LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Sawa, Ila usilete janja janja la kusema tayari ila hatutangazi tukashangaa siku zinapita tu.
 
leo sidhani raia ndo siku yao ya kuondoka huko Ukraine baada ya hapo ni booΓ³Γ³
 
Estonia wapo jirani kabisa lakini hawezi kugusa moto yeye sio mjinga, hata mabwenyenye wa urusi maarufu kama oligarchy wameanza kumkataa
 
WEWe ndiwe unatembea na dish,halafu matusi ni kiashirio cha kuishiwa hoja,Tanzania ni moja ya nchi zenye maendeleo katika nyanja zote ulizozitaja hapo labda mtu ajifanye haoni ndiye atakaebishana kuhusu Hilo,mfano Marekani standard ya elimu Yao watu wanadhani Iko juu lakini hebu angalia elimu yenyewe kama inawasaidiaje kuondokana na matatizo yao ya mass shooting,racism,matumizi ya madawa ya kulevya n.k.
 
Tunawasubiri wazee wa 'Putin anakiwasha" walitwambia leo ni deadline kiev inakuwa majivu,naona wanasubiri Putin afanye yake ili waje hapa kama nzige kuvamia
🀣 🀣 🀣. Kwamba wapo chimbo
 
leo sidhani raia ndo siku yao ya kuondoka huko Ukraine baada ya hapo ni booΓ³Γ³
Nimesema leo ndio tunamaliza game ila taarifa watu watazipata kesho. Wanachofanya Ukraine na sengefu wake USA ni kitu cha kitoto sana mfano academy unaifunga goli 10 bila alafu msemaji wao anasema wao walikuwa wanaangalia zaidi pasi na kuonana kwa wachezaji uwanjani na sio kupata goli. Watapata tabu sana mwaka huu na tukiwamaliza hawa tunawaendea nchi zikizotuwekea vikwazo nako moja moja tuna chukua. Kwa sasa tumejua kuwa tunaogopwa hivyo wakimbie mbali sana maana ndio kwanza tumeanza A.
 
Estonia wapo jirani kabisa lakini hawezi kugusa moto yeye sio mjinga, hata mabwenyenye wa urusi maarufu kama oligarchy wameanza kumkataa
Urusi ni sawa sawa na mtu mzima alieibiwa kuku, afu anaenda kumalizia hasira zake kwa mtoto wa jirani yake eti kisa tu huyo mtoto wa jirani ana urafiki wa karibu na dogo alieiba kuku ambae pia ni jirani ya huyo mtu mzima. Sasa hapa mwenye akili utajiuliza ni kwann mtu mzima kaenda kumwadhibu innocent child wa jirani yake na wakati muhusika alieiba kuku wake anamfahamu tena anaishi jirani yake. Jibu ni kwamba mtu mzima kaogopa kum face dogo alieiba kuku eidha kwa kuhofia kipigo toka kwa baba wa huyo dogo, so akaona njia ya kufikisha ujumbe wa kuibiwa kwake ni kum target dogo mungine ambae ni yatima na kumalizia hasira zake zote kwake.
 
Bongo sihami jamani kwa ujuaji huu, ungetuletea technical specifications zake angalau tukajua kuwa MIC 26 hazina uwezo wa wakumudu uwanja wa Medani
 

Your browser is not able to display this video.

The Russian delegation is heading to Belovezhskaya Pushcha for negotiations
 
Hongera unaijua history vizuri, USSR hatasahau alichofanyiwa na Finland
 
Daah hatari sana
 
News from the world of gaming:

Users from Russia report problems paying for purchases on Steam and the Playstation Store.

Also, from insider Tom Henderson, information appeared that EA Sports plans to remove the Russian national teams from FIFA and the NHL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…