Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Mungu wetu awape hawa viongozi wa Russia na Ukraine moyo wa kutafuta suluhu
Acha ujinga,Wazungu nao zamu yao kuuana wenyewe kwa wenyewe!
Hii ni nafasi yetu waafrica kutoa SUPER POWER.
NB-hii Vita siyo ya Dunia,it is a civil war.
Tunawataka NATO wajitokeze.Sikuwa hewani kwa muda pia,nikasema acha nirudi nione ile mikwara ya "msafara wa km 40" kwenda kuifuta Kiev utakuwa umeshamaliza kazi na watu wanapop Champagne,nakuja nakutana na screenshot zimejazana hapa za yale yale ya asubuhi na ambayo tunajionea wenyewe pia kupitia hizo media wanazocopy,nikaona kumbe bado ni blah blah tu
Kwa akili ya kawaida tu unaweza kuamini kilichosemwa hapo.hakuna mwenye akili iyo hata robo sizani kama wamefikaWarusi wa kwa mpalange watapinga.View attachment 2135206
ona hili naloSawa. Ila Urusi hastaili kupewa sifa akimaliza kumpiga Ukraine, Ila Ukraine anastahili sifa kwa kupambana na Urusi mpaka muda huu sababu wote tunajua kuwa Ukraine ni mtoto sana kwa Urusi kijeshi.
Aliyeshindwa hana sifa, MAREHEMU HAWEZI KUWA SHUJAA. USHUJAA NI KUWA MZIMA.Sawa. Ila Urusi hastaili kupewa sifa akimaliza kumpiga Ukraine, Ila Ukraine anastahili sifa kwa kupambana na Urusi mpaka muda huu sababu wote tunajua kuwa Ukraine ni mtoto sana kwa Urusi kijeshi.
HahahaSikuwa hewani kwa muda pia,nikasema acha nirudi nione ile mikwara ya "msafara wa km 40" kwenda kuifuta Kiev utakuwa umeshamaliza kazi na watu wanapop Champagne,nakuja nakutana na screenshot zimejazana hapa za yale yale ya asubuhi na ambayo tunajionea wenyewe pia kupitia hizo media wanazocopy,nikaona kumbe bado ni blah blah tu
Kuandaa jeshi la askari zaidi ya laki 1 na hamsini elfu unafikiri ni swala dogo? Unajua gharama ya kila askari na gharama ya vifaa vya jeshi vyote vilivyotumika katika vita hiyo? Kiufupi Russia ishatumia gharama kubwa toka iandae uvamizi mpaka leo na hali ilivyo ni tofauti na walivyotarajia. Hata week bado warashia washaanza kuingia barabarani kuomba vita isimamishwe kutokana na hali mbaya ya kiuchumi iliyopo nchini mwao. Sasa itapofika mwezi au miezi kadhaa ijayo sijui hali itakiaje huko kwao.Hebu tutajie ni silaha zipi kubwa mrusi katumia kwenye hii vita? pardon me na ni gharama kubwa kiasi gani katumia in figure i mean how much billions of dollar did he spend? hivi unajua hii ni millitary operation na sio an all out war? hivi unajua lengo la mrusi kwenye hii vita?
Macron ameamua kutuma msaada kama mwanachama wa EU na NATO lkn Macron mara zote anampigia Putin kuomba wamalize mzozo. Fuatilia, na hata hajatoa statement mbaya yoyote au shutuma, zaidi anawasihi wenzake watafute njia nzuri kwani Mapigano yanaweza kuchukua muda mrefu na nchi nyingi kuathirika.
Mhhhh,yaani anatuma silaha kwa UKRANE afu anampigia MRUSI kuomba wamalize kwa mazungumzo?!!!
Wewe ni bwana mahaba wa Urusi au Nato? Ufahamike kwanza.ona hili nalo
Oooh!! JF idumu. Naona hadi mtunza ghala wa Russia umo humuHii inaitwa RS-24 Yars. Zipo kama 500 hivi zimewekwa stend by. NATO yeyote akitia pua halali yetu.
View attachment 2135214
View attachment 2135215
Kwani lengo la Urusi umeambiwa anataka kuchukua nchi, au kuangamiza silaha na kuzuia UKRAINE mpango wake wa NATO. JE hadi sasa amefanikiwa au bado??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Ila Urusi mpaka sasa hajachukua tu ile nchi, Ukraine anapambana kwa kweli. Kila nikifanya kazi nikasema nichungulie nakuta hadithi zile zile za Urusi ni noma, anamtandika Ukraine kweli kweli.
Baba hasifiwi kwa kumtandika mtoto.Ana mweshimu mbabe mwenzie, hapo nakuusoma mchezo ili aujue uimara wa adui/hasimu na kuujua udhaifu wake.
Sasa vipi mtoto nanavyoungana na wasaliti kumhujumu baba na mama yake🤔
Nawaonya NATO wa JF. Nimechafukwa mimi.Oooh!! JF idumu. Naona hadi mtunza ghala wa Russia umo humu
Kubaki mzima ukiwa mtumwa hakuna ushujaa, bora upigane uumalize mwendo.Aliyeshindwa hana sifa, MAREHEMU HAWEZI KUWA SHUJAA. USHUJAA NI KUWA MZIMA.
Lengo ya Urusi lipo wazi. Raisi Putin alishalisema. Bado hajalifikia.Kwani lengo la Urusi umeambiwa anataka kuchukua nchi, au kuangamiza silaha na kuzuia UKRAINE mpango wake wa NATO. JE hadi sasa amefanikiwa au bado??
Satan 2 kwa kiswahili ni mpingu(ebony tree)Tunawataka NATO wajitokeze. View attachment 2135230View attachment 2135231
Sidhani kama unajua ulichoandika...Kuandaa jeshi la askari zaidi ya laki 1 na hamsini elfu unafikiri ni swala dogo? Unajua gharama ya kila askari na gharama ya vifaa vya jeshi vyote vilivyotumika katika vita hiyo? Kiufupi Russia ishatumia gharama kubwa toka iandae uvamizi mpaka leo na hali ilivyo ni tofauti na walivyotarajia. Hata week bado warashia washaanza kuingia barabarani kuomba vita isimamishwe kutokana na hali mbaya ya kiuchumi iliyopo nchini mwao. Sasa itapofika mwezi au miezi kadhaa ijayo sijui hali itakiaje huko kwao.