LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
NATO hawana ballistic missiles katafiti vizuri ninahakika Marekani ndo anaendelea kuziendeleza lakini bado hawajafanikiwa.no research no right to talk.
Usichanganye balistiki missile na hypersonic missile mkuu.balisti Marekan anazo hypersonic zipo kwenye majaribio.
 
Leo urussi walikua wanachukua mji wa pili wa khirviv Sasa ghala wakarusishwa nyuma ukiangalia huku Kuna vikwazo kama vyote anachofanya Putin ni scare tactics baada ya mambo kuwa magumu yeye alijua ataenda ndani ya siku mbili kazi imeshaisha nilisema mwanzan hakuna vita rahisi
Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.

Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.

Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.
 
Ukiachana na mashambulizi ya ndege na mizinga, Urusi ni alshab waliochangamka.
images (2).png
 
Akili za kijamaa shida sana, Putin bado anawaza kijamaa sana...miguvu miingi akili kidogo, wenzie wamewekeza kwenye teknolojia na intelenjia...Kaanchi kama Ukraine ambako unaborder nako mpaka ukavamia na mivifaru na midege?..

Angekuwa na akili za kibeberu aka kibepari hiyo Ulaya mashariki yooote ingekuwa na umoja wao na yeye ndiye angekuwa baba lao with full power angekuwepo mpaka kule Yugoslavia, Bosnia, Albania, Moldova, Uzbeg, Tajigi kwa wanangu, nk sasa amebaki mwenyewe na ubabe mavi anatumia miguvu...
 
Utakuwa na tatizo la akili kama Putin.

Yani unaona sawa hizo silaha kuanza kusogezwa bila kutazama consequences zake kwa mustakabali wa dunia yote. Taifa gani Ulaya na magaharibi hawana hizo silaha? Wakisema wote wazitoe patakalika?

Acha kuwa na mawazo ya kibinafsi kama ya Putin.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna watu wamezuia kuzitoa kama wanazo,unadhani hizo slaa za nyukria zilitengenezwa ziwe mapambo??.,zilitengenezwa zitumike na ipo Sikh zitatumika iwe Leo au kesho.
 
Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.

Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.

Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.
Naacho omba ni Uncle Sam aingilie kati
 
Akili za kijamaa shida sana, Putin bado anawaza kijamaa sana...miguvu miingi akili kidogo, wenzie wamewekeza kwenye teknolojia na intelenjia...Kaanchi kama Ukraine ambako unaborder nako mpaka ukavamia na mivifaru na midege?..

Angekuwa na akili za kibeberu aka kibepari hiyo Ulaya mashariki yooote ingekuwa na umoja wao na yeye ndiye angekuwa baba lao with full power angekuwepo mpaka kule Yugoslavia, Bosnia, Albania, Moldova, Uzbeg, Tajigi kwa wanangu, nk sasa amebaki mwenyewe na ubabe mavi anatumia miguvu...
We unaongea nini kuna nchi yenye technologia na inteligencia kama Russia?
 
Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.

Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.

Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.
Bado hoja ni dhaifu mkuu kwamba Russia ndo amewatoa kafala wanajeshi wake?huo ndio uwezo wake afu Russia ndo ya kutishia Ukraine Nuklia?
 
Watu wa ukumbi huu muda mrefu naona kimya sijaona thread ya mashambulizi ya russia dhidi ya Ukraine hapa, kama Russia ameamua kusimamisha vita kutoka na ugumu wa Kiev pia andikeni hapa tujue mana wako waliosema Russia ndio baba wa ulimwengu kwamba silaha anatengeneza mwenyewe na hakuna wa kumzia Putini, regarded leo ni siku ya 4 vita lakini bado Zelensky anatamba katika miji ya Kiev ikiwemo ile kauli yake ya maadui hawataona migongo yetu bali nyuso zetu.

Kuna tetesi Russia ana wakati mgumu sana kiev emu leteni hizi taariza hapa tuone, mana leo asubuhi nimesoma kwenye Televishen moja yanapita haya maneno "Pentagon denies Russia's calim that it's "highly likely" US used surveillance drones to help Ukranian Navy".

