LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hawa Ukraine wanatafuta Sympathy....tu.
Raisi wao anataka kuplay hero kwenye hili.....
Cha ajabu hakuna anayereport Ukranians wanavyoattack Civilians wa Donetsk ( Wenzao waliojitenga).
Kama ni war Crimes, Ukraine na Battalion zake za kinazi have more to Answer.
 

Attachments

  • getvideobot.com-rPshm65CA8mgua63.mp4
    22.2 MB
Kyiv kuna Raia wengi, lazima utoe Rai ya kuhamisha Raia kwanza, ile ni operation sio vita. Total war haichagui, inafumua majengo bila kufanya assesment yoyote.
Tuwaombee UKRAINE, kuleta ubishi na kutaka kusifia kwamba UKRAINE wamejitahidi haina maana yoyote wakati nchi ina wakimbiza wengi. Hawana vifaa vya mashambulizi nk.
Kwenu nyie mnaona vita kama ushabiki wa mpira 0yaani.
Mungu inusuru hii vita, na wakae kwenye mazungumzo.
Huo uharibifu ushafanyika kwa kiwango kikubwa. Ile ni vita sio operation boss. Huwezi ukafanya demobilization of military ya nchi nyingine halafu useme ni operation, obvious ile ni war. Kuiita operation ni kuipunguzia tu attention isionekane kitu kikubwa sana.
 
SmartSelect_20220302-095806_Twitter.jpg
 
Huyo mungu wako akitaka kutuuzi ainyamazishe hii vita,watu tumepata vya kushuhudia alafu ww unasema vita iishe? Unafikili hao wanaopigana wajinga sana au unauchungu sana kuliko wenyewe,aisee kama huna cha kusema bora ukae kimya, maana nayo pia ni busara. Usituudhi sawa?
Na ndio ananyamazisha ss,subiri utaona!
Kam sina cha kusema ,unanipangia?
Kila mmoja anasema anachojisikia usinipangie,km we unavyofurahia huu ujinga hakuna aliyekuzuia
 
Na hilo liwe funzo kwa westernazi maana usa kafanya Libya iwe ka magofu ...
Mi nafurahi maana anaepasuliwa ni mzungu tena racist[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Putin baba we piga tuu si huku hayatuhusu asee
Kumbe Ukraine mini inakoharibiwa ni wamekani ? Wazungu ?
 
Back
Top Bottom