LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ukraine inazidi kujibu mapigo [emoji116]

View attachment 2138375
Mazungumzo ya nini tena wakati munasema anaupiga mwingi
Screenshot_20220304-121909.jpg
 
Hii vita sio ya Ukraine na Urussi tu watu wanapigana indirectly humo.Urusi Vs USA na Nato.Wanachofanya Wamarekani ni kumtengenezea Puttin image mbaya kwanza,Kumuwekea vikwazo vya kiuchumi kwanza.Kwa sasa Urusi hataona madhara ila baadae atayaona.Na vita direct kati ya Urusi na wanachama wa Nato itaanza rasmi pale Putin atakapodorora kiuchumi.Ikumbukwe mabilionea wa kirusi nao wamepata sanctions wananchi wa kawaida maisha yao yataanza kuwa magumu usaliti utaanza ndani ya nchi yake mwenyewe na ndio mazingira wanayoandaa Wamerakani kwa sasa.Na Nato watakuja wakati Putin amedorora kiuchumi na hapo itakuwa rahisi kummaliza
Hup mchezo wameufanya north Korea miaka 60 Sasa,
Wamegonga mwamba[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu yeyote anayemshabikia Putin naona ni mjinga. Akipata ufahamu wa nini kitamkosti yeye ataelewa kwamba vita vile japo wanakufa waukraine na warusi lakini na yeye anachangia polepole. Bei ya pipa la crude petrol ni USD 112 at the moment. Pia wanaopigana ni wazalishaji wakuu wa ngano duniani na gesi. Pia yeyote anayezalisha gesi anazalisha mbolea ya kutumia kwenye mashamba. Ukraine anazalisha mbegu za alizeti kwa wingi duniani. Pia anga la ulaya ni no flying zone kwa ndege zote za kiraia za urusi na pia anga la urusi ni no flying zone kwa ndege za kiraia za ulaya na marekani. Hapa maana yake ni kwamba gharama za usafirishaji na usafiri wa anga zitaongezeka mara mbili. Pia gharama za usafirishaji kwenye maji zinatarajiwa kuongezeka kutoka dola za kimarekani 10,000 mpaka 30,000 kwa kontena moja ikiwa hali hii itaendelea. Uturuki imefunga ghuba ya bosphorus brigde maana yake hakuna meli yenye chakula au bidhaa zozote ya kirusi au kiukraine itapita kuingia mediteranian. Wewe mjinga unayeshangilia vita huku ukimlaumu Samia kwa bei ya bidhaa acha ushamba. Tafuta chanzo acha kushabikia vita. Sasa hivi anayeumia sio wale wanaokufa ni mifuko yetu. Tafuta bei ya mafuta ya kula uone ni tsh ngapi leo na yalikua Tsh ngapi siku vita vinaanza. Subirini pia bei ya gesi na bidhaa za aluminium zipande bei mara dufu ndo mtaelewa. Russia ndio mzalishaji mkubwa wa aluminium duniani. Kampuni kubwa ya aluminium ipo kwenye vikwazo sasa utaona vitu vinavyotegemeana huku duniani. AMANI IRUDI UKRAINE. PUTIN AACHE KUWA PARANOID. Slavs arent his to rule. Kiev was there before Russia was founded mere eighty centrury ago. Kiev was there as an independent kingdom 4 century before the Moscow grand duchy was founded.
Sasa kama mambo yapo hivyo,kwa nini usiwashauri waliomuwekea vikwazo Mrussia kuviondoa vikozo hivyo kwa sababu ni wao wamechagua kuweka vikwazo badala ya wao kuingia uwanja wa vita kumkabili Putin?.
 
Baada ya hii ramani ni wazi Ukraine huko mbele itakuwa kama Berlin West na East ni wazi wanaigawa nchi vipande viwili hizo ndio buffer zone ndio maana kwenye hii ramani wanakuja taratibu kutoka east na kuifanya Ukraine landlock bahari wanaichukuwa Russia. Msije kushangaa hata wakubwa ni sehemu ya hii game.
Hayuko strategic ok anatengeneza buffer zone ni kweli ila hata akishika bandari wakati vikwazo vya kimataifa vipo itamsaidia nini zaidi ya kuwa buffer zone tu ndani ya Ukraine?

Wakati yeye anatengeneza physical buffer zone Ukraine wenzie west wanatengeneza buffer zones za political,economical ,Financial etc za warusi wote wakubwa na wadogo ,matajiri na maskini kuto cross!!!
 
Libya, Iraq na Syria zilikuwa sehemu ya NATO walipopeleka jeshi kujifanya wanasaidia raia? Una hoja mufilisi sana. Russia kavamia Ukraine na kuwaonea raia kama mnavyosema basi NATO wamepeke jeshi kusaidia uone kama mpaka mpaka wa ulaya haujasogezwa.

