Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
inasemeana Al waleed bin talal wa saudi arabia nae anaitaka, km kweli basi hakitaaribika kitu maana waarabu si bahiri km wale wamiliki wa kimarekani
haha yamewakuta na wao, ila si weusi tunadharaulika sn na wenye ngoz nyeupePale wahindi wanapolalamika kunyanyaswa na waUkrain lakini wao wahindi huwanyanyasa waAfrika
Ukrainian soldiers beat us at border, say evacuated Rajasthan students
The eight students from who fled from war torn Ukraine, said that Ukrainian soldiers had thrashed Indian students and were firing tear gas at themwww.livemint.com
Naikumbuka hiyo story ni kweliKesi ya ndege za Romania mpaka sasa sijaona maelezo ya kueleweka. Russia ana electronic warfare nzuri tu nakumbuka ilikuwa kitu kama 2017 ndege yao moja ilipita angani karibu na meli ya Marekani na inasemekana ile meli ikazima umeme unaondeshwa na mifumo ya kompyuta. Ila hawakutoa maelezo, nasema inasemekana kwa kuwa sio Marekani wala Russia waliokubali.
System kama Khibiny wanayofunga kwenye pod ya fighters zao inaweza vuruga systems za ndege ya adui
bila ceasefire hp ukraine hawawez kukaza zaidi ya wiki mbili, warusi wanakufa ila ukraine wanakufa zaidi====First Significant Victories Of Ukrainian Army
On March 3, on the 8th day of the Russian military operation in Ukraine, the Armed Forces of Ukraine (AFU)...southfront.org
Russia naona naye kapata shambulizi baya Kamand wake mmoja wake ameuawa.
Warusi sijui wana lengo gani na majeshi ya Ukraine.wanaizunguka miji, hakuna kinachotoka wala kinachoingia.sijui wanataka kuwauwa kwa njaa wanajeshi wa ukraine====First Significant Victories Of Ukrainian Army
On March 3, on the 8th day of the Russian military operation in Ukraine, the Armed Forces of Ukraine (AFU)...southfront.org
Russia naona naye kapata shambulizi baya Kamand wake mmoja wake ameuawa.
Aaaah umeanza tena story zako za propaganda!!Warusi sijui wana lengo gani na majeshi ya Ukraine.wanaizunguka miji, hakuna kinachotoka wala kinachoingia.sijui wanataka kuwauwa kwa njaa wanajeshi wa ukraineView attachment 2137440
shukranКанал для российских матерей.
Watu mnaopenda ngono mnajilikana tu. Sasa maneno ya katerero wapi na wapi kwenye thread hii??Ndugu zangu warusi wa Katerero vip mmeshaa fanikiwa kuingi kiev ama bado tuendelee kusikilizia maan siku zimekwenda kweli kweli ndugu zangu team Putin mbona kama mmelala mbele sion tena zile hoja zenu zenye tambo za ajabu vip mpaka sasa katika hii vita mliyoianzisha mmefanikiwa kuteka nini caha maana kwa Ukrain?
Ivi bado kuna mRusi wa Namtumbi aanayemuamini yule jamaa muongo muongo bwana Putin na Russia yake ivi kuna mtu kweli anaamini kuwa Urusi ina nguvu za kijeshi kama alivyokuwa akijatapa apo awali
Aisee nawahitaji sawa warusi wa kongwa mje apa ntupe update ya miji mlioyteka mpaka sasa toka Ukrain
Propaganda gani kwani we macho una?Aaaah umeanza tena story zako za propaganda!!
roman ilipigwa na jamming haiwekeni ndege tatu kwa wakati mmojaKesi ya ndege za Romania mpaka sasa sijaona maelezo ya kueleweka. Russia ana electronic warfare nzuri tu nakumbuka ilikuwa kitu kama 2017 ndege yao moja ilipita angani karibu na meli ya Marekani na inasemekana ile meli ikazima umeme unaondeshwa na mifumo ya kompyuta. Ila hawakutoa maelezo, nasema inasemekana kwa kuwa sio Marekani wala Russia waliokubali.
System kama Khibiny wanayofunga kwenye pod ya fighters zao inaweza vuruga systems za ndege ya adui
Kwani unapata tabu kutokea wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaaah umeanza tena story zako za propaganda!!
Hujaeleza chochote Mkuu,hebu kuwa serous basi.Nmekuelezea pale juu kdgo atleast umepata something
Karibu tena bi. NyamiziHujaeleza chochote Mkuu,hebu kuwa serous basi.
kuna ndoto za mchana pia kumbealeti......
warusi wanateketea na ukraine wanazidi kuwakimbiza,pia tunaalifiwa kuwa mji wa moscow umeshavamiwa na ukraine,vita hii ni ya kijana daudi ambaye ukraine na goliyati urusi,ukraine anazidi kuiteketeza moscow muda huu