LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Acha uongo, waandika porojo nyingi halafu huweki hata link yoyote ya habari kusapoti porojo zako.

Kwani umeibiwa smartphone?

uwongo tena ili nipate nini soma hiyo link Cracks emerge between Beijing and Moscow as two Chinese banks restrict lending
 
Mtaelewa
Screenshot_20220228-233127.jpg
 
Russia alichokifanya ni kuwafumbua macho mataifa mengine waone tabia halisi za wamagharibi hivi vikwazo vinavyowekwa hovyo hovyo vitawafumbua macho mataifa mengine yanayoinukia na baada ya huu mgogoro wataanza kudeal na mbinu za kujadiliana navyo kimyakimya soon tutapata SWIFT mpya, heshima ya fifa itashuka nk
labda hiyo swift mpya iwe na benk za iran, urusi china na north korea huo uchafu hauwezi kubaliwa na western countries na hata nchi maskin itakuwa ngumu kukubali maana hazina namna zitaenda na western countries boss hanuniwi wahenga walisema. Na infact US na wenzie wakisema benk itakayojiunga na hiyo swift system itapata vikwazo utashangaa itakavyosuswa hiyo swift system .
 
We unadhani kuna taifa duniani halijui uchafu wa USA, shida uwezo wa kwenda nae against hatuna, nani atamfunga paka kengele ndio mtiti huo.
Hakuna madikteta wowote duniani wanaompenda US . ukiifuata demokrasia huwez kukwaruzana naye hata Mara moja .
 
Ukweli unauma sena. Nimekugonga kwenye mfupa. Kula tu mali ya shemeji yako, hiyo ni free kabisa 🤣🤣🤣
una shida mahali
unajuaje kama naishi kwa shemeji kama weww huishi kwa shemeji na unakulaga mali ya shemejio huku unajifanya mrusi wa buza?
 
Russia hataweza kushinda kwa kutumia Jeshi la ardhini, tena hizo Silaha zikifika ndio atakuwa anashambuliwa nyuma, mbele na kulia... Mataifa ya Ulaya yamesharuhusu Raia wake kwenda Ukraine kupigana vita hapo wataingia hadi wanajeshi wa hizo nchi
PUTIN anajua hilo na anatamani muingie kwa wingi ili awakaange vyema
musije mkaanza kulalama kua RAIA wanauliwa ilhali wameyataka wenyewe acha tuone
 
una shida mahali
unajuaje kama naishi kwa shemeji kama weww huishi kwa shemeji na unakulaga mali ya shemejio huku unajifanya mrusi wa buza?
Comments zako zinasadifu tabia na haiba yako. Wewe upo kwa sehemeji. Prove kwamba haupo kwa shemeji.
 
Back
Top Bottom