LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
hebu tuambie plan za Russia kuvamia ukraine zaidi ya hizi
  • kutambuliwa kwa jimbo la crimea kama sehem ya urusi ili jamaa akachimbe mafuta kwa uhuru zaidi
  • ukraine kutojiunga na umoja wa NATO
kuna hoja nyingine zaidi ya hizo kutoka kwa Putin?
Russia nje ya muafaka imepanga kuchukua ukraine na kuwa nchi yake au kuweka serikali itakayo kuwa chini yake
 
ukitoa urusi inchi inayofata kwa ukubwa hapo ulaya ni ukraine kwa upande wa kijeshi ukraine ni 3 lijue hilo kwanza
 
Kwani we habari unazitoa wapi? BBC leo asbh wameripoti Rais wa Ukraine ameomba kwenda kuonana Face to face na Putin wazungumze wayamalize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ukraine sasa hivi mifumo yao imeribika askari wao awalipwi hata mishahara sasa ni swala la muda tu kuvua magwanda na kuweka siraha chini
 
Kwani hujui ata Warus wana vinasaba na Wayahudi? Hujiulizi kwanini Benjaman Netanyau alikuwa anaenda sana Moscow kuonana na Putin? Hujui kuwa Roman Abramovich boss wa Chelsea licha ya kuwa ni Mrusi pia anavinasaba na Uyahudi? Hujiulizi kwanini alinyimwa visa yakuendelea kuishi Uingereza akaenda kuishi Israel?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachumia tumbo nimewadharau kweli
 
Ministry of Defense of the Russian Federation:

- At night, on the territory adjacent to the Zaporizhzhya NPP, the Kiev regime attempted to implement a monstrous provocation.

- At about 2 a.m., while patrolling the protected area adjacent to the station, a mobile patrol of the Russian Guard was attacked by a Ukrainian sabotage group - from the windows of several floors of an educational and training complex located outside the power plant, heavy fire from small arms was opened on the National Guard.

“The firing points of Ukrainian saboteurs were suppressed by return fire from small arms. Leaving the building, the Ukrainian sabotage group set fire to the building.

“Now the staff of Zaporizhzhya NPP continues to work as usual, maintains plant facilities and monitors the radioactive situation. The radioactive background in the area of the power plant is normal.
 
Saud Arabia inahusika vp na habari za Ukraine??
Mbona husemi Ukraine anapigwa na mkristo mwenzake mrusi??
Wacha chuki za kidini
Tulikua tunazungumzia the current situation in Yemen where MBS has an army fighting his fellow muslim. Ungejua mjadala ulikoanzia ndio ungejua why nimewataja Iran na Hezbollah yao, MBS na Yemen na Taliban na Afghanistan yao
 
Mawazo yako mzee yana chekesha sana, ina maana nguklia atakua hana?, kumbuka kinacho mlinda Russia sio uchumi ni mabomu yake, kama kiuchumi hata sasa mpaka anapo ingia vitani uchumi wake ni mdogo zaidi ya USA,
 
Kwahiyo wewe una akili kuzidi Putin[emoji16]
 
Hivi ni Putin ndiye aliyesema kuwa operation hiyo ingechukua saa 24????!!! Watu naona mmeshiba mno propaganda za USA na magharibi kwa ujumla....game plan ya Russia kuhusu Ukraine ni tofauti kabisa...subirini muone
Unaanza kuwasingizia tena Marekani Mkuu,rudi nyuma hapa kwa comments za pro Russia kabla ya vita utaona na source walikuwa wnaweka wao,sasa sijui na hao wameshiba propaganda za USA?
 
Sio sawa lkn, wakae kama ndugu wazungumze, hali iliyofikia Ukraine ni mbaya sana. Mji umekuwa kama Syria, ingawa Zelensikyy alizingua mwanzoni kwa kujifanya mwamba, ila wakae wayamalize.
Naunga mkono,
Kiburi Cha Zelensky kinazidi kuididimiza Ukraine yake.

Afanye maamuz mapana kwa maslahi ya raia wake, nchi yake na sio madarakani Wala tumbo lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…