LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Aliyesoma hii nyaraka isiyo na kiuno, kichwa, kofia wala koma naomba anieleweshe huyu mwameleki anasema nini
 
Una uhakika Russia hana mgogoro na Poland?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Uzi wa kijinga hauna mantiki yeyote. Eti putin kaomba poo kwa kipi. Hakuna hata risasi moja iliyorushwa kwenda Russia. Yaan huko mjini Moscow business as usual, watu wanaendelea na maisha kama kawaida. Wakati huku Ukraine either ukimbie nchi au ujifiche kwenye handaki kama panya.
Sasa putin aombe poo kwa kipi?

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
 
Naaam karibu tena tumalizie ungwe ya pili na naona timu zinatoka vyumbani tayari kuanza,bado sijaona mabadiliko hadi sasa ila wachezaji wa timu ya Urusi wanaanza kupasha kwa wingi. Jukwaa la Ukraine lipo na watu wachache waliokaa sehemu moja na huku wengi wa mashabiki hao wakitoka nje ya uwanja.
 
Nani kakwambia ICBM ni Neuc Bomb ?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Silaha za nyuklia za Urusi zina uwezo, nikisoma testing za Soviet Union miaka ile kabla hatuna uhuru kwenye Semipalatinsk test site na baadae kisiwa cha Amchitka unaona hawa watu hadi leo usiwachezee. Walifanya tests zaidi ya 700 kwa ujumla, hawatest warheads tena wana uhakika sana na kazi zao.

Ground nuclear weapons zinaweza haribiwa kabla ya kurushwa hasa hizo zilizopo kwenye silos. Satellites huwa zinazunguka muda wote, umakini porini ambako unaona nguzo za umeme zinaenda ila hakuna makazi na zinaishia sehemu fulani. Pia zinachunguzwa reli na barabara zinazoishia porini. Na kabla ya kufyatua kombora kwenye silo kuna logistics activities zinakuwepo. Kwahiyo inawezekana kuharibu silo kabla haijafyatua kombora. Ndio kazi ya bunker buster

Kwa kuzingatia hili ndio maana Russia ana mobile nuclear missiles kama Topol-M na RS-24 Yars ambalo na leo kafyatua kwenye mazoezi. Hizi zinaendeshwa kwenye malori satellite ikizikuta hapa, nusu saa baadae ziko kwingine. Marekani haina mobile nuclear weapons kwa kuwa doctrine zao hazioni ni vipi Urusi itavuka airspace yao. Marekani hawaamini sana kama Russia anaweza ingia anga lao kizembe ndio maana hawana layeled air defence. Wanazo MIM Patriot na range yake sio kubwa haifiki 200km na short range systems kadhaa. Russia ana long range tatu: S-300, S-400, S-500 inakuja, medium range S-350E na hizi Buk zinazopigwa hovyo na drones hapo Ukraine. Short range ni kina Pantsir na wengine. Hizi zinawekwa kwenye layer kuanzia range kubwa mpaka ndogo.

Kwenye maji uko ndiko silaha za nyuklia zinatisha zaidi. Wote wana submarines zinabeba makombora mengi na hazionekani kiurahisi. Ila kiujumla hizi ni deterrence, ile mnataka kufyatua nyuklia ila mnafikiria hata nyie mtapigwa haijalishi Urusi au Marekani itateketea ila nuclear subs zao ziko baharini. Mnaona au basi tuache.

Russia ana silaha. Ukimvamia kwake ndio anakufundisha adabu
 

Hatareee!...UKWELI NI KUWA MAZUNGUMZO YAMEFELI KWA MAANA MASHARTI ALIYOWEKA PUTIN NI MAZITO PAKIWEMO NA KUSTEP DOWN KWA RAIS HUYU ALIYOPO WA UKRAIN...Hivyo njia pekee ya kujiokoa kwa huyo bwana zelenskyy ni kutuma barua ya kuomba kujiunga na EU tu ili awape legitmacy kamili nchi washirika waje kumsaidia hayo mapigano kwakuwa atakuw ni mwanachama mwenzao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…