The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wale waliouawa huko Afganista,Iraq na kwingineko ilikua sio vita? leo ndio kajua hili?View attachment 2129237
Marekani ni hatari! Anachochea vita, then anasema ANAWAOMBEA watu wa Ukraine!
Huyo haumwambii kitu na America [emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu kitambo huwa nasoma michango ya huyu mwamba ni Pro-America mzuri Sasa wameanza kushuhudia wasicho kitaka povu linawatoka.
Hao ni NATO members hawataguswaSo what's Russia's next move after Ukraine?,Latvia,Lithuania,Romania,Slovakia ?????
Acha upuuzi. Dunia si kwa ajili ya binadamu tu. Tusipokuwepo dunia bado itakuwepo. Na tukiendelea kushadadia vita kama unavyotaka zikatumika silaha za nyuklia ndo utajua kuwa dunia haijali, ulimwengu haujali. Tunatakiwa tulaani sio kutafuta uhalali wa kuuana kama unavyofanya hapa.Binaadamu hawezi kukaa kwa amani toa huo utandu wa fikira kichwani mwako , binaadamu in direct anazaliwa na ubinafsi pamoja na tamaa, Pindi anapokuwa na akili timamu anapo soma na kuelimika hujitahidi kushindana na ubinafsi pamoja na tamaa aliyonayo lakini kwa kuwa ni kitu ambacho huwa kipo ndani yake hujitahidi kukipunguza na sio kukimaliza kabisa , so binaadamu Ni kiumbe kinacho penda kutawala (Ni sehemu ya uchochezi wa tamaa) inapo tokea ukatawala of course hauwezi kutawala bila ya kuwa na power ,
so ukitawala utataka kujipanua Zaidi ili uweze kupata rasilimali zitakazo kufanya uendelee kuimarisha kingdom yako , ktika Hilo kuna watu watakao furahishwa na falsafa zako na Kuna watakao chukizwa n falsafa hizo , hao watakao chukizwa na falsafa hizo ndio watakuwa chem chem ya vugu vugu la Vita ,Hilo litatokea bila ya kujali utawala wako unauendesha kwa haki au kwa batili , Yakupasa utambue ubaya wa kitu au Jambo huwa inategemea na upande utao usimamia
mfano che Guevara alikuwa Ni mkombozi na mpigania haki za wanyonge , Naomba nikuulize swali kama alikuwa ni mpigania haki kwa Nini USA iliamua kumuua ..? Jibu Ni kwamba alikuwa anakwenda kinyume na sera zao so waweza kuona hapo kwamba licha ya che Guevara kuwa mwana mapinduzi na mpigania haki lakini kwa kuwa upande aliosimamia haukuwa na manufaa kwa USA Wakaona ni Bora auwawe ,, hivyo ndio dunia ilivyo usije unadhani kwamba ipo siku dunia itatulia na kukosa Vita kabisa wakati hiyo ndio asili yake ,
Kifo hakina utaratibu nature ndio inayoamua watu/mtu afe kwa mtindo upiKifo kina utaratibu wake. Tunakufa kwa utaratibu maalum. Silaha za nyuklia zikitumika ipasavyo hata wewe hutakuwepo hapa kusema watu wanakufa kila siku mjomba.
Pro-America washa pigwa na kitu kizito kichwani mpaka Sasa hawa aminiHuyo haumwambii kitu na America [emoji16][emoji16][emoji16]
Well saidUmekuwa brainwashed na propaganda za Wamagharibi.
Adolf Hitler alikuwa mzalendo namba moja wa Ujerumani. Ni vile tu washindi ndio huandika historia, otherwise the man loved his country truly.
Putin siyo genious, ni genius. Kama unamuona ana matatizo ya akili ni mtazamo wako, na sote tunauheshimu.
Reality stands; Putin is a genius and a true patriot of Russia.
Kifo si kifo. Nyuclear war ni hatari kwa viumbe hai duniani. Dunia inaweza kuwa venus.Ni Mtanzania. Kifo ni kifo tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ubaya waliuanza wenyewendio mnatambua leo eeh poleni na mkae kwakutulia kabisa
Nuclear war si maamuzi ya nature. Ni yetu sisi binadamu.Kifo hakina utaratibu nature ndio inayoamua watu/mtu afe kwa mtindo upi
Uko sahihi! Tena kutakuwa na watu wachache sana duniani watakaoishi kwa kutegemea kilimo hafifu sana 😃Wamarekani na warussia wa humu tukumbushane:
Zamani vita vilipiganwa kwa mawe na fimbo.
Vikaja vya mishale na mapanga na mabomu hafifu ya mawe na lami.
