LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Aivamie Ukraine akose mradi wa gas wa Nord Stream 2?..NATO walishamwambia Putin very clear,hawezi pata vyote,achague kimoja,aivamie Ukraine akose Nord Stream 2 au aachane na Ukraine inversion abakize Nord stream 2.

Unafikiri Putin ni mjinga hivyo akose mradi utaofaidisha genereations sababu ya vita Ukraine.

Kila kitu ni leverage boss sio ubabe wa kijinga mnaoupigania huku usio na kichwa wala miguu.

Leo Sergei Lavrov amesema baadhi ya wanajeshi waliokuwa mpakani Ukraine wameanza safari ya kurudi kambini,Hata satellites za Marekani wame confirm movements za wanajeshi ku withdraw.

Vita sio lelemama aisee
,.
 
Duh..
Ila Marekani mnafiki sana...
Hakuna jeshi alikopeleka....ule makala wote imebaki vikwazo, vikwazo, vikwazo...
UK anabweka tu ....France macron kimya.

Germany amekuwa mjanja tangu mwanzo...

Vikwazo vinakuumiza na wewe mwenyewe....hivi ni chance kwa CHINA kuchangamka
Mjerumami anamjua vizuri Mrusi, alichofanyiwa Stalingrad hatawahi kuasahau.
 
Muache uongo....lini ulisikia kaukana uraia wa urusi?
bado hajaukana ila ana uraia wa Israel, russia na ureno nimesoma twiter jamaa kasepa zake urusi wabunge wa uingereza wanataka wamtemeshe asset zake zote anazomiliki uk kisa ukaribu wake na putin
 
Kuna Mambo mawili yametokea kwenye utawala was Joe Biden.

Kwanza, kuruhusu Taliban kuchukua madaraka Afghanistan baada ya kuondoa majeshi yake huko, masaa kadhaa kabla ya Taliban kuchukua nchi.

Pili, ni uvamizi wa Ukraine uliofanywa na Russia. Marekani amebaki kuwa by stander baadala ya kuchukua hatua dhidi ya huo uvamizi kwa kumlinda ukraine. Amebaki kurudia story za nyuma za vikwazo.

Je kwa jinsi Urusi anvyojiamini, na kutokuogopa chochote na kuivamia Ukraine, Ni ishara tosha ya kwamba kwa Sasa marekani hana ushawishi wa kinguvu za jeshi duniani?.
 
Screenshot_20220225-000426.png
 
Kuwa super power, kuna mambo mengi ambayo bado USA, anayo na ataendelea kuwa nayo kwa miaka mingi sana!!!hivi unafikria NATO, na wao wangekuwa na akili za putin, nini kitatokea duniani kwa sasa?!! Kwa miaka hata 20 ijayo bado siioni RUSSIA,wala CHINA kuja kuwa super power, kutokana na kukosa sifa hizi, ushawishi, nguvu ya kiuchumi, nguvu ya kitamaduni.
 
Kuwa super power, kuna mambo mengi ambayo bado USA, anayo na ataendelea kuwa nayo kwa miaka mingi sana!!!hivi unafikria NATO, na wao wangekuwa na akili za putin, nini kitatokea duniani kwa sasa?!! Kwa miaka hata 20 ijayo bado siioni RUSSIA,wala CHINA kuja kuwa super power, kutokana na kukosa sifa hizi, ushawishi, nguvu ya kiuchumi, nguvu ya kitamaduni.
Tatizo sisi Wabongo tunapenda ushabiki maandazi, vita Haina maana ni kupoteza watu, nguvumali na pesa Putin Kwa umri alionao Hana Cha kupoteza ila historia itamhukumu kutoka Rais Bora wa Russia Hadi kuifumbukiza kwenye matatizo ya Dunia tuombe uzima tutaona mengi
 
Aivamie Ukraine akose mradi wa gas wa Nord Stream 2?..NATO walishamwambia Putin very clear,hawezi pata vyote,achague kimoja,aivamie Ukraine akose Nord Stream 2 au aachane na Ukraine inversion abakize Nord stream 2.

Unafikiri Putin ni mjinga hivyo akose mradi utaofaidisha genereations sababu ya vita Ukraine.

Kila kitu ni leverage boss sio ubabe wa kijinga mnaoupigania huku usio na kichwa wala miguu.

Leo Sergei Lavrov amesema baadhi ya wanajeshi waliokuwa mpakani Ukraine wameanza safari ya kurudi kambini,Hata satellites za Marekani wame confirm movements za wanajeshi ku withdraw.

Vita sio lelemama aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wanaichukulia poa Urusi pia wanadhani Puttin ni Rais wa maneno la haha,Rais Puttin ni mtu hatari na Mzalendo kwa nchi yake! Yupo tayari kwa lolote kuliko kuacha nchi yake ionewe na wapuuzi wa magharibi. Puttin anasema yeye atakayeingilia huu mgogoro basi atakachikipata hakijawahi kutokea katika historia ya maisha yao! Hiyo ni kauli nzito USA kaona kuua askari wake kama Baghdad au Afghanistan hataki tena, kwani kampeni zake nilutoingiza nchhi katika mzozo wowote ambao utasababisha kuawq askari wake!. Kifupi Nuke iliyopo Russia [emoji635] ni nusu ya Nuke zote walizona wamiliko wote wa Nuke! Pia wyanajua mambo yatakapo kuwa magumu Puttin ataIitumia kwa mtu yeyeto yule bila kujali kwani anafahamika kichwa chake kimejaa moshi wa vifaru na risasi sasa mchezee.

Wale timu USA lazima malale mapema leo [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo sisi Wabongo tunapenda ushabiki maandazi, vita Haina maana ni kupoteza watu, nguvumali na pesa Putin Kwa umri alionao Hana Cha kupoteza ila historia itamhukumu kutoka Rais Bora wa Russia Hadi kuifumbukiza kwenye matatizo ya Dunia tuombe uzima tutaona mengi
Na ndio maana NATO, na nchi nyingine za ulaya, zinaona bora zitumie njia nyingine tu kwanza, kuliko kusema nazo zitumie nguvu kwani uwezo huo wanao, lakini madhara yatakuwa makubwa mno duniani, hasa kiuchumi, na nchi nyingi za ulaya zilipata fundisho kubwa kwenye ww1, hivyo hawako tayari kuona hali hiyo ikijitokeza tena!!kwani kesho waseme NATO, inapeleka majeshi yake POLAND, na watashambulia kutokea hapo, kwani belarus naye anachanganywa tu kwenye kundi la Urusi, kitatokea nini?
Putin, na kim, huwa wanaamini ktk nguvu zaidi kuliko, busara.
Na URUSI, hii vita alishaiandaa muda mrefu tu, na lengo lake anataka amuweke rais atakaye kuwa ni mtiifu kwa moscow, kama zilivyo ktk nchi nyingi za iliyokuwa USSR.
 
Russia kapigana na mdogo wake sijui jirani yake na kawekewa vikwazo atakavyopambana navyo kwa muda halafu mnamuona USA ndo kapoteza.
 
Tatizo sisi Wabongo tunapenda ushabiki maandazi, vita Haina maana ni kupoteza watu, nguvumali na pesa Putin Kwa umri alionao Hana Cha kupoteza ila historia itamhukumu kutoka Rais Bora wa Russia Hadi kuifumbukiza kwenye matatizo ya Dunia tuombe uzima tutaona mengi
Hii ni karata ya mwisho kuzika heshima yake
 
Back
Top Bottom