LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mataifa mengi yamejua tatizo lipo wapi na chanzo ni nani wa mgogoro. Even European wamesema they need russia kwenye uchumi. Katika nchi zote za NATO nimekubali rais wa france hyu jamaa hajaongea shit yyte
Vikwazo vimeanza kuwaumiza wao wenyewe walivitangaza kwa mbwembwe saivi wameanza kulia
Screenshot_20220303-115823.jpg
 
Acha porojo mkuu, Kharkiv ni mji mkubwa wa pili baada ya Kyiv. Na mpaka umeanguka majeshi ya serikali yamepambana mpaka dakika ya mwisho. Halafu wewe waleta ngonjera zako kwamba mji umeanguka kirahisi rahisi tu.

Si wangeuachia toka siku ya kwanza basi? Mpaka wamepewa mkong'oto wa maana kwa wiki nzima ndio wauachie!

Serikali yoyote duniani huwa haipo tayari kupoteza sio mji mkuu wa pili tu hata kijiji ktk ardhi yake.

mkuu hio link yako haisemi kuwa urusi imekamata kharkiv au we mwenyew hujaisoma? kharkiv itaanguka tu ila bado kazi inapigwa, ukraine wanabuy time hp ceasfire ipatikane ndani ya wiki mbili hizi lasivyo hali itakua si hali
 
mkuu hio link yako haisemi kuwa urusi imekamata kharkiv au we mwenyew hujaisoma? kharkiv itaanguka tu ila bado kazi inapigwa, ukraine wanabuy time hp ceasfire ipatikane ndani ya wiki mbili hizi lasivyo hali itakua si hali
Hapa mnachanganya kuna muda Kharkiv ulikamatwa kisha ukakombolewa kwa hiyo inategemea mnasema wakati gani
 
Mjinga nini. Africa ipo na 50+ coutries Asia 45+ countries. Mzee nianze kurodhesha unanilipa kiasi gani!?
hizo nchi zitakuwa na unafiki walitakiwa waonyeshe hio support kwe kula ya jana UN maana ni nchi km 5 tu zilizopinga azimio la kuilaan urusi, au wanaona aibu kumsapoti mshirika wao hadharani?
 
hizo nchi zitakuwa na unafiki walitakiwa waonyeshe hio support kwe kula ya jana UN maana ni nchi km 5 tu zilizopinga azimio la kuilaan urusi, au wanaona aibu kumsapoti mshirika wao hadharani?
Sijakuelewa.
 
Hapa mnachanganya kuna muda Kharkiv ulikamatwa kisha ukakombolewa kwa hiyo inategemea mnasema wakati gani
haikukamatwa, walianza kuingia ila badae wakarud nyuma, sasa huyu jamaa anasema kuhusu mji kuanguka kabisa kharkiv haijawahi kuanguka ni kherson tayari ushaenda na maji
 
Zilidunguliwa au zilikua znaanguka zenyewe
Kesi ya ndege za Romania mpaka sasa sijaona maelezo ya kueleweka. Russia ana electronic warfare nzuri tu nakumbuka ilikuwa kitu kama 2017 ndege yao moja ilipita angani karibu na meli ya Marekani na inasemekana ile meli ikazima umeme unaondeshwa na mifumo ya kompyuta. Ila hawakutoa maelezo, nasema inasemekana kwa kuwa sio Marekani wala Russia waliokubali.

System kama Khibiny wanayofunga kwenye pod ya fighters zao inaweza vuruga systems za ndege ya adui
 
Kesi ya ndege za Romania mpaka sasa sijaona maelezo ya kueleweka. Russia ana electronic warfare nzuri tu nakumbuka ilikuwa kitu kama 2017 ndege yao moja ilipita angani karibu na meli ya Marekani na inasemekana ile meli ikazima umeme unaondeshwa na mifumo ya kompyuta. Ila hawakutoa maelezo, nasema inasemekana kwa kuwa sio Marekani wala Russia waliokubali.

System kama Khibiny wanayofunga kwenye pod ya fighters zao inaweza vuruga systems za ndege ya adui
halafu ndege yenyew ni ya enzi za soviet so warusi wanaijua nje ndani
 
Romania romania romania jana walipewa kipigo cha kiini macho pigo lilikuwa hivi:

romania ilirusha ndege ya mg 21 ghafla ndege ikapotea kwe rada huku ikisemekana itawa imeangukia kwenye maji ya blacksea

Ikabidi wato helcopter kwa ajiri ya kutafuta ile ndege mala ghafla ile helcopter nayo ikaanguka na kuuwa mtu mmoja

Romani ikatuma tena helcopter helcopter ya uwokozi mala helcopter ya uwokoz nayo ikaanguka na kuuwa watu wa tano
jumla ndege tatu za romania zimelamba mchanga kumbukeni roman ni mwanachama wa nato na imepaka na ukraine
Ushirikina[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
haikukamatwa, walianza kuingia ila badae wakarud nyuma, sasa huyu jamaa anasema kuhusu mji kuanguka kabisa kharkiv haijawahi kuanguka ni kherson tayari ushaenda na maji
Mkoa wa khakiv bado haujanguka ila mapigano yanaendelea kwa iyo uwezi sema mkoa umeanguka.

Khakiv ni mji wa 2 kwa ukubwa na ni mji wa kiviwanda kama ulivyokuwa mji wa stalingrad(mji wa warusi), mji huu ukiangua utakuwa ni pigo kubwa san kwa Ukraine na ndo maana unaona kuna upinzani mkubwa sana, wa ukraine wanapigana kwa jihadi ili khakiv isiangukie kwenye mikono ya warusi.
 
Back
Top Bottom