LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Wajuvi mnisaidie

Kila vita inalengo. Na vita vya kushambulia kabisa kama hii lengo nilitegemea Lowe wazi kabisa.

Afghan alikuwa anasakwa gaidi Osama.
Iraq utawala Wa Sadam ulizingiziwa kuwa na silaha za kemikali.


Nimejaribu kufuatilia lengo jepesi na lililompa Uharaka Putin kuishambulia Ukraine sijaelewa Msaada wakuu.


Je Ni kuiangusha serikali? Imekosa nini?
Je Ni kuzuia mipango ya NATO Ukraine? Hawakuwa na njia mbadala?

He nikuongeza ardhi? Wanayokubwa sana?

Katika vita vya kisasa ambavyo huwezi kujua adui anauwezo gani tena kwenye support ya dunia kama Ukraine, Nini lengo kificho LA urusi kutuletea shida hii?
russia anataka kuwa imara kwenye umoja wao lakini ni kwa bahati mbaya sana kwa sababu Ukraine ambaye ni jirani yake yeye ana mawazo tofauti, Ukrain sasa anaamini West ndio suluhisho na mkombozi wao kiuchumi na kila kitu na kiuhalisia nchi iliyo huru inabidi iachwe tu maana ndio matakwa ya nchi yake,

Sasa kwenye hii vita russia analazimisha Ukrain awe upande wake jambo ambalo logical anakosea sana Ukrain ni nchi huru hata raia wa Ukrain wanasaport nchi yao sasaiv wote wamevaa gwanda wala hakuna anayemlaumu Zelensky wote jumla jumla wanapigania nchi yao mi nadhan Putini aadhibiwe kwenye hili.
 
URUSI ni HATARI nyie, ameuwasha moto, NATO wenyewe wamerudi nyuma. UKRAINE muda huu wanakuwa kama waasi wa M23 wanavizia tu. As i told you before, URUSI hana utani. Wakae chini, kwa mazungumzo na sio kwa vita. Urusi sio Libya, mauaji yatakayotokea hawatoamini.
 
Russia has secured air space in most of parts of Ukraine ndo maana convoy inazidi kusonga, watu walikuwa wanahoji kwanini Ukraine isilipue Russia convoy ambayo inatembea very slow and predictable movement
Hana ubavu huo. Akijaribu tu ataona mziki wake.
 
View attachment 2135145

mtambo wa nyuklia wa Urusi ulio chini ya maji wenye silaha za nyuklia lenye uweze wa kujiendesha kufanya mashambulio unaofahamika kama Poseidon nuclear -armed underwater vehicle


mtambo wa nyuklia wa Urusi ulio chini ya maji wenye silaha za nyuklia lenye uweze wa kujiendesha kufanya mashambulio unaofahamika kama Poseidon nuclear -armed underwater vehicle

View attachment 2135150
Linaitwa GLORY TO GOD hilo
 
Ukweli mpaka sasa hao NATO wakiongozwa na US wamesanda chezea Russia?. Wanaweka vikao ili tuone wapo siriaz na hili tukio kumbe propaganda tu. Mwanaume lazma aogopwe tu[emoji28]
Porojo hizi sasa
 
Hawa EU muda wote vikao, michambo tupu, URUSI wamesema wazi kama wako tayari waingie uwanjani walichezi segere.
 
Putin bye bye!

Wahindi nao wamemkimbia.

IMG_4928.jpg
 
URUSI ni HATARI nyie, ameuwasha moto, NATO wenyewe wamerudi nyuma. UKRAINE muda huu wanakuwa kama waasi wa M23 wanavizia tu. As i told you before, URUSI hana utani. Wakae chini, kwa mazungumzo na sio kwa vita. Urusi sio Libya, mauaji yatakayotokea hawatoamini.
Hii kahawa tupatie na kashata za kushushia Mkuu
 
Back
Top Bottom