Akili za kijamaa shida sana, Putin bado anawaza kijamaa sana...miguvu miingi akili kidogo, wenzie wamewekeza kwenye teknolojia na intelenjia...Kaanchi kama Ukraine ambako unaborder nako mpaka ukavamia na mivifaru na midege?..
Angekuwa na akili za kibeberu aka kibepari hiyo Ulaya mashariki yooote ingekuwa na umoja wao na yeye ndiye angekuwa baba lao with full power angekuwepo mpaka kule Yugoslavia, Bosnia, Albania, Moldova, Uzbeg, Tajigi kwa wanangu, nk sasa amebaki mwenyewe na ubabe mavi anatumia miguvu...