Natanguliza shukurani
[emoji769]NATO wangemuwai wakamgonya nyuklia bihashara ikaisha. Kwa nn? Putin asumbue watu
 
Mkuu silaha za Czech Republic sidhani kama zimefika wala kutumika. Hata za Poland zimetolewa jana zitakuwa zimeanza kutumika leo, Urusi wakitoa taarifa hawatoi evidence. At least Ukrainians wanaonesha video clips na picha sometimes.

Ikitokea any International community kama Red Cross ndio tutapata angalau picha ya nani ana casualties nyingi. Russia anaonesha weakness moja kubwa ni supplies na logistics. Akienda frontline harudi nyuma kwahiyo maiti na majeruhi wako uko uko. Hata resupply ya ammunition na chakula hana, wala hatengenezi corridors au pockets kwamba atakuwa anazileta hapo. Hajasecure supply lines maroli ya jeshi yakipita mitaani yanapigwa ambush na raia. Russia vita wameingia juzi ila washaanza kuwa exhausted na walijipanga miezi kibao. Nasema hivi kwa kuwa nalinganisha advancement ya juzi, jana na leo naona washachoka wakati Ukraine ndio wanazidi kupata nguvu. Sijui kama niko sahihi

NB: Wale wanaosema kuhusu Ghost of Kyiv na kills zake dhidi ya Russian Airforce sijathibitisha popote kwahiyo mpaka sasa nauita ni uzushi. Jikinge dhidi ya fake news na propaganda
Bro ivi naweza pata angalau notification Kila unapo koment maana unachuja habari Kwa usawa bila mahaba .
 
Wabongo mnavobishana sasa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]km vita ya waanchari na waanchoka!
 
Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.

Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.

Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.

Putin hakujiandaa na hii vita, amekurupuka tu, sidhani kama wamefanya tathmini sahihi kwenye muda na kila stage ya vita..

Binafsi toka mwanzo wa vita nilijua kuna urban warfare inakuja kwenye mitaa ya miji ya ukraine huku Urusi akiwa hana uzoefu wa vita hizi... na hili urban warfare naamini ni ushauri wa Nato kwa Ukraine kumdhoofisha Urusi maana wanajua hatakuwa na budget hiyo, muda unavyodhidi kwenda na vikwazo walivyomuwekea lazima anyong'onyee na aishiwe nguvu kabisa..

Russia akiwa anaendelea na vita Ukraine ambayo itakuwa Urban kila mahala Ukraine, Huku nako NATO wakipandikiza masceneries na askali wao kuingia na kutoka Ukraine kwa ajili ya kutrain na kutoa backup na kupeleka supply.. Ndani ya Russia kutakuwa na njaa na raia watakuwa barabarani kulalamikia ugumu wa maisha wakichochewa na mamluki ndani ya Russia...

Tuombe Putin apewe busara na Mwenyezi Mungu, tukumbuke ana miaka 70 na kadhaa, hana cha kupoteza, akikosa busara na kupanic anaweza kusababisha maafa makubwa duniani...na huko Russia bahati Mbaya yeye ndio kila kitu..
 
guy, nato Kashinda kwenye hii vita bila hata kurusha risasi moja.
walichofanya nchi za Nato ni kutoa msaada kidogo tu wa silaha kwa Ukraine na kumwekea SANCTIONS za kutosha Urusi.
na SANCTIONS hazijaanza kunga'ta ipasavyo tumeona Kashaanza tishia Nuclear.
dingi alikurupuka na sasa kaumbuka kuwa ni Chai Jaba tu.
na bado sanctions zikianza ng'ata panapo Uma ya Libya yatajirudia ndani ya Urusi.

nipuuze ama ukubali komenti yangu ikumbuke wakati wa kutimia hii prophecy.
Wewe ambaruti huna unachojua
 
Mzee sote tunaona. Hakuna upinzani wowote. Na lengo la Putin limetimia. Na amewaonya hao NATO atakayesogeza pua ataanza naye.
Si wamepeleka siraha
Si UK kapeleka wanajeshi wame
So unataka kusemaje hapo
 
Back
Top Bottom