na mamluki ndani ya Russia...
Kwani hao NATO na Marekani hawana Nuclear?Vita hii urusi alikuwa anapigana na mamluki wa NATO nasio ukraine pekee,baada yakuona EU wanapeleka vifaa na silaha ukraine ameona wanamprovoke waziwazi akaona afanye kama alivyoahidi mwanzo wakati anatoa onyo kwa NATO, raisi waukraine kila move aliyokuwa anaifanya kuanzia kugomea negotiations amidst war yalikuwa ni maagizo ya NATO,baada ya putin kutaka kutumia silaha za nuclear naona sasa NATO ndio wamesurrender kwakumambia rais waukraine akubali negotiation....maoni yangu!
Kitu ambacho ni tishio kwa dunia na sikulifahamu ni kuwa Russia ndio nchi yenye stock kubwa zaidi ya NuclearWe unaongea nini kuna nchi yenye technologia na inteligencia kama Russia?