NATO wanajua fikra wakiingia pale itabidi Poland waitoe sadaka ya kuteketezwa maana yanayoendelea pale Kapustin Yar yatajulikana Poland
Narudia tena NATO atapelekaje kesho Ukraine wakati sio mwanachama wao achana na stori za gahawa maana unapovuka sana
 
Mkuu wewe darasani ulikuwa sio timu ya ubuyu na visheti!yaani unachambua mambo vizuri unaeleweka,Kuna wajinga wanachukulia hili suala Kama movie za Rambo,yaani hawaangalii impact za baada ya hii Vita itayoikumba dunia,wapo busy kuchekelea eti Putin mbabe,Wanamsifia mtu anaharibu atmosphere ya dunia kweli..Tanzania sisi na serikali yetu tunafanana akili zetu,dunia nzima imelaani hili suala sisi serikali inasema haina msimamo ,huku Wananchi wako wanampraise Putin akalie nchi ya mwenzie kimabavu,yaani hata sielewi akili zetu huwa Zina nini!
Kwanza kwenye kujadili suala la huu mgogoro ninachokiona wengi wana involve emotions, ukishahusisha hisia lazma utatoka out of control na kuanza kutukana watu, kujibishana kwa kejeli, hasira na mengine mengi.

Chukulia hii kama muvi tu sisi ambao tuko nje ya vita tuwe watazamaji, toa mtazamo wako juu ya vita inayoendelea bila kumkejeli/kumtusi mwenye mtazamo tofauti na wako. Kusema unamuona mjinga mtu anayemsapoti Russia?? Wewe mwenye mtazamo tofauti ndio mwerevu??

Ukweli wa Russia kumvamia ukraine wanaujua wenyewe hao Russia na Ukraine na hayo mataifa makubwa pia wanaujua ukweli. Kuna sababu tunazozijua na tusizozijua kwa nini Russia kavamia ukraine, Putin hajaamka tu alfajiri akaamuru majeshi yake yaivamie Ukraine kuna vingi sisi washabikia vita hatuvijui ila wenyewe wanavijua.

Athari nyingi ni sababu ya vikwazo ambavyo Russia imewekewa, umeshajiuliza kwa nini Israel na Palestina kwenye mpambano wao, UN walitaka wakae mezani waongee na kumaliza vita bila kuiwekea kikwazo chochote Israel? Kwa nini mfumo huo huo usingetumika kwenye mgogoro huu? Kwa nini hawakushinikiza Russia na Ukraine wamalize mgogoro wao kwa mazungumzo ila wakakimbilia kushinikiza kwa kuweka vikwazo na mwanzoni walikia wanaisaidia Ukraine silaha?
 
-urusi huko wanapitisha sheria ukikosoa jeshi au serikali kuhusu yanayoendelea ukraine jela miaka 15, muswada kupelekwa bungeni
-wanaohamasisha vikwazo dhidi ya urusi pia kushtakiwa kwa uhalifu ,Duma wameintroduce hio leo hii kufanyiwa mchakato wa kisheria-https://tass.com/politics/1416533
huyu jamaa anairudisha nchi enzi za USSR ila inaweza ikapitiliza ikawa zaidi ya hapo-kazi iendelee
 
Mkuu wewe darasani ulikuwa sio timu ya ubuyu na visheti!yaani unachambua mambo vizuri unaeleweka,Kuna wajinga wanachukulia hili suala Kama movie za Rambo,yaani hawaangalii impact za baada ya hii Vita itayoikumba dunia,wapo busy kuchekelea eti Putin mbabe,Wanamsifia mtu anaharibu atmosphere ya dunia kweli..Tanzania sisi na serikali yetu tunafanana akili zetu,dunia nzima imelaani hili suala sisi serikali inasema haina msimamo ,huku Wananchi wako wanampraise Putin akalie nchi ya mwenzie kimabavu,yaani hata sielewi akili zetu huwa Zina nini!
Kwa kuwa Libya,Iraq,Syria na Afghanistan hazikuwa nchi huru eee?.Putini acha awashikishe adabu vibaraka wa Mmarekani na washirika wake.
 
Kuichukua nchi nzima sio kitu rahisi kwa Strategy Anayoitumia Putin ya kubembeleza, Na ndio inampa hasara sana.

Uwepo wa watu katika battlefield Imekuwa advantage kubwa Sana kwa Ukraine, kutumia kama kinga kwao, Na kuwapa ugumu Russia kutupa mabovu kwa kunyatanyata.

Nazani wangesema raia wote wametoka, Nchi ingebaki tambalale.

Map of the progress of the special operation for March 3

View attachment 2138152
This is my first comment on every platform I'm in regarding this war and may be the last.

