LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
warusi saiv ndo mmekuwa na huruma kubwa kwa raia wa ukraine kias hich?
hakika urusi maji ya shingo,
Kila nikifikiria zile mbwembwe za Warusi wa JF kabla ya vita na kwa sasa walivyogeuka kuwa washauri wa Ukraine nabaki kucheka tu.
 
Wewe jamaa nakutunukia shahada ya uzamivu katika Uongo uliotukuka
Yaani profile name inasadifu uwezo wako wa kufikiri. Nakuhakikishia wewe kweli ni Myamizi yaani umetokana na mama yako kunywa dawa za kienyeji. Yaani wewe asili yako ni ushetani.
 
Ila Ukraine imejitutumua kwa kiasi chake, ila naona na wao wame anza kukili ya kwamba hali ni ngumu kwao inabidi silaha ziwaishwe kabla hawajakata pumzi.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Yupo kitengo cha propaganda Mkuu,akikolezea na porojo za kibongo bongo
Ila wewe Nyamizi nina wasiwasi utakuwa upo bado kwa wazazi maana saa nane usiku upo, kumi na moja asubuhi upo, mchana upo, yaani muda wote unatupia tu humu. Yaani unabidii kuliko mwanamchi wa Ukraine
 
Na yeye atume atuwekee kubwa la kutuliza Put in kazi ianze.. lile group lililompa uchiba lizu litaingia job am sure
 
⚡️ Ukraine’s main goal of negotiations with Moscow is an immediate ceasefire and withdrawal of Russian troops – Zelensky office
Aim 😂😂😂. Russia aim is demilitarize Ukraine.

Hakuna mjadala mwingine mzee. Ukraine waweke silaha chini wajiunge na ndugu zao kutoka Russia.
 
Mkuu Russia imetengwa na nani ukitoa EU, CANADA na USA??

Hao watatu ndio dunia, ukitengwa na EU, UK, USA na Canada, umeisha.

Nilisoma sehemu Urusi amesitisha safari za kwenye sayari za nje maana imeshindikana.
 
Lifahamu Kombora la balistiki la Russia liitwalo ISKANDER, lililoshambulia na kuusambaratisha uwanja wa ndege wa Ukraine (Zhytomyr Airport)

 

Hawa tushawazoea Covid-19 walijidai kuwahamisha kila nchi mbona wamerudi,unamtoa mtu sehemu kama kawekeza kule je au watalipwa
 
Hao watatu ndio dunia, ukitengwa na EU, UK, USA na Canada, umeisha.

Nilisoma sehemu Urusi amesitisha safari za kwenye sayari za nje maana imeshindikana.
Tatizo wakenya hamna akili kichwani. Russia ilikuwepo miaka na miaka. Usiifananishe Russia na kibera 😂😂😂 Mpaka sasa kenya wanakunya kwenye flying toilet unakuja kubweka humu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…