LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Unajua muda mwengine Mtanzania anaweza akang'ang'ania kitu sana hata kwenye nchi yake anaona kama ni uzalendo. Au akang'ang'ania kitu sana hata asichokijua akaona yupo sahihi kumbe suala ni elimu ndogo.

Kingine hatuna utaratibu wa kuwa wasikilizaji wa mambo tusiyoyajua ili tufahamu kwa mapana. Sisi kila kitu tunazungumza tu.

Tunashindwa kutofautisha kati ya mawazo ya mtu na ukweli uliyosemwa na mtu juu ya suala fulani. Mawazo ni haki ya mtu na yataheshimiwa ila kuyarasimisha mawazo ndiyo yawe ukweli ni kuukosea ukweli ukweli.

Nakushauri tusome Mzee.
 
Wala usipate hofu,si ni majuzi tu hapa mlikuwa mnasema hii ni special operations itachukua chini ya masaa 24 tu na Ukraine atakuwa keshachakazwa.
 
Achana na suala la elimu yangu. Twende taratibu mahaba weka pembeni.

Unasema makubaliano ya kutokuungwa NATO kwa nchi jirani na Urusi yalikuwa ni makubaliano ya NATO na Urusi si ndo?
 
Soma tena maelezo ya Colonel Macgregor wa jeshi la Marekani, yaonekana umekimbilia kujibu kabla hujaelewa alichozungumza Macgregor.
 
Muda ni Mwalimu mzuri. Watajifunza kwa matendo tu. Ila Urusi akifikia huko watambadili jina watamuita mnyama hana utu.
 
Mkuu wengi tunakufuatilia.
Just to acknowledge sio huyo jamaa tu.
 
Achana na suala la elimu yangu. Twende taratibu mahaba weka pembeni.

Unasema makubaliano ya kutokuungwa NATO kwa nchi jirani na Urusi yalikuwa ni makubaliano ya NATO na Urusi si ndo?
Ukianza nao taratibu hawaji tena,maana wanajua fika unakotaka kumpeleka hawezi chomoka,hawa ndiyo pro Russia sasa,wakati mwingine unaamua kwenda nao kwa style yao ya story za vijiweni tu
 
Reactions: Tsh
Nmesoma heading TU,
Ila nadhani Ni kwasababu ya Ile kesi ya mbowe ya ugaidi ambayo KINGAI na wenzake wameleta mashahidu wa kuchonga
(Utani[emoji4])
 
Reactions: _ly
Hii vita tayari Ukraine keshapata discipline ya kutosha, vita ikipiganwa kwenye ardhi yako ni majanga matupu kwako. Miundombinu, na mali nyingi zateketezwa. Hapa dege kubwa duniani la mizigo limeteketezwa tayari

 
Wale wazee wa vita ya dunia irudiwee irudiwee. Wakat ndio umefika muanze kuandaa mishale na mapanga
Usisahau kuwakumbusha kujipaka ufuta! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Sasa kwa mfano Putin akawahi akatupia hilo Bomu katika Makao Makuu ya jeshi lako huo muda wa wewe kuanza kuji organize utautoa wapi?
Kwani mabomu ya Nuclear yanawekwa Makao Makuu ya Jeshi,unajua Marekani ana kambi ngapi za Kijeshi Dunia nzima?
 
Hapa ni mjadala wa dini au vita?

Hujui urusi alishawahi pigana vita na hao chechinia unaowaita waislam na aliwapukutisha sana!

Risasi haina dini punguza ujinga
Chai, URUSI kuna waislamu 10% Chechen ni Waislam tupu kama hujui.
 
Haya Sasa, habari ndiyo hiyo kwenye hiyo clip...
Wamekimbia na kuacha kila kitu, masikini vijana wana wazazi na familia zao Russia, halafu huyu msela mavi mjinga sana anawaswaga kwenye vita ya kipuuzi....

 
Wakati Russia inafanya Yale mashambulizi pale Allepp ilikua na inamiliki anga lote la Syria bila upinzani wowote ule toka Kwa ISIS lakini sasa Hali NI tofauti maana Ukraine Wana air defense na nyingine ni man pads (zile zinabebwa tu begani) na bado Ujerumani na nchi nyingine zinatuma hizo manpads Kwa maelfu kwenda Ukraine. Hivyo si Rahisi Kwa Russia kufanya kampeni ya Syria ndani ya Ukraine. Labda warushe makombora mbali na anga la Ukraine.
 
Una akili sawa? Yaan NATO watangaze kupeleke vikosi afu wewe ucheke??
Kwan NATO wamesema wanapeleka Nuclear weapons? Alafu Kwan hizo silaha anazo yeye tu wenzie hawana? Hizo ni dalili za kupagawa Kwa Putini
 
Ukraine wanavibweka sana nadhani Putin huko alipo anajutia sana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…