LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums

Russia na ukraine zimepakana ila umbali wa kutoka russia mpaka miji mikuu ya ukraine unajua distance yake? Au unabwajaja tu hapa? Russia ni anamiliki visima vya mafuta anakosaje mafuta. Mzee unavobishana na mm uwe nondo na uwe na source inayoeleweka me nakupa na evidence angali distance hapo
 
Yaani wewe unamuita Putin zero brain?? [emoji3][emoji3]watanzania wajuaji Sana hata Kwa kile asichokijua

kwani ana nini cha ziada ukiondoa nyadhifa zake?.
majinius hawapo katika siasa, siasa ni nyadhifa za malaghai ujanja ujanja mwingiii ila ni maziro brains.
tesla hata hela ya rent ilikuwa ni utata kwake.. kuna jinius mmoja Mrus alisovu hesabu tata taasisi fulan ya uko US wakataka wampe zawaida ya dola 1M kwa kusolve hiyo hesabu akakataa ilhali anaishi kwenye Mgongo wa tembo uko Urusi vijijni.
 
Urusi watalipa gharama zote za uharibifu na fidia kubwa sana hapo baadae.
mbona Mirikani na Israel hawalipi gharama uko wanapovamia, Palestine,afghNstan,Bagdad,iraq,na nchi nyinginee Uyo urusi halipi ata senti tano tena katoa ofa watu waondoke mirikani ye alikuwa anaua na watuu shuut your ffk faki hole
 
Tuache masihara Rais wa Ukraine inabidi alipie na Vita ikiisha anyongwe hadharani.....
Huwezi kuleta mzaha namna hii,kuwadanganya raia wasio na mafunzo yoyote kuwa wanaweza kupambana na wanajeshi.....
Ona kilichowakuta hao pamoja na motolov cocktail zao
 
ushakimbilia Gugo ilikuback up hoja zako wakati mimi hata sikumbuki mara ya mwisho kivist gugo🤣🤣.
unataka sema jeshi lote la Urusi lipo Moscow?.
Tanzania tuna kambi za majeshi Kigoma, musoma monduri etc.
ikitokea vita kati ya Tanzania na Kenya umbari wa kutoka musoma kuingia Isbania Dar Morogoro ni mbali jeshi letu linakuwa lipo ndani ya kenya..sasa wewe umekimbilia kugugo Moscow as if the rest parties of Russia haven't military facilities!!! bogus sana wewe.
Moscow wanakaa watemi, military facilities zilizopo nje ya Moscow ni kupewa oda tu kuwa vuken mpaka muingie Ukraine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…