LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mungu wetu awape hawa viongozi wa Russia na Ukraine moyo wa kutafuta suluhu

Acha ujinga,Wazungu nao zamu yao kuuana wenyewe kwa wenyewe!
Hii ni nafasi yetu waafrica kutoa SUPER POWER.

NB-hii Vita siyo ya Dunia,it is a civil war.
 
Sikuwa hewani kwa muda pia,nikasema acha nirudi nione ile mikwara ya "msafara wa km 40" kwenda kuifuta Kiev utakuwa umeshamaliza kazi na watu wanapop Champagne,nakuja nakutana na screenshot zimejazana hapa za yale yale ya asubuhi na ambayo tunajionea wenyewe pia kupitia hizo media wanazocopy,nikaona kumbe bado ni blah blah tu
Tunawataka NATO wajitokeze.
images (25).jpeg
images (24).jpeg
 
Sawa. Ila Urusi hastaili kupewa sifa akimaliza kumpiga Ukraine, Ila Ukraine anastahili sifa kwa kupambana na Urusi mpaka muda huu sababu wote tunajua kuwa Ukraine ni mtoto sana kwa Urusi kijeshi.
ona hili nalo
 
Sawa. Ila Urusi hastaili kupewa sifa akimaliza kumpiga Ukraine, Ila Ukraine anastahili sifa kwa kupambana na Urusi mpaka muda huu sababu wote tunajua kuwa Ukraine ni mtoto sana kwa Urusi kijeshi.
Aliyeshindwa hana sifa, MAREHEMU HAWEZI KUWA SHUJAA. USHUJAA NI KUWA MZIMA.
 
Sikuwa hewani kwa muda pia,nikasema acha nirudi nione ile mikwara ya "msafara wa km 40" kwenda kuifuta Kiev utakuwa umeshamaliza kazi na watu wanapop Champagne,nakuja nakutana na screenshot zimejazana hapa za yale yale ya asubuhi na ambayo tunajionea wenyewe pia kupitia hizo media wanazocopy,nikaona kumbe bado ni blah blah tu
Hahaha
 
Hebu tutajie ni silaha zipi kubwa mrusi katumia kwenye hii vita? pardon me na ni gharama kubwa kiasi gani katumia in figure i mean how much billions of dollar did he spend? hivi unajua hii ni millitary operation na sio an all out war? hivi unajua lengo la mrusi kwenye hii vita?
Kuandaa jeshi la askari zaidi ya laki 1 na hamsini elfu unafikiri ni swala dogo? Unajua gharama ya kila askari na gharama ya vifaa vya jeshi vyote vilivyotumika katika vita hiyo? Kiufupi Russia ishatumia gharama kubwa toka iandae uvamizi mpaka leo na hali ilivyo ni tofauti na walivyotarajia. Hata week bado warashia washaanza kuingia barabarani kuomba vita isimamishwe kutokana na hali mbaya ya kiuchumi iliyopo nchini mwao. Sasa itapofika mwezi au miezi kadhaa ijayo sijui hali itakiaje huko kwao.
 
Macron ameamua kutuma msaada kama mwanachama wa EU na NATO lkn Macron mara zote anampigia Putin kuomba wamalize mzozo. Fuatilia, na hata hajatoa statement mbaya yoyote au shutuma, zaidi anawasihi wenzake watafute njia nzuri kwani Mapigano yanaweza kuchukua muda mrefu na nchi nyingi kuathirika.

Mhhhh,yaani anatuma silaha kwa UKRANE afu anampigia MRUSI kuomba wamalize kwa mazungumzo?!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Ila Urusi mpaka sasa hajachukua tu ile nchi, Ukraine anapambana kwa kweli. Kila nikifanya kazi nikasema nichungulie nakuta hadithi zile zile za Urusi ni noma, anamtandika Ukraine kweli kweli.
Kwani lengo la Urusi umeambiwa anataka kuchukua nchi, au kuangamiza silaha na kuzuia UKRAINE mpango wake wa NATO. JE hadi sasa amefanikiwa au bado??
 
Ana mweshimu mbabe mwenzie, hapo nakuusoma mchezo ili aujue uimara wa adui/hasimu na kuujua udhaifu wake.
Sasa vipi mtoto nanavyoungana na wasaliti kumhujumu baba na mama yake🤔
Baba hasifiwi kwa kumtandika mtoto.
 
Kwani lengo la Urusi umeambiwa anataka kuchukua nchi, au kuangamiza silaha na kuzuia UKRAINE mpango wake wa NATO. JE hadi sasa amefanikiwa au bado??
Lengo ya Urusi lipo wazi. Raisi Putin alishalisema. Bado hajalifikia.
 
Kuandaa jeshi la askari zaidi ya laki 1 na hamsini elfu unafikiri ni swala dogo? Unajua gharama ya kila askari na gharama ya vifaa vya jeshi vyote vilivyotumika katika vita hiyo? Kiufupi Russia ishatumia gharama kubwa toka iandae uvamizi mpaka leo na hali ilivyo ni tofauti na walivyotarajia. Hata week bado warashia washaanza kuingia barabarani kuomba vita isimamishwe kutokana na hali mbaya ya kiuchumi iliyopo nchini mwao. Sasa itapofika mwezi au miezi kadhaa ijayo sijui hali itakiaje huko kwao.
Sidhani kama unajua ulichoandika...
 
Back
Top Bottom