let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Aliyempiga hitler ndio anampiga ukraine.Historia huwa inajirudia kulikuwa na Hitler mwenyewe yule mada faqa,sasa huyu sani ma bichi anapigika kweupe,
Ndio maana analialia wasiingilie
North korea imeweza, Iran imeweza, Cuba for more than 60yrs imeweza ije kuwa russia?Hata sadam tulimsifu hvi hvi kuwa ni mwanaume πππ marekani ni mkorofi Ila tukubali tu kuwa kuna kitu kaongezewa .... China hawez kufanya ujinga wa kupeleka majeshi kusaidia urusi , na Russia hawezi kustand alone dhidi ya western countries , anaweza fanya hvyo Kwa mda mfupi , tatizo vikwazo vikiongezeka alaf western wakaweka full-scale invasion , Russia hawez ku-hold Kwa miaka miwili au minne ya vita lazima achapike tuu. Unless marekani aone tuu hakuna mchongo wa maana kwenda Ukraine wakat kuna option ya nchi nyingi zinazoweza kuwa puppet wa USA near russia
Kwa hiyo hayo mabomu ya Urusi yanayorushwa Ukraine yanapolomoa majumba tu ila hayauia watu, watu wanaolipotiwa kufa wanauliwa na majausi wa US?. MAHABA UZAA UKICHAA.US wamebaki kuripoti tu CNN na NY Times, labda na UN. Wao ndio wamesababisha haya yote. Halafu, nahisi wanaweza kufanya hujuma za kuwaangamiza raia ili ionekane Russia mchinjaji.
#USHandsOffUkraine!
Achana na story za mitandaoni,wazipige LIVE wote tuone,Aliyempiga hitler ndio anampiga ukrine.
Marekani aliomba poo Kwa missile za mrussia cuba.
Story za mitandanaon?Achana na story za mitandaoni,wazipige LIVE wote tuone,
Kwa hiyo hizo aircraft zitafanya Nini?!?! Hizo aircraft zinatumika kupiga nchi Kama Libya, Tanzania, Venezuela na kadhalika...hizo aircraft ni sitting ducks kwa nchi Kama Russia na China..Marekani ana aircraft carriers 11 urusi ana 2, military budget ni mara tatu ya Russia
Una uhakika Russia alimpiga Hitler ? Bila full support ya western na US , Russia alikuwa anachochora tuuuAliyempiga hitler ndio anampiga ukraine.
Marekani aliomba poo Kwa missile za mrussia cuba.
Hitler alipigwa na huyohuyo,kwahiyo tunasema huyo ndio kiboko yaoHistoria huwa inajirudia kulikuwa na Hitler mwenyewe yule mada faqa,sasa huyu sani ma bichi anapigika kweupe,
Ndio maana analialia wasiingilie
Sawa sawa mmarekani kutoka chato.Aivamie Ukraine akose mradi wa gas wa Nord Stream 2?..NATO walishamwambia Putin very clear,hawezi pata vyote,achague kimoja,aivamie Ukraine akose Nord Stream 2 au aachane na Ukraine inversion abakize Nord stream 2.
Unafikiri Putin ni mjinga hivyo akose mradi utaofaidisha genereations sababu ya vita Ukraine.
Kila kitu ni leverage boss sio ubabe wa kijinga mnaoupigania huku usio na kichwa wala miguu.
Leo Sergei Lavrov amesema baadhi ya wanajeshi waliokuwa mpakani Ukraine wameanza safari ya kurudi kambini,Hata satellites za Marekani wame confirm movements za wanajeshi ku withdraw.
Vita sio lelemama aisee
[emoji1787][emoji1787]haya russia kapiga tayar hivyo vikosi vyako vipo wapWakuu, Baada ya Russia kupeleka jeshi kubwa mno kwenye mpaka wake na Ukraine, mataifa makubwa Duniani yalihamaki yakiongozwa na Marekani.
NATO ilisema wazi kwamba haitaiacha Ukraine ikiwa yatima,na tayari muungano huo wa kujihami wa Ulaya magharibi na Marekani umeimarisha vikosi vyake Poland na Estonia.
Russia imepeleka zaidi ya wanajeshi 130,000 kwenye mpaka wake na Ukraine na wakati wowote wanasubiria amri ya Rais Putin Kuivamia Ukraine.
Baada ya Russia kuimega Crimea na Dunia kukaa kimya,Putin alidhani itakuwa rahisi pia Kuivamia Ukraine na kufanya lolote sasa mambo yamekuwa Tofauti.
Uingereza imepeleka shehena kubwa mno ya silaha mbalimbali Ukraine na makomandoo wa kikosi maalumu cha SAS.
Canada nayo imesema haitaiacha pekee yake Ukraine itaipa misaada yote ya kijeshi dhidi ya uvamizi wa Russia. Kwa hiyo Russia inafikia hatua wanaogopa wakijua wazi kwamba kushinda vita kwao itakuwa ngumu mno.
Na hakika Russia ikijaribu kuivamia Ukraine haitashinda hii vita zaidi ya kuharibikiwa kiuchumi. Russia ni nani hasa hata ashinde vita dhidi ya Marekani, Uingereza, Canada na mataifa mengine mengi ambayo yanaisaidia Ukraine bila kuitangazia Dunia.
Mengine yabakie ushabiki tu, lakini Russia haitashinda hii vita na wao wameshaliona hilo.
View attachment 2119949
We jamaa zina beba bombers ambazo hata satellites za urusi haziwezi detectKwa hiyo hizo aircraft zitafanya Nini?!?! Hizo aircraft zinatumika kupiga nchi Kama Libya, Tanzania, Venezuela na kadhalika...hizo aircraft ni sitting ducks kwa nchi Kama Russia na China..