LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Binaadamu hawezi kukaa kwa amani toa huo utandu wa fikira kichwani mwako , binaadamu in direct anazaliwa na ubinafsi pamoja na tamaa, Pindi anapokuwa na akili timamu anapo soma na kuelimika hujitahidi kushindana na ubinafsi pamoja na tamaa aliyonayo lakini kwa kuwa ni kitu ambacho huwa kipo ndani yake hujitahidi kukipunguza na sio kukimaliza kabisa , so binaadamu Ni kiumbe kinacho penda kutawala (Ni sehemu ya uchochezi wa tamaa) inapo tokea ukatawala of course hauwezi kutawala bila ya kuwa na power ,

so ukitawala utataka kujipanua Zaidi ili uweze kupata rasilimali zitakazo kufanya uendelee kuimarisha kingdom yako , ktika Hilo kuna watu watakao furahishwa na falsafa zako na Kuna watakao chukizwa n falsafa hizo , hao watakao chukizwa na falsafa hizo ndio watakuwa chem chem ya vugu vugu la Vita ,Hilo litatokea bila ya kujali utawala wako unauendesha kwa haki au kwa batili , Yakupasa utambue ubaya wa kitu au Jambo huwa inategemea na upande utao usimamia

mfano che Guevara alikuwa Ni mkombozi na mpigania haki za wanyonge , Naomba nikuulize swali kama alikuwa ni mpigania haki kwa Nini USA iliamua kumuua ..? Jibu Ni kwamba alikuwa anakwenda kinyume na sera zao so waweza kuona hapo kwamba licha ya che Guevara kuwa mwana mapinduzi na mpigania haki lakini kwa kuwa upande aliosimamia haukuwa na manufaa kwa USA Wakaona ni Bora auwawe ,, hivyo ndio dunia ilivyo usije unadhani kwamba ipo siku dunia itatulia na kukosa Vita kabisa wakati hiyo ndio asili yake ,
Acha upuuzi. Dunia si kwa ajili ya binadamu tu. Tusipokuwepo dunia bado itakuwepo. Na tukiendelea kushadadia vita kama unavyotaka zikatumika silaha za nyuklia ndo utajua kuwa dunia haijali, ulimwengu haujali. Tunatakiwa tulaani sio kutafuta uhalali wa kuuana kama unavyofanya hapa.
 
Kifo kina utaratibu wake. Tunakufa kwa utaratibu maalum. Silaha za nyuklia zikitumika ipasavyo hata wewe hutakuwepo hapa kusema watu wanakufa kila siku mjomba.
Kifo hakina utaratibu nature ndio inayoamua watu/mtu afe kwa mtindo upi
 
Umekuwa brainwashed na propaganda za Wamagharibi.

Adolf Hitler alikuwa mzalendo namba moja wa Ujerumani. Ni vile tu washindi ndio huandika historia, otherwise the man loved his country truly.

Putin siyo genious, ni genius. Kama unamuona ana matatizo ya akili ni mtazamo wako, na sote tunauheshimu.

Reality stands; Putin is a genius and a true patriot of Russia.
Well said
 
Wamarekani na warussia wa humu tukumbushane:

Zamani vita vilipiganwa kwa mawe na fimbo.
Vikaja vya mishale na mapanga na mabomu hafifu ya mawe na lami.
Vikaja vya bunduki na mabomu yenye nguvu kuharibu eneo kubwa.
Sasa hivi mataifa yana nyuklia. Pakitokea vita kubwa, vikimalizika vita vitakavyofuata ni vya mawe na fimbo.

Alisikika mtu mmoja maarufu aliyeona mbali sana.
Uko sahihi! Tena kutakuwa na watu wachache sana duniani watakaoishi kwa kutegemea kilimo hafifu sana 😃
 
Binaadamu hawezi kukaa kwa amani toa huo utandu wa fikira kichwani mwako , binaadamu in direct anazaliwa na ubinafsi pamoja na tamaa, Pindi anapokuwa na akili timamu anapo soma na kuelimika hujitahidi kushindana na ubinafsi pamoja na tamaa aliyonayo lakini kwa kuwa ni kitu ambacho huwa kipo ndani yake hujitahidi kukipunguza na sio kukimaliza kabisa , so binaadamu Ni kiumbe kinacho penda kutawala (Ni sehemu ya uchochezi wa tamaa) inapo tokea ukatawala of course hauwezi kutawala bila ya kuwa na power ,

so ukitawala utataka kujipanua Zaidi ili uweze kupata rasilimali zitakazo kufanya uendelee kuimarisha kingdom yako , ktika Hilo kuna watu watakao furahishwa na falsafa zako na Kuna watakao chukizwa n falsafa hizo , hao watakao chukizwa na falsafa hizo ndio watakuwa chem chem ya vugu vugu la Vita ,Hilo litatokea bila ya kujali utawala wako unauendesha kwa haki au kwa batili , Yakupasa utambue ubaya wa kitu au Jambo huwa inategemea na upande utao usimamia

mfano che Guevara alikuwa Ni mkombozi na mpigania haki za wanyonge , Naomba nikuulize swali kama alikuwa ni mpigania haki kwa Nini USA iliamua kumuua ..? Jibu Ni kwamba alikuwa anakwenda kinyume na sera zao so waweza kuona hapo kwamba licha ya che Guevara kuwa mwana mapinduzi na mpigania haki lakini kwa kuwa upande aliosimamia haukuwa na manufaa kwa USA Wakaona ni Bora auwawe ,, hivyo ndio dunia ilivyo usije unadhani kwamba ipo siku dunia itatulia na kukosa Vita kabisa wakati hiyo ndio asili yake ,
Nimeshakupa LIKE yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upuuzi. Dunia si kwa ajili ya binadamu tu. Tusipokuwepo dunia bado itakuwepo. Na tukiendelea kushadadia vita kama unavyotaka zikatumika silaha za nyuklia ndo utajua kuwa dunia haijali, ulimwengu haujali. Tunatakiwa tulaani sio kutafuta uhalali wa kuuana kama unavyofanya hapa.
Hata ukilaani haisaidii kitu haipingi fact kuwa dunia haiwezi kuwepo bila ya uwepo wa Vita , Vita Ni sehemu ya Maisha,ndio maana hata majogoo na wanyama wengine huwa unaona kuwa wanapigana hiyo ni inborn character, believe or not Dunia haiwezi kuwepo bila ya uwepo wa Vita sehemu fulani kwa sababu watu tuna tamaa ya Mali na madaraka na ubinafsi ndani yake pia tunatofautiana kimtazamo falsafa za maisha na malezi , Tunacho jaribu kufanya binaadamu ni kupunguza ukubwa wa athari zinazo weza kuchochea uwepo wa Vita kila mahali duniani,
 
Pro-America washa pigwa na kitu kizito kichwani mpaka Sasa hawa amini
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wanalia Lia tu,,oohhh sio haki sijui sio fair my foot , wakati Libya anapigwa walikuwa kimya tu ,

Sijui msamiati wa Sheria ni msumeno wenzetu huwa Wana uelewa vipi [emoji16]
 
N
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
ikweli mkuu, kwa bahati mbaya wale wenye uwezo wa kufanya mabadiliko katika hilo baraza ndio wanao vurugana then tusubiri hatma ya dunia sijui inaelekea wapi.

Tayari kiev inawaka moto sasaivi.
Ni hali ya hatari na ya kutisha sana.
 
Back
Top Bottom