LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ngoja nilale nisubiri updates za hapo baadae baada ya jamaa yetu putin kuamuka na kuwapiga Ukraine cha asubuhi kwanza kabla ya negotiations kufanyika leo.
Uzuri sisi na ndugu zetu wa Moscow tunatumia muda sawa.
Screenshot_20220302-004836_Clock.jpg
 
Haye mataifa uliyoyataja wananchi wake walikubali kushika silaha kupambana na kuziangusha serikali zao na Muamerica na wenzie wakasaidia kusaga kunguni. Tofauti na urusi, hao ni wavamizi, hawana tofauti na wezi au jambazi. Siku nyingine uwe unashirikisha ubongo kufikiri. Wananchi wenyewe wa urusi wanaona aibu kwa kinachofanywa na serikali yao. Ila wewe uliyopo Nanjilinji unajifanya unajua sana na kumsapoti huyo kichaa Putin. Huyu ni kama Idd Amin Dada alivyofanya kwa Tanzania.
umeandika utopolo we toka uzaliwe uliona jambo gani linskubalika na watu wotee...
 
Wewe una emotions tu hakuna unachojua, hufahamu kuwa ghadafi alituma jeshi na silaha Uganda kipindi cha ya kagera, umesahau Russia aliivamia afighanistan, hoja za kishabiki zipo kwetu ambapo watu wengi akili hamna hawafanyi analysis, unaweza ku analysis hii vita kwa jicho la ubinadamu, athari zake kwenye jamii zetu mpaka huku kwetu kwa wachambuzi
Heko kila ulicho sema, sisi watanzania akili kisoda halafu unawaza pipa,
 
Haye mataifa uliyoyataja wananchi wake walikubali kushika silaha kupambana na kuziangusha serikali zao na Muamerica na wenzie wakasaidia kusaga kunguni. Tofauti na urusi, hao ni wavamizi, hawana tofauti na wezi au jambazi. Siku nyingine uwe unashirikisha ubongo kufikiri. Wananchi wenyewe wa urusi wanaona aibu kwa kinachofanywa na serikali yao. Ila wewe uliyopo Nanjilinji unajifanya unajua sana na kumsapoti huyo kichaa Putin. Huyu ni kama Idd Amin Dada alivyofanya kwa Tanzania.
Ni Mpalestina gani aliipiga serikali yake?
Ni raia gani wa Iraq aliipiga serikali yake kwenye vita ile?
Kwa Libya nakubali
 
Uingereza imeiwekea vikwazo nchi ya Belarus kwa kuisaidia Russia kuanzisha mashambulizi kutoka nchini humo.

Lakini raisi wa Belarus Alexander Lukashenko yeye bado hajawekewa vikwazo hivyo.
 
Molotov cocktails zile lazima zinaleta maafa japo kidogo. Huwezi pakia petrol hovyo mji mzima alafu eti hakuna zinakoshika moto bahati mbaya
Hizo zilitumika sana wakati wa Vita kuu ya pili na si hii ya sasa itaua wengi wasofahamu namna ya kuzitumia.

Hata hivyo Russia imetoa onyo usiku huu watu waondoke itaanza kudondosha makombora makali yanopenya majengo hadi ardhini.
 
Urusi ikianguka Amani Africa itarejea japo kwa kiasi fulani. yeye ndiye ana tengeneza bunduki za bei rahisi na kuwauzia bokoharam Alshabab na Islamic state,M 24 na kundi la Joseph Kon (mkristo gaidi)

Hakuna mwanamgambo anaetumia M16 ya US kwasababu inahaji process na pesa ndefu kuipata. majihadist wote duniani wanatumia AKA 47 kwasababu ukiuza junia moja la mahindi unapata AKA 47 MPYA NA RISASI ZAKE.
Urusi ikianguka silaha zake ndio zitazubaa kwenye masoko sasa. Marekani bunduki zao za M2 Garand za vita ya pili ya dunia zilitumika kwenye vita kibao hapa Afrika hasa kule Ethiopia. Yugoslavia baada ya kuanguka silaha zake ndio zinatumia Middle East. Marekani mbona huwa wananunua AK-47 na kuwapa magaidi ila wao huwapamba na kuwaita "moderate rebels".