Vikaja vya bunduki na mabomu yenye nguvu kuharibu eneo kubwa.
Sasa hivi mataifa yana nyuklia. Pakitokea vita kubwa, vikimalizika vita vitakavyofuata ni vya mawe na fimbo.
Alisikika mtu mmoja maarufu aliyeona mbali sana.
Nimeshakupa LIKE yakoBinaadamu hawezi kukaa kwa amani toa huo utandu wa fikira kichwani mwako , binaadamu in direct anazaliwa na ubinafsi pamoja na tamaa, Pindi anapokuwa na akili timamu anapo soma na kuelimika hujitahidi kushindana na ubinafsi pamoja na tamaa aliyonayo lakini kwa kuwa ni kitu ambacho huwa kipo ndani yake hujitahidi kukipunguza na sio kukimaliza kabisa , so binaadamu Ni kiumbe kinacho penda kutawala (Ni sehemu ya uchochezi wa tamaa) inapo tokea ukatawala of course hauwezi kutawala bila ya kuwa na power ,
so ukitawala utataka kujipanua Zaidi ili uweze kupata rasilimali zitakazo kufanya uendelee kuimarisha kingdom yako , ktika Hilo kuna watu watakao furahishwa na falsafa zako na Kuna watakao chukizwa n falsafa hizo , hao watakao chukizwa na falsafa hizo ndio watakuwa chem chem ya vugu vugu la Vita ,Hilo litatokea bila ya kujali utawala wako unauendesha kwa haki au kwa batili , Yakupasa utambue ubaya wa kitu au Jambo huwa inategemea na upande utao usimamia
mfano che Guevara alikuwa Ni mkombozi na mpigania haki za wanyonge , Naomba nikuulize swali kama alikuwa ni mpigania haki kwa Nini USA iliamua kumuua ..? Jibu Ni kwamba alikuwa anakwenda kinyume na sera zao so waweza kuona hapo kwamba licha ya che Guevara kuwa mwana mapinduzi na mpigania haki lakini kwa kuwa upande aliosimamia haukuwa na manufaa kwa USA Wakaona ni Bora auwawe ,, hivyo ndio dunia ilivyo usije unadhani kwamba ipo siku dunia itatulia na kukosa Vita kabisa wakati hiyo ndio asili yake ,
Hakuna Dunia itakayoingia kwenye nuclear war.Kifo si kifo. Nyuclear war ni hatari kwa viumbe hai duniani. Dunia inaweza kuwa venus.
Hata ukilaani haisaidii kitu haipingi fact kuwa dunia haiwezi kuwepo bila ya uwepo wa Vita , Vita Ni sehemu ya Maisha,ndio maana hata majogoo na wanyama wengine huwa unaona kuwa wanapigana hiyo ni inborn character, believe or not Dunia haiwezi kuwepo bila ya uwepo wa Vita sehemu fulani kwa sababu watu tuna tamaa ya Mali na madaraka na ubinafsi ndani yake pia tunatofautiana kimtazamo falsafa za maisha na malezi , Tunacho jaribu kufanya binaadamu ni kupunguza ukubwa wa athari zinazo weza kuchochea uwepo wa Vita kila mahali duniani,Acha upuuzi. Dunia si kwa ajili ya binadamu tu. Tusipokuwepo dunia bado itakuwepo. Na tukiendelea kushadadia vita kama unavyotaka zikatumika silaha za nyuklia ndo utajua kuwa dunia haijali, ulimwengu haujali. Tunatakiwa tulaani sio kutafuta uhalali wa kuuana kama unavyofanya hapa.
Ninamuunga mkono.So wewe ni Timu Putin
Kabisa mkuuUko sahihi! Tena kutakuwa na watu wachache sana duniani watakaoishi kwa kutegemea kilimo hafifu sana 😃
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wanalia Lia tu,,oohhh sio haki sijui sio fair my foot , wakati Libya anapigwa walikuwa kimya tu ,Pro-America washa pigwa na kitu kizito kichwani mpaka Sasa hawa amini
ikweli mkuu, kwa bahati mbaya wale wenye uwezo wa kufanya mabadiliko katika hilo baraza ndio wanao vurugana then tusubiri hatma ya dunia sijui inaelekea wapi.Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Unadhani tukishaanza vita mkafikia point ya liwalo na liwe kuna kitakachozuia? Inatakiwa tulaani vita sababu ya aina za silaha zilizopo sasa.Hakuna Dunia itakayoingia kwenye nuclear war.
Hivi mtoto wa kajala au?Ni hatari
Tulihoji Jana, Je Watanzania waliotwama huko Ukraine ,tumewasaidiaje????