LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hawa Ukraine wanatafuta Sympathy....tu.
Raisi wao anataka kuplay hero kwenye hili.....
Cha ajabu hakuna anayereport Ukranians wanavyoattack Civilians wa Donetsk ( Wenzao waliojitenga).
Kama ni war Crimes, Ukraine na Battalion zake za kinazi have more to Answer.
 

Attachments

  • getvideobot.com-rPshm65CA8mgua63.mp4
    22.2 MB
Huo uharibifu ushafanyika kwa kiwango kikubwa. Ile ni vita sio operation boss. Huwezi ukafanya demobilization of military ya nchi nyingine halafu useme ni operation, obvious ile ni war. Kuiita operation ni kuipunguzia tu attention isionekane kitu kikubwa sana.
 
Na ndio ananyamazisha ss,subiri utaona!
Kam sina cha kusema ,unanipangia?
Kila mmoja anasema anachojisikia usinipangie,km we unavyofurahia huu ujinga hakuna aliyekuzuia
 
Na hilo liwe funzo kwa westernazi maana usa kafanya Libya iwe ka magofu ...
Mi nafurahi maana anaepasuliwa ni mzungu tena racist[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Putin baba we piga tuu si huku hayatuhusu asee
Kumbe Ukraine mini inakoharibiwa ni wamekani ? Wazungu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…