LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Russia waneomba poo,baada ya jumuiya ya kimataifa kupitisha vikwazo vya uchumi ambavyo Russia hawezi kutoboa.
Pia Russia wamemiscalculate uvamizi wao wa nchi ya Ukraine,walidani operation yao inaweza kufanikiwa kwa mda mfupi,lakini wamekutana na upinzani mkubwa,majeshi na wananchi wa Ukraine wameonyesha uzalendo na mapenzi kwa nchi yao,wamesimama kidete na kupigana dhidi ya majeshi ya wavamizi na kusababisha hasara kubwa kwa Russia,vifo na majeruhi wengi wa wanajeshi wa Russia jumlisha vikwazo vya uchumi,vimempelekea Putin kupeleka wajumbe mezani,
 
Binafsi nimependa utulivu wa MACRON, sambasamba na Rais wa Uturuki, hawa muda wote wanataka kuwe na mazungumzo zaidi ya Vita.
Hawana haraka wala kelele nyingi. UK, GERMAN wao wanawaza sana VITA, hata NATO hao ndio viherehere.
 
Mbn hujui hatakuandika sehem kubwa umeandika kwa mihemko ya bangin, wapi putin kaomba poo nawac wac hata history ya dunia hauijui wewe ndio maana unakuja na bla bla kibao
 
Duuhh hivi Siasa za Putin umeanza kuzifatilia baada ya hii vita kuanza???


Angekua na hayo mawazo, asingeingiza majeshi Ukraine.

Ikama ambavyo Alipeleka Majeshi mipakan mwa Ukraine kisha akataka NATO wakubaliane na matakwa yake, NATO ikagoma, akapata sababu ya kupiga Ukraine.

Na sasa ivoivo, kwenye hayo mazungumzo ,ataendelea kuweka matakwa magum kwa UKRAINE wenyewe , ili wakijifanya wanaamriwa na NATO , jamaa apate sababu nyingine ya kuwapiga mpaka aweke Rais wake anayemtaka.
 
Inshu kama hyo sio lazma serikal ihusike Moja Kwa Moja... Sekta binafsi ipo wangeshirikiana na seeikali tu..
Sekta binafsi ipo profit oriented. Watataka misamaha ya kodi kwenye biashara zao n.k gharama inarudi kule kule tu. Unless useme in time being serikali isikusanye kodi yoyote kwenye mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…