umeandika utopolo we toka uzaliwe uliona jambo gani linskubalika na watu wotee...Haye mataifa uliyoyataja wananchi wake walikubali kushika silaha kupambana na kuziangusha serikali zao na Muamerica na wenzie wakasaidia kusaga kunguni. Tofauti na urusi, hao ni wavamizi, hawana tofauti na wezi au jambazi. Siku nyingine uwe unashirikisha ubongo kufikiri. Wananchi wenyewe wa urusi wanaona aibu kwa kinachofanywa na serikali yao. Ila wewe uliyopo Nanjilinji unajifanya unajua sana na kumsapoti huyo kichaa Putin. Huyu ni kama Idd Amin Dada alivyofanya kwa Tanzania.
Wameifungia YouTube wapumbav tuukitaka habar za halisi ingia yoyutb Rt ile chamel hao russia today pale unapata uhalisia
Heko kila ulicho sema, sisi watanzania akili kisoda halafu unawaza pipa,Wewe una emotions tu hakuna unachojua, hufahamu kuwa ghadafi alituma jeshi na silaha Uganda kipindi cha ya kagera, umesahau Russia aliivamia afighanistan, hoja za kishabiki zipo kwetu ambapo watu wengi akili hamna hawafanyi analysis, unaweza ku analysis hii vita kwa jicho la ubinadamu, athari zake kwenye jamii zetu mpaka huku kwetu kwa wachambuzi
teregram wana channell yao mi nakula nondo hukooo [emoji2960][emoji2960]Wameifungia YouTube wapumbav tu
Ni Mpalestina gani aliipiga serikali yake?Haye mataifa uliyoyataja wananchi wake walikubali kushika silaha kupambana na kuziangusha serikali zao na Muamerica na wenzie wakasaidia kusaga kunguni. Tofauti na urusi, hao ni wavamizi, hawana tofauti na wezi au jambazi. Siku nyingine uwe unashirikisha ubongo kufikiri. Wananchi wenyewe wa urusi wanaona aibu kwa kinachofanywa na serikali yao. Ila wewe uliyopo Nanjilinji unajifanya unajua sana na kumsapoti huyo kichaa Putin. Huyu ni kama Idd Amin Dada alivyofanya kwa Tanzania.
Molotov cocktails zile lazima zinaleta maafa japo kidogo. Huwezi pakia petrol hovyo mji mzima alafu eti hakuna zinakoshika moto bahati mbayaHao ndo wanokufa hovyo wakitumia mabomu ya petroli.
Kakune nazi hii kitu iko juu ya uwezo wako wa kufikiri.umeandika utopolo we toka uzaliwe uliona jambo gani linskubalika na watu wotee...
Hizo zilitumika sana wakati wa Vita kuu ya pili na si hii ya sasa itaua wengi wasofahamu namna ya kuzitumia.Molotov cocktails zile lazima zinaleta maafa japo kidogo. Huwezi pakia petrol hovyo mji mzima alafu eti hakuna zinakoshika moto bahati mbaya
[emoji117]Kakune nazi hii kitu iko juu ya uwezo wako wa kufikiri.
Urusi ikianguka silaha zake ndio zitazubaa kwenye masoko sasa. Marekani bunduki zao za M2 Garand za vita ya pili ya dunia zilitumika kwenye vita kibao hapa Afrika hasa kule Ethiopia. Yugoslavia baada ya kuanguka silaha zake ndio zinatumia Middle East. Marekani mbona huwa wananunua AK-47 na kuwapa magaidi ila wao huwapamba na kuwaita "moderate rebels".Urusi ikianguka Amani Africa itarejea japo kwa kiasi fulani. yeye ndiye ana tengeneza bunduki za bei rahisi na kuwauzia bokoharam Alshabab na Islamic state,M 24 na kundi la Joseph Kon (mkristo gaidi)
Hakuna mwanamgambo anaetumia M16 ya US kwasababu inahaji process na pesa ndefu kuipata. majihadist wote duniani wanatumia AKA 47 kwasababu ukiuza junia moja la mahindi unapata AKA 47 MPYA NA RISASI ZAKE.
Kumbe ndio wewe. Nakumbuka watu walikukandia sana nikakutetea wakanijumlisha. Eti sisi sio wazalendoNiliweka uzi humu kujusu display yetu tuliyofanya siku ya uhuru ni kujidhalilisha tu. Watu walitoa povu
Uwe unajishughulisha akili yako wakati mwingine, huko Palestina PLO na Hamas wanaelewana? Iraq iko wazi kuna raia hawakumtaka Sadam na walishirikiana wamarekani kumuua. Na hiyo Iraq muamerika kaondoka kitambo, mbona hawatulii kama ilivyo Libya? Mrusi ni muhalifu tu kama wahalifu wengine.Ni Mpalestina gani aliipiga serikali yake?
Ni raia gani wa Iraq aliipiga serikali yake kwenye vita ile?
Kwa Libya nakubali
Wapii tunafanyia mkuuTukishainyakua kiev Warusi wote wa Jf tukutane tujipongeze kwa kazi kubwa tuliyoifanya nitalipia ukumbi na gharama nyingine..
I agree with you humu kuna baadhi ya amateurs wanafanya mtazamo kwa kushabikia nchi fulani. Urusi kaonesha performance mbaya sana ukizingatia anapigana na competitor mdogo. Zile columns za magari ya jeshi zinazoenda bila air cover, kukosa supplies, kupigana bila kwanza kuharibu airforce ya adui na viwanja vyake, etc.yaan mi mtu akini kot na kunisingizia kuwa nimekariri propaganda za west automatically ninapuuza.
ngoja nikujibu kwasababu nipo katika Mode ya kujibu upuuzi.
ujaona vifaru vya Urusi vikikokotwa kwasababu havina mafuta?.
unajua umbali wa Urus na Ukrein ni sawa na Mbagala na Manzese?.
unajua hata wiki hajaisha Urusi iko vitani ila tumeona madhaifu mengi ambayo hatujawai ona kwa mpinzani wake mkubwa?.
Sote tunajua marekani ni dhaifu ila hatujawai ona udhaifu wa kutisha kama anaoonyesha Urusi.
unajua kutoka pentagon had Iraq ni maili ngapi?.
unajua ni miaka mingapi US amekuwa aki oprate mission zake Dunia kote? ngoja nifupishe, nipo darasa la kwanza 1999 ninasikia habari kuhusu marekani today is over 2 decades.. sijasikia US akiishiwa mafuta akiwa ndani ya operation/vita ya namna yoyote ile.
uenda Mrusi ni mzuri zaidi kwa mission ndogo ndogo na fupi kama vile kwenda kuwapiga ISIS kule Syria Etc ila si mzuri katika total war kama tunavyoona.
umejiuliza ni kwanini tunaposema vita ni:,
JESHI
UCHUMI/PESA.
PROPAGANDA.
WASHIRIKA etc?.
unajua kati ya hivyo vyote Urusi ana viwili tu JESHI na PROPAGANDA ila vingine vyote n 0 kabisa.
washilika wake nao ni choka mbaya.
ukiondoa kitisho cha nyukilia Japan leo anaweza ingia Urusi na kunyakua baadhi ya eneo kama alivyowaifanya uko nyuma na Urusi asiwe na cha kufanya.