NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
Safi Brother. God Bless you.Utakuwa humjui wewe Mkuu Kichuguu ,kuna members humu wakicomment unatulia kwanza unasoma kisha unajifunza kitu.Nakushauri chukua muda wako,uwe unamsoma vizuri na upate maarifa zaidi.
Mnaenda mbele na kurudi nyuma au[emoji81]izo miles zina panda na kushuka
kwa kijemeni "Korea Kaskazini inainanga Marekani kwa kujiwekea 'ubabe wa kijeshi' dhidi ya mahitaji ya himaya ya kiulinzi ya Mosco".North Korea accused US of pursuing 'military supremacy' at the expense of Moscow’s 'legitimate' security demands
Wakenya bhana,sasa umeandika nini hicho?Ndio maana sisi twafurahi vita hiyo kupiganwa kwenye ardhi ya Ukraine na si ardhi ya Russia.
Tunajua fika kuwa kibaraka/msaliti amepata hasara kubwa ktk miundombinu mbalimbali pamoja na kuzalisha malaki ya wakimbizi.
Juzi tu tulikuwa tumeshazalisha wakimbizi 400,000 toka Ukraine.
View attachment 2133834
Huwezikuelewa weweWakenya bhana,sasa umeandika nini hicho?
Saizi mmefikia huku 😀😀😀😀😀😀😀😀😀 mnatia huruma sanaUrusi ilifahamu fika kuwa haitapata uungwaji mkono kutoka mataifa mbalimbali,lakini haikutegemea kabisa kutoungwa mkono kwa kiwango kikubwa namna hii,imegeukwa kila upande,imetengwa kwa kiwango kikubwa,na balaa la uchumi linakuja itaporomoka vibaya mno,inaonekana ni nchi ya maajabu kwa Karne hii,nayo pia inajuta sema wanajikaza tu,ili wasiaibike,hata wakichukua Kiev watapata shida sana kwa maamuzi ya hovyo kupata kutokea.
Tafuta majibu, yalishaweka na yana mashiko. Acha ujinga.Nini hasa sababu ya Msingi ya Urusi kuvamia nchi Huru Kabisa...
Warusi wa kwa mtogole mna mbwembweWestern media wameamua kusema ukweli sasa kwamba Ukraine kachakaa na hapo bado Russia kasema silaha haitashushwa chini hata wakati wa mazungumzo labda baada ya mazungumzo na inategemea na makubaliano wakati wa mazungumzo
Eti leo kimyaaa,wakati hapa tunaona wanareport,huwa mnafikiria nini kutudanganya utadhani TV na access ya kuangalia mnazo nyinyi tuWestern media leo kimyaa utasema hakuna vita maana wametudanganya mpaka wameona hakuna cha kudanganya tena. Vita inabidi ureport ukweli ili uweze kuepusha balaa zaidi kwani wangewaambia...
Mkuu Russia imetengwa na nani ukitoa EU, CANADA na USA??Urusi ilifahamu fika kuwa haitapata uungwaji mkono kutoka mataifa mbalimbali,lakini haikutegemea kabisa kutoungwa mkono kwa kiwango kikubwa namna hii,imegeukwa kila upande,imetengwa kwa kiwango kikubwa,na balaa la uchumi linakuja itaporomoka vibaya mno,inaonekana ni nchi ya maajabu kwa Karne hii,nayo pia inajuta sema wanajikaza tu,ili wasiaibike,hata wakichukua Kiev watapata shida sana kwa maamuzi ya hovyo kupata kutokea.
Kumbe source ni TBC ya Russia,basi sawa.Urusi imewataka raia kuukimbia mji.View attachment 2133849
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Kaona kuna Watangazaji Wazungu na wanatumia lugha ya Malkia basi kwake hiyo ni Western Media.kwa akili yako ya kijinga Aljazeera ni western media?
Najua moja wapo ya mikataba ni Ukraine kukubali kuachana na silaha za Nyuklia kwa makubaliano kuwa atakuwa huru kufanya mambo yake..unaujua huu, ndugu msomi?Nimekuuliza unaijua historia ya Ukraine na mikataba waliyoingia na Russia!?
Punguzeni porojo zenu hapa,unaandika yale yaliyo kichwani kwako na unataka watu na akili zetu tukuamini.Wenye akili waliona propaganda toka mwanzo, Putin ana akili sana yule jamaa. Wale wanamgambo ndio wameingia front ambao kiuhalisia ni waukraine wanapiga ndugu zao. Jeshi kamili la Urusi linamsubiri hata jiwe kutokea NATO.
Mzee unajua makubaliano kuhusu NATO au unabweka tu!?Najua moja wapo ya mikataba ni Ukraine kukubali kuachana na silaha za Nyuklia kwa makubaliano kuwa atakuwa huru kufanya mambo yake..unaujua huu, ndugu msomi?