permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Isije ikawa shida ulikuwa unaandika Kiingereza cha Kirusi.Ndio, unajua ukichangia mada kwa kiingereza inakuwa rahisi kuwa detected. Mi nilikuwa nadeal na CNN, BBC, REUTERS nk wakipost kitu na kama nimeona wazi hii ni propaganda huwa nashindilia comment huku nikimaalizia kuunga mkono URUSI wazidi kuifumua UKRAINE.
Nenda kashtaki kwa Putin aende akawapige mabomu wamiliki wa Twitter.Ndio, unajua ukichangia mada kwa kiingereza inakuwa rahisi kuwa detected. Mi nilikuwa nadeal na CNN, BBC, REUTERS nk wakipost kitu na kama nimeona wazi hii ni propaganda huwa nashindilia comment huku nikimaalizia kuunga mkono URUSI wazidi kuifumua UKRAINE.
Na ww unaona sawa Urus kuendelea kupandikiza viongoz kweny zinamzomzunguka ? jiulize majirani zake wanajiunga na Ulaya ya Magharibi ila ww upo Buza hujawai hata kuiona ndege ya kivita ya kirusi ndo unamshabikia PutinBabu,mbona unakuwa na kichwa boga kama mashabiki wa CCM tafuta hotuba za putin-amelielezea hilo swala vizuri.kwa hiyo we we unaona ni sawa USA awekw base Ukraine na Ukraine ilimiko nuclear kwa mgongo wa USA??
Tanzania sio Nazism wala Fascism umeelewaUtaifanyaje nchi iliyo huru na matakwa yake? ivi Tz ikianzisha uhusiano na oman nani atainua mdomo, China nani ataiunua mdomo, korea nk., nchi huru haziingiliwi siasa zake, Ukrain ni nchi huru tunapaswa kulaani mauaji ya kinyama kutoka russia kwa taifa dogo kivita kama Ukrain
Ndiyo majigambo ya Pro Putin wengi hapa Mkuu,siyo mimi 😂Shida yako unataka uone kyiv iwe majivu? [emoji28]😂
No proofView attachment 2135881This legendary Ukrainian fighter jet pilot shot down 10 Russian enemy aircrafts. His nickname is "Ghost of Kyiv".
Hapana, ila nilikuwa napingana sana na mitizamo yao. Nikazuiliwa kwa muda wa masaa 12, now nimeingia naona kwanza wamenilog out, nilivyolog in, sioni chochote, followers, na zile following naziona ila kila nikitaka kuchek chochote naambie hakuna connection.Isije ikawa shida ulikuwa unaandika Kiingereza cha Kirusi.
Mkuu una mimba changa? Mbona una hasira kama nimekuchukulia dada yako??Nenda kashtaki kwa Putin aende akawapige mabomu wamiliki wa Twitter.