Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Cha kushangaza wanaouripoti msafara sio RUSSIANS bali pro Americans.Hv msafara wa putin haujafika tyu kiev
Urusi wametangaza kwenye kipaza sauti raia wote waondoke mjini.Kwan kuna nn huko ukraine usku wa leoView attachment 2136433
Putin anamfukuza mwizi kimya kimya[emoji2]Kama anawafyeka warusi, mbona hapa Rais huyo huyo analalamika kuwa Russia wanataka kuifutilia mbali Ukraine katika uso wa dunia.
Mwambieni aache kulilia kutafuta huruma, apambane, hiyo ndio maana ya vita. Yeye si anadai toka vita ianze Russia ndio yapoteza maelfu ya wanajeshi wake huku Ukraine idadi ya wanajeshi waliokufa haizidi 500.
Tunaendelea kumkimbiza mwizi kimyakimya pasi na kupiga mayowe
View attachment 2136440
Oya acha upuuzi, ukishatuma kitu usirudie.Канал для российских матерей.
INGIA KWENYE GROUP iLI LA TELEGRAM UONE JINSI HALI HALISI INAYOENDELEA HUKOOO. DAH UTU TUUU WA UKRAINE WANA TUMIA. KWA RUSSIAN CAPTURED SOLDERS
Lete chanzo Cha habr yako21 hours ago · Logistics problems are stalling a massive Russian convoy that's pushing its way toward Kyiv, according to a senior U.S. defense official.
Vidagaa tu vimepiga kura mfano Malawi na Msumbuji wana nn?140 kwa 35
Resolution hiyo wala siyo ya kisheria, ni ya kupoga kelele tu. Hiyo resolution haina any action plan. Eti wanataka Russia ione namna gani ilivyotengwa.The UN General Assembly adopted a resolution demanding that Russia stop the use of force in Ukraine and withdraw its troops.
- 141 states voted for
- Against five (Russia, Belarus, Syria, North Korea, Eritrea)
— Abstained 35 (China, India, South Africa, Kazakhstan, Pakistan, Iran, Iraq, Cuba, CAR and others)View attachment 2136512
Ha ha ha.....[emoji298]️ 498 Russian servicemen have died in the line of duty in Ukraine military operation - MoD
Hiyo resolution bob haina power yoyote. Nimependa Tanzania kuwa na msimamo thabiti. Tanzania sera zake zinajulikana, kuwa msitupangie marafiki wala maadui.Vidagaa tu vimepiga kura mfano Malawi na Msumbuji wana nn?
Aisee, Basi Hii Vita washashinda.[emoji298]️ 1,597 Russian soldiers were injured - MoD
Khaa wasitutanieAisee, Basi Hii Vita washashinda.
Russia wajisalimishe TU[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Waache vikao, Wavae gwanda waingie vitani[emoji4][emoji298]️ UN General Assembly passes resolution ‘demanding’ Russia stop military operation in Ukraine
Dunia imeungana kwa jambo ambalo sio la msingi.Hiyo resolution bob haina power yoyote. Nimependa Tanzania kuwa na msimamo thabiti. Tanzania sera zake zinajulikana, kuwa msitupangie marafiki wala maadui.
Wanachangamsha Genge.Resolution hiyo wala siyo ya kisheria, ni ya kupoga kelele tu. Hiyo resolution haina any action plan. Eti wanataka Russia ione namna gani ilivyotengwa.
Hahahahahaha!!? Yaani UN kama watoto vile.
Urusi tutaenda kuchukulia na huenda wakazikwa pamoja na vifaru vyaoHV mtanzani akiuwa huko urkrain maiti yake itakuja huku kweli utaratibu ukoje ikitokea Rai wetu wamefarika au ndio tutapoteza mwili kbsa