green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Lipo wapi nikalisafishe vumbi
Mjinga nini. Africa ipo na 50+ coutries Asia 45+ countries. Mzee nianze kurodhesha unanilipa kiasi gani!?Orodhesha hzo nchi
Na kweli endelea kufuga mbwaMrusi kelele tu hana huo ubavu ajaribu apigwe nyie mnawaona kama wanaiweza dunia ahahah. Alikuwepo mwanaume hitler huyo putin mweupe tu. Nipo Manzese kwa mfuga mbwa.
Vikwazo vimeanza kuwaumiza wao wenyewe walivitangaza kwa mbwembwe saivi wameanza kuliaMataifa mengi yamejua tatizo lipo wapi na chanzo ni nani wa mgogoro. Even European wamesema they need russia kwenye uchumi. Katika nchi zote za NATO nimekubali rais wa france hyu jamaa hajaongea shit yyte
mkuu hio link yako haisemi kuwa urusi imekamata kharkiv au we mwenyew hujaisoma? kharkiv itaanguka tu ila bado kazi inapigwa, ukraine wanabuy time hp ceasfire ipatikane ndani ya wiki mbili hizi lasivyo hali itakua si haliAcha porojo mkuu, Kharkiv ni mji mkubwa wa pili baada ya Kyiv. Na mpaka umeanguka majeshi ya serikali yamepambana mpaka dakika ya mwisho. Halafu wewe waleta ngonjera zako kwamba mji umeanguka kirahisi rahisi tu.
Si wangeuachia toka siku ya kwanza basi? Mpaka wamepewa mkong'oto wa maana kwa wiki nzima ndio wauachie!
Serikali yoyote duniani huwa haipo tayari kupoteza sio mji mkuu wa pili tu hata kijiji ktk ardhi yake.
One battle in Kharkiv shows how Ukraine is fighting back against the Russian invasion
Video of a clash in Kharkiv offers clues to the fierce resistance Russian soldiers are meeting in Ukraine's towns and cities -- and why they have not yet advanced as quickly as experts initially feared they would.edition.cnn.com
Pitia hapaNiletee makala za economics zilizoshiba nijisomee mwenyewe,huko google napafahamu vizuri tu,kama unaona uvivu kuandika hapa basi tukubaliane kutokubaliana Mkuu.
Unadhani wanapouza team biashara kubwa ni kama kuuzia kiwanja cha nyumba kwa myamani.Hata hela atakazopewa baada ya kuuzwa zinaweza pigwa Pini na hamna kitu atafanya
Lipo kambi iliyo mpakani kabisa na Poland.Lipo wapi nikalisafishe vumbi
Hapa mnachanganya kuna muda Kharkiv ulikamatwa kisha ukakombolewa kwa hiyo inategemea mnasema wakati ganimkuu hio link yako haisemi kuwa urusi imekamata kharkiv au we mwenyew hujaisoma? kharkiv itaanguka tu ila bado kazi inapigwa, ukraine wanabuy time hp ceasfire ipatikane ndani ya wiki mbili hizi lasivyo hali itakua si hali
hizo nchi zitakuwa na unafiki walitakiwa waonyeshe hio support kwe kula ya jana UN maana ni nchi km 5 tu zilizopinga azimio la kuilaan urusi, au wanaona aibu kumsapoti mshirika wao hadharani?Mjinga nini. Africa ipo na 50+ coutries Asia 45+ countries. Mzee nianze kurodhesha unanilipa kiasi gani!?
Sijakuelewa.hizo nchi zitakuwa na unafiki walitakiwa waonyeshe hio support kwe kula ya jana UN maana ni nchi km 5 tu zilizopinga azimio la kuilaan urusi, au wanaona aibu kumsapoti mshirika wao hadharani?
haikukamatwa, walianza kuingia ila badae wakarud nyuma, sasa huyu jamaa anasema kuhusu mji kuanguka kabisa kharkiv haijawahi kuanguka ni kherson tayari ushaenda na majiHapa mnachanganya kuna muda Kharkiv ulikamatwa kisha ukakombolewa kwa hiyo inategemea mnasema wakati gani
Nafuatilia comments zake , nilichogundua either elimu or umri so anakosa exposure nakutoijua vzuri Urusi na historia ya Dunia...Me naona uvivu kuandika we nenda kafatilie Google ndo utajua umuhim wa russia sio ulaya tu worldwide
Kesi ya ndege za Romania mpaka sasa sijaona maelezo ya kueleweka. Russia ana electronic warfare nzuri tu nakumbuka ilikuwa kitu kama 2017 ndege yao moja ilipita angani karibu na meli ya Marekani na inasemekana ile meli ikazima umeme unaondeshwa na mifumo ya kompyuta. Ila hawakutoa maelezo, nasema inasemekana kwa kuwa sio Marekani wala Russia waliokubali.Zilidunguliwa au zilikua znaanguka zenyewe
Haahahaaaaa ma nina umenichekesha sana[emoji23][emoji23][emoji23]Nimekosa hamu ya kufuatilia huu uzi baada ya timu yangu THE BLUES kuwekwa sokoni.
halafu ndege yenyew ni ya enzi za soviet so warusi wanaijua nje ndaniKesi ya ndege za Romania mpaka sasa sijaona maelezo ya kueleweka. Russia ana electronic warfare nzuri tu nakumbuka ilikuwa kitu kama 2017 ndege yao moja ilipita angani karibu na meli ya Marekani na inasemekana ile meli ikazima umeme unaondeshwa na mifumo ya kompyuta. Ila hawakutoa maelezo, nasema inasemekana kwa kuwa sio Marekani wala Russia waliokubali.
System kama Khibiny wanayofunga kwenye pod ya fighters zao inaweza vuruga systems za ndege ya adui
Ushirikina[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Romania romania romania jana walipewa kipigo cha kiini macho pigo lilikuwa hivi:
romania ilirusha ndege ya mg 21 ghafla ndege ikapotea kwe rada huku ikisemekana itawa imeangukia kwenye maji ya blacksea
Ikabidi wato helcopter kwa ajiri ya kutafuta ile ndege mala ghafla ile helcopter nayo ikaanguka na kuuwa mtu mmoja
Romani ikatuma tena helcopter helcopter ya uwokozi mala helcopter ya uwokoz nayo ikaanguka na kuuwa watu wa tano
jumla ndege tatu za romania zimelamba mchanga kumbukeni roman ni mwanachama wa nato na imepaka na ukraine
Mtegemee mwarabuUsicheke mkuu mashabiki wa blues tumepigwa na kitu kizito kichwani.
Mkoa wa khakiv bado haujanguka ila mapigano yanaendelea kwa iyo uwezi sema mkoa umeanguka.haikukamatwa, walianza kuingia ila badae wakarud nyuma, sasa huyu jamaa anasema kuhusu mji kuanguka kabisa kharkiv haijawahi kuanguka ni kherson tayari ushaenda na maji