LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ukraine ni nchi ndogo mno kivita kulinganisha na URUSI, hakuna anayepinga kwamba URUSI atampiga Ukraine - tunachosemea sisi ni outcome baada ya vita - Mrusi atadhoofika vibaya sana sana kiuchumi na huo ndiyo utakuwa mwisho wa Putin.
Unadhani Russia hawakufanya analysis ya madhara yatakayotokea wakiingia vitani na kujua nini kitafanyika baadae?
 
Utakuwa mjinga kuamini kuna vita ya siku moja, really stupid!
 
Kama ni hivyo kilichokuwa kinawafanya mseme Russia anakwenda kufanya operation maalum tu ndani ya masaa 24 anamaliza mchezo Ukraine ni kipi sasa (japokuwa unaweza kuwa si wewe but Pro Russia wengi humu ndiyo walikuwa wanatupigia makelele hayo ) kama mnalijua hilo la uwezo wa Ukraine kijeshi pia.Tunajua ni aibu the so called Super Power kijeshi kupewa upinzani mkali na Underdog Ukraine,tunawaelewa mnavyojaribu kumsitiri mtu mzima aliyevuliwa nguo na mtoto
 
Inasikitisha sana. Hawa ndio vijana tunaotegemea wadai katiba mpya na wapiganie taifa lao. Kwa uelewa huu I rest my case
nakuuliza kila mtu akiamua afanye unachokuona kwake ni sahihi tutadum?
 
hoja sake ni zip?
 
So ile operation ya masaa 24 sasa hivi itakuwa ya mwezi mzima kwakuwa Kyv ina watu wengi si ndiyo Mkuu.
 
VITA YA UKRAINE NA URUSI IMETHIBITISHA KWAMBA COVID-19 NI MRADI WA WAZUNGU KWA MINAJILI YA KUPIGA HELA.....

SASA HIVI BAADA YA URUSI KUKINUKISHA HUSIKII TENA SIJUI VARIANT SIJUI DELTA SIJUI OMICRON WALA BIBI YAKE NANI.......

HAPA NDO UTAJUA WAZUNGU COVID NI MRADI WAO WA KUPIGA PESA.

INASHANGAZA SASA HIVI ONLINE PLATFORMS KARIBU ZOTE ZIMEACHA KUJADILI COVID AJENDA NI VITA YA UKRAINE TU....

AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!!!

We modi ulefuta uzi wangu ***
 
Hiyo Dunia iliamuaje wakati LIBYA inavamiwa?
 
kwa hiyo aweke hayo ma chuma ya hao wapuuzi ili warusi waje kuumia mbeleni....akuuu!!!!..hata mimi ningelianzisha kinoma noma
Utaifanyaje nchi iliyo huru na matakwa yake? ivi Tz ikianzisha uhusiano na oman nani atainua mdomo, China nani ataiunua mdomo, korea nk., nchi huru haziingiliwi siasa zake, Ukrain ni nchi huru tunapaswa kulaani mauaji ya kinyama kutoka russia kwa taifa dogo kivita kama Ukrain
 
Kumbe uli anzia ulaya nilizani china bhana.we kiazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…