LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Adui mkubwa na mbaya sana ni jirani yako. Ukraine ni jirani wa karibu sana na Russia.

Lengo kuu la NATO na Marekani ni kaziangusha Russia, China, N.Korea, Iran na Venezuela ili kuondoa mizania duniani. Hizi nchi zikianguka kutakuwa hakuna kikwazo kwao kwenye kila jambo, na hata ukoloni utarudi upya.

Ukraine jirani mkubwa na Russia anapokuwa na uswahiba na NATO na Marekani ni hatari sana kwa Russia, China, n.korea, Iran na dunia.

Marekani anapeleka silaha nzito Ukraine kwa kisingizio Cha kuihami Ukraine dhidi ya Russia.

Muwahi Adui yako kabla hajamaliza kujipanga, hicho ndicho anachofanya Putin kwa Ukraine. Naungana na Putin kwenye safari yake, dunia atakuwa salama zaidi kama urusi itakuwa na nguvu pia.

Putin anataka kuionyesha dunia vita ya kigiditali.
Kwa nn unashindwa kuji uliza maswali ya msingi kama why nchi zote zilizokuwa za Soviet zina ikimbia Russia?Ukraine ni nchi ina panga foreign affairs na internal affairs zake .anyway Nime kuwekea picha za vijan wa putin hapo chin
Screenshot_2022-02-24-18-22-26-648_com.gbinsta.android.jpg
Screenshot_2022-02-24-18-04-55-693_com.instagram.android.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2022-02-24-18-22-26-648_com.gbinsta.android.jpg
    Screenshot_2022-02-24-18-22-26-648_com.gbinsta.android.jpg
    30.8 KB · Views: 32
baada ya kuichapa Georgia na sasa anaichapa ukraine halafu lupitia state media ya TASS putin anasema

Russia supports sovereignty of neighbors, was forced to make exception for Ukraine — Putin https://tass.com/politics/1408375

kina kazakhstan wajiandae maana russia imekuwa ikilalamika kuhusu mpaka kati yao kwa muda mrefu pia kuna russian minorites pale asije akawa forced kumake exception
 
Romania yatoa Tamko,inapokea wakimbizi wote kutoka Ukraine, kama una ndugu yupo huko plz contact me
 
Unachekesha kweli..
Russia analinda maslahi yake pale kama alivyofanya Sysria.
Hawezi kwenda sehemu ambayo maslahi yake hayapo.
US ndio wanajua umhimu wa ukraine ndio maana wakataka ijiung nato.
Umhimu wa Ukraine Kwa Us unaweza kuwa easily replaced na nchi zingine near russia , na wala sio lazima ang'ang'anie Ukraine Kias cha kutoa kafara askar wake , anyetakiwa kuucheza huu mchezo Kwa akili ni Ukraine .....!!! Asiwaanin Sana hao washirika mana wana nyumba nyingi tu za kuhamia wakiona waliyomo inaungua moto..kilichopo sa hv ni kumchimba mkwara Russia , na kumuwekea vikwazo vya kiuchumi huku wakiuza silaha mdogo mdogo na wakitafuna big G makwao...maeneo ya nothern Carolina
 
Adui mkubwa na mbaya sana ni jirani yako. Ukraine ni jirani wa karibu sana na Russia.

Lengo kuu la NATO na Marekani ni kaziangusha Russia, China, N.Korea, Iran na Venezuela ili kuondoa mizania duniani. Hizi nchi zikianguka kutakuwa hakuna kikwazo kwao kwenye kila jambo, na hata ukoloni utarudi upya.

Ukraine jirani mkubwa na Russia anapokuwa na uswahiba na NATO na Marekani ni hatari sana kwa Russia, China, n.korea, Iran na dunia.

Marekani anapeleka silaha nzito Ukraine kwa kisingizio Cha kuihami Ukraine dhidi ya Russia.

Muwahi Adui yako kabla hajamaliza kujipanga, hicho ndicho anachofanya Putin kwa Ukraine. Naungana na Putin kwenye safari yake, dunia atakuwa salama zaidi kama urusi itakuwa na nguvu pia.

Putin anataka kuionyesha dunia vita ya kigiditali.
Mi nadhani ni ubabe na uonevu tu, kwani Ukraine kujiunga NATO ndo ingekuja kuivamia Urusi au? Sio kweli, ni ujeuri tu kama aliofanya Hitler, kuonyesha dunia kwamba wewe ni mbabe. Na Marekani hatajishughulisha, vita ni hasara na mateso kwa wananchi, kisa ufahari wa Putin!
 
Back
Top Bottom