Silaha zinadhibitiwa kukiwa na serikali imara. Na kuuza silaha sio kuanzisha vita, kwanza Marekani haijawahi wapa wapiganaji wa siri silaha inazotengeneza yenyewe
 
Ni Mpalestina gani aliipiga serikali yake?
Ni raia gani wa Iraq aliipiga serikali yake kwenye vita ile?
Kwa Libya nakubali
Uwe unajishughulisha akili yako wakati mwingine, huko Palestina PLO na Hamas wanaelewana? Iraq iko wazi kuna raia hawakumtaka Sadam na walishirikiana wamarekani kumuua. Na hiyo Iraq muamerika kaondoka kitambo, mbona hawatulii kama ilivyo Libya? Mrusi ni muhalifu tu kama wahalifu wengine.
 
yaan mi mtu akini kot na kunisingizia kuwa nimekariri propaganda za west automatically ninapuuza.
ngoja nikujibu kwasababu nipo katika Mode ya kujibu upuuzi.
ujaona vifaru vya Urusi vikikokotwa kwasababu havina mafuta?.
unajua umbali wa Urus na Ukrein ni sawa na Mbagala na Manzese?.
unajua hata wiki hajaisha Urusi iko vitani ila tumeona madhaifu mengi ambayo hatujawai ona kwa mpinzani wake mkubwa?.

Sote tunajua marekani ni dhaifu ila hatujawai ona udhaifu wa kutisha kama anaoonyesha Urusi.
unajua kutoka pentagon had Iraq ni maili ngapi?.
unajua ni miaka mingapi US amekuwa aki oprate mission zake Dunia kote? ngoja nifupishe, nipo darasa la kwanza 1999 ninasikia habari kuhusu marekani today is over 2 decades.. sijasikia US akiishiwa mafuta akiwa ndani ya operation/vita ya namna yoyote ile.
uenda Mrusi ni mzuri zaidi kwa mission ndogo ndogo na fupi kama vile kwenda kuwapiga ISIS kule Syria Etc ila si mzuri katika total war kama tunavyoona.
umejiuliza ni kwanini tunaposema vita ni:,

JESHI
UCHUMI/PESA.
PROPAGANDA.
WASHIRIKA etc?.
unajua kati ya hivyo vyote Urusi ana viwili tu JESHI na PROPAGANDA ila vingine vyote n 0 kabisa.
washilika wake nao ni choka mbaya.

ukiondoa kitisho cha nyukilia Japan leo anaweza ingia Urusi na kunyakua baadhi ya eneo kama alivyowaifanya uko nyuma na Urusi asiwe na cha kufanya.
I agree with you humu kuna baadhi ya amateurs wanafanya mtazamo kwa kushabikia nchi fulani. Urusi kaonesha performance mbaya sana ukizingatia anapigana na competitor mdogo. Zile columns za magari ya jeshi zinazoenda bila air cover, kukosa supplies, kupigana bila kwanza kuharibu airforce ya adui na viwanja vyake, etc.

Urusi hajanishawishi kama anaweza wage an all out war with NATO. Hata asipowekewa vikwazo akawa na uchumi uleule na support kubwa kwake ila uwezo wake kwenye field ni hauridhishi. Unapigana na jirani, alafu some of your troops wanakosa mafuta wanatelekeza silaha. Ukisafiri 10,000 km itakuaje si majeshi yanakuwa isolated.

Tatizo la Urusi ni logistics. Vita na Japan napo Urusi ilifeli kufanya mobilization ya wanajeshi na silaha kutoka central na Western kwenda far East. Vita ya kwanza walikuwa poor hivihivi walipigwa na Ujerumani karibia battle zote, ila Ujerumani ya WW1 ilikuwa inapiga hakuna mfano. Vita ya pili ndio walifanya mass production pale Stalin alipodai "Quantity has a quality all its own" wakatoa units nyingi za silaha ila ubora wa kawaida na walishinda kwa hili.

Wanajeshi wa Urusi kufa sana haiwatishi kivile. Vita zao zote huwa wanakufakufa. Nchi inayoogopa zaidi wanajeshi kufa ni Israel
 
Back
Top Bottom