Rafiki yangu – Polish ambaye ni Computer Scientist na mtaalamu wa Cybersecurity amekuwa akizisaidia mamlaka za Poland kuingiza data entry za refugees. Anasema kuna wanajeshi wengi wa KiMarekani, Uingereza, Uswidi na Czechia katika mavazi ya jeshi la Ukraine.

Anadai accent na lugha za baadhi ya wanajeshi wengi katika ukanda wa magharibi ya Ukraine haiwezekani kuwa kama alivyosikia na amekuwa akiona wanaingia kama waokoaji na mwisho hawarudi means NATO inapigana chini ya mwavuli wa Ukraine.

Russia alivyogundua hilo ndio siku aliongeza jeshi na vifaa kwa urefu wa maili 13. Another issue anasema raia, wahamiaji na wanafunzi imekuwa ikitumika kama shield ya vita na kupata ungwaji kimataifa.

Ukraine expected at early moment Africa and Asia could react toward Russia kwa watu wao kuzuia and turned to Ukraine kuonekana wanafanya discrimination hadi juzi kuweka namba maalum za African & Asians kuondoka nchini humo na mwisho wakiomba uungwaji mkono kama video iliyotolewa na Ukraine ilivyoeleza.

Going further haoni vita ikiisha anytime soon maana ni uwanja wa mapambano kwa allies na Russia – kitu pekee kumaliza vita hii ni mazungumzo na sio uingizwaji wa silaha na majeshi.
 
Mkuu wewe darasani ulikuwa sio timu ya ubuyu na visheti!yaani unachambua mambo vizuri unaeleweka,Kuna wajinga wanachukulia hili suala Kama movie za Rambo,yaani hawaangalii impact za baada ya hii Vita itayoikumba dunia,wapo busy kuchekelea eti Putin mbabe,Wanamsifia mtu anaharibu atmosphere ya dunia kweli..Tanzania sisi na serikali yetu tunafanana akili zetu,dunia nzima imelaani hili suala sisi serikali inasema haina msimamo ,huku Wananchi wako wanampraise Putin akalie nchi ya mwenzie kimabavu,yaani hata sielewi akili zetu huwa Zina nini!
Kwa kuwa Libya,Iraq,Syria na Afghanistan hazikuwa nchi huru eee?.Putini acha awashikishe adabu vibaraka wa Mmarekani na washirika wake.
 
Pamoja na kuwa ni mdogo lakini anatumia akili zaidi na kaonyesha upinzani mkubwa tu kuliko adui anaepambana nae,Ukraine inazidiwa kwa kila kitu na Russia ndiyo maana wengi waliamini kabisa hii vita wenyewe humu wanaiita special operatiosn ingekwisha ndani ya msaa 24 tu,Lakini kinachoendelea tumeona hadi Mkubwa alipanic akataka atumie hadi Mabomu ya Nyuklia utadhani yeye angebakia salama kama angeyatumia.
Namkubali Sana 👇

Screenshot_20220304-114343.png
 
china inasapoti urusi kwe international stage politically ila kwe interest zake za kiuwekezaji hali iko tofauti kdg
 
This is my first comment on every platform I'm in regarding this war and may be the last.

Rafiki yangu – Polish ambaye ni Computer Scientist na mtaalamu wa Cybersecurity amekuwa akizisaidia mamlaka za Poland kuingiza data entry za refugees. Anasema kuna wanajeshi wengi wa KiMarekani, Uingereza, Uswidi na Czechia katika mavazi ya jeshi la Ukraine.

Anadai accent na lugha za baadhi ya wanajeshi wengi katika ukanda wa magharibi ya Ukraine haiwezekani kuwa kama alivyosikia na amekuwa akiona wanaingia kama waokoaji na mwisho hawarudi means NATO inapigana chini ya mwavuli wa Ukraine.

Russia alivyogundua hilo ndio siku aliongeza jeshi na vifaa kwa urefu wa maili 13. Another issue anasema raia, wahamiaji na wanafunzi imekuwa ikitumika kama shield ya vita na kupata ungwaji kimataifa.

Ukraine expected at early moment Africa and Asia could react toward Russia kwa watu wao kuzuia and turned to Ukraine kuonekana wanafanya discrimination hadi juzi kuweka namba maalum za African & Asians kuondoka nchini humo na mwisho wakiomba uungwaji mkono kama video iliyotolewa na Ukraine ilivyoeleza.

Going further haoni vita ikiisha anytime soon maana ni uwanja wa mapambano kwa allies na Russia – kitu pekee kumaliza vita hii ni mazungumzo na sio uingizwaji wa silaha na majeshi.
Vifaa vyenyewe vimekwama huko porini kwa kukosa mafuta na njaa kwa wanajeshi..

Hivyo vitaishia kutiwa moto tuu.
 
Back
Top Bottom